Mashujaa inaenda kumfunga Yanga

Mashujaa inaenda kumfunga Yanga

Hapa usipoelewa lipia Ada dogo
Signing a coach"
Dogo kununua ni kuthaminisha kitu na pesa
Coach hakimbii timu kama house girl
Utaratibu wa kuvunja mkataba ndo kununua
Usiogope terminology ya kuuza na kununua
 
Tunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.

Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.

Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote. Utakuja kunishukuru baadae.
Si tumekubaliana kila mtu ashinde mechi zake nyie endeleeni kununua marefa.
 
Signing a coach"
Dogo kununua ni kuthaminisha kitu na pesa
Coach hakimbii timu kama house girl
Utaratibu wa kuvunja mkataba ndo kununua
Usiogope terminology ya kuuza na kununua
Haipo hiyo kukuuza kocha kama ulivyo andika. Huu ujinga hapa chini
 

Attachments

  • IMG_6178.png
    IMG_6178.png
    187.9 KB · Views: 1
Mpanzu alikua na mpira ndani ya 18, sixibat mlingo akamsukuma akiwa nyuma,mpanzu akaanguka Unasemaje sio penalty ?
Hamna kakideo ka kusindikizia....ulimwengu huu bado unabishana kama vile unasimulia muvi ya Jack Chan
 
Tunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.

Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.

Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote. Utakuja kunishukuru baadae.
Nothing
 
Kwa hiyo Simba wakipata penati Refa apete tu kwa kuwa Simba inapata sana Penati?Kwa hiyo ikitokea na kwenye kona je,mtasema Simba wanaopata sana kona? Mbona hata ile mechi yenu mlisababsha penati nyingi tu?.Hakika mlifurahi sana Kayoko alivyopeta zile penati zote tatu za Simba?.
 
Tunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.

Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.

Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote. Utakuja kunishukuru baadae.
Minjingu kazini
 
Tusije tukasikia mnabweka tena hapa matokeo yakienda tofauti, Mpira Unachezwa uwanjani na sio midomoni dk 90 ndizo zitaamua na sio vinginevyo!
 
Tunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.

Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.

Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote, kama kuna mtu amekupa pesa yake umshikie weeekaaa, kama unaweza kuchukua pesa ya mwajiri wako weekaaa. Utakuja kunishukuru baadae.
Haya tumekusikia. Tuma salamu kwa watu watatu. 🎤
 
Back
Top Bottom