Masikini alivyokuwa anampamba Samia, leo kamtoa kweli? Ummy Afya at least alimudu by over 90% Kizuri hakikosi kasoro

Masikini alivyokuwa anampamba Samia, leo kamtoa kweli? Ummy Afya at least alimudu by over 90% Kizuri hakikosi kasoro

tueleze maeneo ambayo alifanya vizuri.
kipindi cha ummy ni kipindi ambacho tumeons mengi ya hovyo.

BIMA ya afya kwa watu wote hilo ndo eneo muhimu ktk wizara ya afya linabeba 100% ya human being .
sasa kama alishindwa eneo hili ni kitu gani tena.
co function za wizara ni AFYA ie matibabu.
hapa alifeli mno
Fine, ngoja tuone kama huyu toto afya atairudisha.....and other shortfalls associated with Ummy......think deep
 
Wewe ni mjinga. Kwa hiyo kazi ya waziri ni kumpambania Samia na si kupambania nchi na Wananchi.
Sasa matusi ya nini? kama huwezi kujibu hoja, skip and forge to another thread of your interest!
All in all, fine! pata ushahidi kama mimi mjinga, Muulize mama yako kama mimi ni mjinga, muulize hivi Retired eti ni mjinga? Ningelikuwa mjinga usingelipatikana
 
Ukipewa nafasi ya kuwa chawa piga pesa tembea kazi za kuteuliwa ni muda wowote kinawaka ukuu wa mkoa wilaya na uwaziri
Wewe ni mtu mpumbafu, mjinga, hujielewi na mbinafsi aliyekubuhu. Nani alikwambia pesa za wizi zinadumu? Akina Nepi & February wameziiba ngapi kwenye uwaziri wa mbona hawaridhiki? Wakitolewa tu muda mfupi wanafaiti warejeshewe? Pesa ya wizi Haina uhuru na haimfanikishi mtu
 
-Kuboreshwa miundombinu ya Afya
-Kuboreshwa vifaa tiba na dawa
-Maelfu ya Ajira
-Kuoungua Kwa Vifo vya Watoto Wachanga na wamama wajawazito
-Ameasisi kupatikana Kwa sera ya bima ya Afya Kwa wote
-Rufaa za Wagonjwa kwenda Nje ya Nchi ni kama hazipo kabisa badala yake wageni ndio wanakuja
-Kuimarika Kwa Huduma tiba za kibobezi ikiwemo Baadhi ya vifaa tiba ,madawa kuzalishwa na hospital zetu
-Bohari ya Taifa ya Dawa kupata soko Sadc yote.

Mwisho Changamoto kubwa imekuwa ni Bima ya Afya na sababu ni yule Mama wa Bidi Spika Mstaafu,hakuna kitu pale.
Hiyo bima ya wote wahusika hawaitaki.

Bima kwa wote huo ni mchongo wa upigaji tuu
 
Back
Top Bottom