Watu kama wewe na mleta uzi wamekuwepo tangu enzi na enzi watu wenye husuda na unaa mwingiKuyataja maovu yako ni kukuhukum? Endeleni na viwanda vya dhambi huko makanisani kwenu eti mkionywa mnahukumiwa.
Mnapoteza muda bora mkanywe pombe tu.
Mkuu hata Yuda Iskariote hadithi yake imehadithiwa ili binadamu tupate funzo jema.Watu kama wewe na mleta uzi wamekuwepo tangu enzi na enzi watu wenye husuda na unaa mwingi
Ni vema kwanza ukatoa boriti kwenye jicho lako ndipo utoe kibanzi kwenye jicho la nduguyo
Kumsengenya marehemu asiye weza kujitetea ni Zambi kama Zambi ya mauaji.
Unataka awe na mtazamo sawa na wako mkuuMchawi na wakala wa shetani wewe.... Eti laana!
Compare na Mwinyi, 90's
Mtu wao lazima wamteteeKwanini Mnakeleka Mtu akisemwa kwa mambo aliyofanya kwa kukusudia yeye mwenyewe tena akijidai kuwa Ngoja mtanijua mimi ni nani?
Acheni Unafiki ishini kwa amani na watu woote.
Wee[emoji23]Wengine wamemjua wakati wa Zungusha Mkono....hawezi kuwa Mwanaccm ngazi za juu akawa msafi hata siku moja.
Na akila kucha tu tunamtongoza
Tukiomba ushahidi wa ulichoandika utaanza kula kucha.
Dhambi yako ya PAPUCHI haisameheki.Hakika mkuu
Wewee acha hizo si ungeandika wakati Yu hai. Futa huu uchafuMasikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.
Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ni kitabu, tuishi vyema ili watakao kisoma kitabu chako cha maisha, wafurahie hadithi ya maisha yako.
Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki.
Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.
Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa, kama sadaka yake.
Naamini kabla ya kutoa ardhi hiyo ,mzee Kilewo aliomba kwa Mungu.
Maaombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowassa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.
Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.
Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.
Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.
Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.
Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.
FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Ukimaliza pia useme kuwa Lowassa anaidai CCM Arusha Bil. ngapiMasikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.
Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ni kitabu, tuishi vyema ili watakao kisoma kitabu chako cha maisha, wafurahie hadithi ya maisha yako.
Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki.
Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.
Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa, kama sadaka yake.
Naamini kabla ya kutoa ardhi hiyo ,mzee Kilewo aliomba kwa Mungu.
Maaombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowassa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.
Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.
Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.
Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.
Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.
Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.
FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Hii ni taarifa ya uwongo kwa by 100%.Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.
Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ni kitabu, tuishi vyema ili watakao kisoma kitabu chako cha maisha, wafurahie hadithi ya maisha yako.
Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki.
Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.
Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa, kama sadaka yake.
Naamini kabla ya kutoa ardhi hiyo ,mzee Kilewo aliomba kwa Mungu.
Maaombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowassa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.
Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.
Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.
Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.
FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Wewe hiyo KKKT imekusaidia nini? Inakusomeshea watoto bure?Wewe uneyemtetea mwizi wa sadaka ya kiwanja cha Mungu, na yule anayeonyesha mapungufu ya uporaJi wa kiwanja, mchawi nani?
Hii ni taarifa ya uwongo kwa by 100%.
Nilikuwa ni mfanyakazi wa TBL kuanzia mwaka 1987 hadi 2000.
Ukweli ni kwamba TBL ilikuwa inamiliki nyumba na viwanja sehemu kadhaa hapa Dar es Salaam. Mwaka 1993 TBL iliuzwa kwa SAB ambayo baadaye ikabadilika kuwa SABMILLER na sasa InBev.
Executive Managing Director wa mwaka 1994-2000 alikuwa ni Daniel Niemandt (Mkaburu) na Anold Kileo alibakia kama Chief MD (ceremonial tu). Daniel Niemandt ndiye aliyesema kazi ya TBL ni "kutengeneza" bia na siyo ku maintain real estate.
Kwa hiyo akaamuru nyumba za Oysterbay na Ilala Sharifd Shamba ziuzwe na viwanja virudishwe Serikalini.
Arnold Kileo hakuwa na mchango wowote katika KKKT Mbezi Beach kupata kiwanja pale.
Ila ashukuriwe LOWASSA na wana KKKT kwa kuwa akiwa waziri wa ardhi aliwapa kipaumbele wao kwa mamlaka yake kama waziri mwenye dhamana ya ardhi kupata kiwanja pale.
Pengine watu wa kulalamika wangekuwa madhehebu mengine kama RC au Anglican au Jumuiya ya Waislamu kuhusu kutopatiwa kiwanja. Mengine ya yeye na Kimbisa kuwa na viwanja pale ni majungu yasiyo na tija.
RIP Edward Lowassa
E. Lowassa anaidai CCM Arusha zaidi ya Bil. 5 alizowakopesha, kama kuna Mjumbe yeyote wa CCM hapa akanusheUpuuzi mtupu, eti laana ilipoanzia!!? Hivi unajua huyu binadamu anaukwasi kiasi gani? Unajua Mwalimu nyerere aliwahi kuwa na mashaka na ukwasi wake? Unajua amezishika pesa tangu utawala wa Mwalimu? Yani lowasa adhulumu eka 1½ ya kanisa? Umerogwa?
Kanisa lenyewe lipi hilo? Kanisa linalichaguliwa maaskofu na ssirikali? Hilo kanisa?
Kanisa ni moja tu Duniani, Roman Catholic basi, gusa huo moto unase.
Mawazo kama haya ya kujumuisha watu(kabila, dini, au kanda) kwenye tukio ni ya kijinga sana.Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki.
Well put bro!! Cheers 🍻Shida ni pale unapokuwa na mentality kuwa KIFO ni laana au Adhabu.
Mention any Pop, Saint , Nabii, Mtume etc etc ambae hajawahi kuwfa kwa kuwa ni mtu Mzuri,
You are such a naive na hizo story za mental slavery , Lowassa muda wake is due Kama wako utakavofika, that does not mean anything
Kama ulilkuwa hujui , Lowassa was a great man and a prophet of our time,
hata hao unaowaita marafiki zake wakubwa, ni ushamba wako …… EDO hajawahi kuwa na urafiki wa karibu na huyo mtu, they just grew up pamoja and known to each other….. that doesn’t mean friendship.
Edo was genuine man , na aki interact na wewe , he interacts with pure heart and love ….. he was such a gentleman and true soul
Hao unaowaita marafiki zake, hajawahi kuwa na urafiki nae , he knew him and helped him mentally and financially to shape his career path…… and ofcourse JK alifanikiwa sana kwa msaada wa EDO.
.wakati Edo anaomba kura ya Urais, he never asked for a favor from him , he tried for his best level , only it did not work , and remained pure man.
Alienda pia kumpongeza JPM kuonesha…. Heshima na akaomba wafuasi wake waisapoti serikali mpya ya JPM
Such a gentleman with maturity , he always wanted peace
Sio hao wengine waliojaza unafiki kwenye nyuso zao na uzandiki
The better thing is that , no one will get alive out of this world .
Nilijua mtasema na yeye kauwawa,Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.
Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ni kitabu, tuishi vyema ili watakao kisoma kitabu chako cha maisha, wafurahie hadithi ya maisha yako.
Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki.
Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.
Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa, kama sadaka yake.
Naamini kabla ya kutoa ardhi hiyo ,mzee Kilewo aliomba kwa Mungu.
Maaombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowassa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.
Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.
Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.
Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.
Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.
Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.
FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Kanusho lako lina utata kwa 100%, wakubaliana halafu kujipinga tena. Kwamba Arnold Kilewo alikuwa Kiongozi TBL, umesahihisha cheo tu .Hii ni taarifa ya uwongo kwa by 100%.
Nilikuwa ni mfanyakazi wa TBL kuanzia mwaka 1987 hadi 2000.
Ukweli ni kwamba TBL ilikuwa inamiliki nyumba na viwanja sehemu kadhaa hapa Dar es Salaam. Mwaka 1993 TBL iliuzwa kwa SAB ambayo baadaye ikabadilika kuwa SABMILLER na sasa InBev.
Executive Managing Director wa mwaka 1994-2000 alikuwa ni Daniel Niemandt (Mkaburu) na Anold Kileo alibakia kama Chief MD (ceremonial tu). Daniel Niemandt ndiye aliyesema kazi ya TBL ni "kutengeneza" bia na siyo ku maintain real estate.
Kwa hiyo akaamuru nyumba za Oysterbay na Ilala Sharifd Shamba ziuzwe na viwanja virudishwe Serikalini.
Arnold Kileo hakuwa na mchango wowote katika KKKT Mbezi Beach kupata kiwanja pale.
Ila ashukuriwe LOWASSA na wana KKKT kwa kuwa akiwa waziri wa ardhi aliwapa kipaumbele wao kwa mamlaka yake kama waziri mwenye dhamana ya ardhi kupata kiwanja pale.
Pengine watu wa kulalamika wangekuwa madhehebu mengine kama RC au Anglican au Jumuiya ya Waislamu kuhusu kutopatiwa kiwanja. Mengine ya yeye na Kimbisa kuwa na viwanja pale ni majungu yasiyo na tija.
RIP Edward Lowassa
Uzi ufungweHii ni taarifa ya uwongo kwa by 100%.
Nilikuwa ni mfanyakazi wa TBL kuanzia mwaka 1987 hadi 2000.
Ukweli ni kwamba TBL ilikuwa inamiliki nyumba na viwanja sehemu kadhaa hapa Dar es Salaam. Mwaka 1993 TBL iliuzwa kwa SAB ambayo baadaye ikabadilika kuwa SABMILLER na sasa InBev.
Executive Managing Director wa mwaka 1994-2000 alikuwa ni Daniel Niemandt (Mkaburu) na Anold Kileo alibakia kama Chief MD (ceremonial tu). Daniel Niemandt ndiye aliyesema kazi ya TBL ni "kutengeneza" bia na siyo ku maintain real estate.
Kwa hiyo akaamuru nyumba za Oysterbay na Ilala Sharifd Shamba ziuzwe na viwanja virudishwe Serikalini.
Arnold Kileo hakuwa na mchango wowote katika KKKT Mbezi Beach kupata kiwanja pale.
Ila ashukuriwe LOWASSA na wana KKKT kwa kuwa akiwa waziri wa ardhi aliwapa kipaumbele wao kwa mamlaka yake kama waziri mwenye dhamana ya ardhi kupata kiwanja pale.
Pengine watu wa kulalamika wangekuwa madhehebu mengine kama RC au Anglican au Jumuiya ya Waislamu kuhusu kutopatiwa kiwanja. Mengine ya yeye na Kimbisa kuwa na viwanja pale ni majungu yasiyo na tija.
RIP Edward Lowassa