Masikini Lowassa, nilihisi haya yatamkuta, yamemkuta

Ishini vizuri na watu acha maneno mengi

Tuwe tayari kujifunza na sio kupinga pinga tu
Niko tayari kujifunza kwa Yesu Kristo pekee yake aliye mfano na mwanadamu mkamilifu.

Lakini nijifunze nini toka kwa mtu mwenye pomposity na anayehukumu wengine?

By the way, hebu nipe mfano mmoja tu wa kujifunza toka kwako au kwa mleta mada.

Kama una Kristo ndani yako na una - display sura na mfano wa maisha yake aliyoyaishi hapa duniani, nitakuiga na kujifunza toka kwako.
 
Mwinyi ndio SI unit ya mtu asiyelaaniwa?
Yesu alikufa na miaka 30 na kitu, naye alilaaniwa?

nimekupa Like kaka!
Inasemekana YESU alikufa Akiwa na 36yrs!
Nadhani jambo la Msingi ni Malengo!
MUNGU huwapangia watu malengo ktk kuishi…
Ukishayatimiza Malengo Then anakuchukua!
Unaweza Ishi Miaka 49 lakini ukafanya Mengi makubwa sawa au zaidi na Alieishi miaka 79Kaka!
 
Point Ni kubwa San umeongea juu ya watu wa kazikasini kupenda ardhi Hilo si kubishii na wengi wamekufa vibaya mno kwa Kungangania mashamba ya watu


Na I wenda ikawa laana imemtafuna mzee huyu ambae ghafla aliporomoka kisiasa
 
zungumzia na mpunga aliokua nao mpka anakufa alafu kama nao ni laana basi hizo laana zake ni unyama sana......
 
Point Ni kubwa San umeongea juu ya watu wa kazikasini kupenda ardhi Hilo si kubishii na wengi wamekufa vibaya mno kwa Kungangania mashamba ya watu


Na I wenda ikawa laana imemtafuna mzee huyu ambae ghafla aliporomoka kisiasa
Mkuu watu wanajisahau, ukila sahani moja na mali za Mungu, sadaka etc, imekula kwako.
 
Mpumbavu kweli mleta màda... Lowasa alitungiw kashfa kibai za magumashi ... Kungekuwana Hilo mbona kina Nape na CCM taka wangelishupalia
 
Uchaguzi ni wako mkuu, Thadei Ole Mushi , kada wa chama, kazikwa si kwa protokali zote za Kikatoliki, baada ya kulidhihaki kanisa Katoliki.
Subiri uone kama Lowassa hatazikwa kwa heshima zote za kanisa pamoja na kinyongo chako ulicholimbikiza kwa miaka 30
 
Mtoa mada kulingana na ID yako utakuwa unamfahamu Amani Nzugile Jidulamabambasi aliyetaka kumpindua mzee John Cheyo kwenye uenyekiti wa UDP mwaka 2003,na baadae akarudi CCM,huyu ndugu alifariki mwaka 2010 akiwa hsjafikisha hata umri wa Lowassa,ukiambiwa alifariki kwa laana ya kutaka kumpindua Bwana Mapesa utakubali?
 
Kwa maelezo yako haya, inaonekana ulikuwa unamfahamu vyema, na pengine kuwa naye karibu lowasa.

Alichoeleza kikubwa Jidu La Mabambsi, ni lowasa kupora ardhi ya kanisa iliyotolewa na mzee Kileo.

Kwenye maelezo yako marefu kumhusu lowasa, hujasema lolote kuhusiana na uporaji huo kama kweli alipora au majungu tu.
 
Kuna yule mzee wa Musoma alikuwa katibu wa Nyerere aliwahi kuandika juu ya ''usafi'' wa Edo na kisa cha kwanini Nyerere alimkataa.
Mzee Kasomi. Kilichofuata ni Kasomi kuwindwa auwawe ikabidi aukimbie mji wake kuokoa maisha.

Zee fisadi liuaji lilikuwa la hovyo sana hili.
 
Huu uzi ufungwe sasa
😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…