Signing a coach"Hapa usipoelewa lipia Ada dogo
Si tumekubaliana kila mtu ashinde mechi zake nyie endeleeni kununua marefa.Tunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.
Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.
Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote. Utakuja kunishukuru baadae.
Haipo hiyo kukuuza kocha kama ulivyo andika. Huu ujinga hapa chiniSigning a coach"
Dogo kununua ni kuthaminisha kitu na pesa
Coach hakimbii timu kama house girl
Utaratibu wa kuvunja mkataba ndo kununua
Usiogope terminology ya kuuza na kununua
Baki na upumbavu wakoHaipo hiyo kukuuza kocha kama ulivyo andika. Huu ujinga hapa chini
Hamna kakideo ka kusindikizia....ulimwengu huu bado unabishana kama vile unasimulia muvi ya Jack ChanMpanzu alikua na mpira ndani ya 18, sixibat mlingo akamsukuma akiwa nyuma,mpanzu akaanguka Unasemaje sio penalty ?
Hamna kakideo ka kusindikizia....ulimwengu huu bado unabishana kama vile unasimulia muvi ya Jack Chan
NothingTunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.
Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.
Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote. Utakuja kunishukuru baadae.
😂😂😂😂 Sawa mrSasa hicho kitu nacho tukupe video,ingia tu you tube utaona match highlights za Namungo vs Simba
Wamejisalimisha mapemaaa😂😂😂🏃🏿
Maandishi yako yana lugha ya kinyonge ama mtu anaekata tamaaYote ni matokeo ya mpira.
Yanga hatuhongi waamzi kama 5imba
Ushindi wetu hauna red card, penalties za ajabu kama watani
Yanga bingwa
Minjingu kaziniTunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.
Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.
Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote. Utakuja kunishukuru baadae.
Basi tulieni dawa ziwaingie vzr..nyie si mlimuhonga KayokoRafa alihongwa na 5imba
Haya tumekusikia. Tuma salamu kwa watu watatu. 🎤Tunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.
Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.
Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote, kama kuna mtu amekupa pesa yake umshikie weeekaaa, kama unaweza kuchukua pesa ya mwajiri wako weekaaa. Utakuja kunishukuru baadae.
Na nyinyi mnakosa kweli nembo ya GSM? Mbona kila mkikutana na Yanga mnapigwa tu!Ushindi wenu ni wa utata...unataka uthibitisho? Basi ulizia timu zenye nembo ya gsm