- Thread starter
- #61
Wadigo utaafanyaje? wao ni msikiti,na msikiti na wao....sasa kigodoroUmmy na akomae jimboni kwake sasa, jimbo limelala mno yaani uswahili mwingi tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadigo utaafanyaje? wao ni msikiti,na msikiti na wao....sasa kigodoroUmmy na akomae jimboni kwake sasa, jimbo limelala mno yaani uswahili mwingi tu...
Nyinyi mkimuona mtu kwenye kamera mara kwa mara mnahisi ndio anafanya kazi...Ummy Mwalimu alikuwa anampamba kweli Samia, leo kamtoa! kwangu mimi Ummy alimudu by 90% afya. Kizuri hakikosi kasoro!
It is not an issue of camera showoff, ni standard za utendaji za 99.999% za watumishi was serikali, she was and she is not below that gauge!Nyinyi mkimuona mtu kwenye kamera mara kwa mara mnahisi ndio anafanya kazi...
Aliimudu vp lete facts?
Hakuwa na lolote, Wizara ya afya ametengeneza system ya wizi wa fedha za umma, akiiba anakuja kusifia tupuUmmy Mwalimu alikuwa anampamba kweli Samia, leo kamtoa! kwangu mimi Ummy alimudu by 90% afya. Kizuri hakikosi kasoro!
Alikuwa anacheza na akili za maza, hakuna Waziri wa hovyo kama UmmyNyinyi mkimuona mtu kwenye kamera mara kwa mara mnahisi ndio anafanya kazi...
Aliimudu vp lete facts?
sikulijua hilo, facts pleaseHakuwa na lolote, Wizara ya afya ametengeneza system ya wizi wa fedha za umma, akiiba anakuja kusifia tupu
Na kuongea yaani kwa mdomo ni mchapa kazi sn lakini uhalisia ni sifuri kabisaUmmy hakua compitent sema sura yake ilimbeba
Ummy amebarikiwa kuongea lakini kiutendaji ni msanii bora mara 100 ya Gwajima, sema akiiba anajua sn kusifia na kuonekana kwenye mediasikulijua hilo, facts please
SheriaIvi ummy by professional ni medicinal personnel au kasoma kozi tofauti na afya?
Alikuwa anampamba mbele ya camera tu, alishanaswa anamsema. Usifikiri raisi alikua hajui yote hayo anajua wanaompamba mbele ya camera na wanaomponda nyuma ya cameraUmmy Mwalimu alikuwa anampamba kweli Samia, leo kamtoa! kwangu mimi Ummy alimudu by 90% afya. Kizuri hakikosi kasoro!
Mtendaji ni Rais tena?kuna muda akili z machawa zinawaacha peke yao kichwani😂😂😂Ummy aliyasimamia Kwa niaba ya Rais,Waziri sio Mtendaji Bali Mtendaji ni Rais Kwa muundo wa Serikali
Raisi sio mtendaji ,tetea points vizuri unamuaibisha raisiUmmy aliyasimamia Kwa niaba ya Rais,Waziri sio Mtendaji Bali Mtendaji ni Rais Kwa muundo wa Serikali
Anamuabisha raisi, raisi sio mtendajiMtendaji ni Rais tena?kuna muda akili z machawa zinawaacha peke yao kichwani😂😂😂
Kuna mambo mengi Wizara ya afya yalimshinda tuwe wakweli bhana.Ummy Mwalimu alikuwa anampamba kweli Samia, leo kamtoa! kwangu mimi Ummy alimudu by 90% afya. Kizuri hakikosi kasoro!
Hajawai kua mpambanaji zaidi ya kujipendekeza na kubebwaUmmy alikuwa mpambanaji enzi za Magu tu saizi kapoa sanaaaa
Sorry For that namjua vyema ni hamna kitu mule ni vile nikieleza sana nitaji'exposeIt is not an issue of camera showoff, ni standard za utendaji za 99.999% za watumishi was serikali, she was and she is not below that gauge!
Hivi Jenista ana nn cha maana?
Ummy alimgeuka huyo Samia akahamia upande wa kaka yake January. Pia alizingua sana katika wizara aliyopewa, alishashindwa kazi.Ummy Mwalimu alikuwa anampamba kweli Samia, leo kamtoa! kwangu mimi Ummy alimudu by 90% afya. Kizuri hakikosi kasoro!
NHIF kapewa dada mmoja ana bonge la CV.Hicho kimama kimechelewa sana kutolewa. Kimedhoifisha sana sekta ya afya hususan NHIF kwa kukosa weledi na ufisadi