Kuna jambo sielewi.Aliku snitch kwa mama mwenye nyumba kwamba umefanyaje?Kwani huwa unakunya chumbani?mimi kuna mmoja nilimuokota msikitini ni shehe ubwabwa na kanzu yake chakavu iliyofubaa, nikamuonea huruma nikampeleka kwangu, kula bure, kulala bure na mpaka na nguo nilikuwa nampa cha ajabu nikiondoka kwenda kwenye harakati zangu akawa ananisnich kwa mama mwenye nyumba yaani mpaka siku naamua kumtimua alikuwa ameniharibia pakubwa....
hata ungekuwa ni wewe usingevumilia ule udwanziMtu akisha kuwa na pesa ya kubadirisha mboga basi anajiona tajiri. Ataki kuwa karibu na masikini mwenzie
soma aya ya pili , uzi wangu umemaliza kila kituKuna jambo sielewi.Aliku snitch kwa mama mwenye nyumba kwamba umefanyaje?Kwani huwa unakunya chumbani?
Ukiona bado unaharibiwa kwa mama mwenye nyumbani basi wewe ni maskini.
Upo kisiwa gani...Ishanikuta hiyo Kuna kamdada nakaaga nacho jirani nikitokaga visiwani namleteaga tusamaki Sasa siku nimerudi nimeziandaa nimeanika ...nimeenda dukani narudi nakuta mtu anakaanga dooh.... Halafu akagawa vipande pasu Kwa pasu..wakati mi nimepiga hesabu za kutafuna samaki wiki nzima ni yale masangara makubwa mabondoless....
huyu itakuwa yupo ukerewe huko
Utaje huu udwanzi tujuwehata ungekuwa ni wewe usingevumilia ule udwanzi
Utajehata ungekuwa ni wewe usingevumilia ule udwanzi
udwanzi ni kuwa mdwanzi mdwanzi tuUtaje huu udwanzi tujuwe
Utaje
Unazinguaudwanzi ni kuwa mdwanzi mdwanzi tu
wewe ni mtu mzima bhana ina maana hujafahamu namaanisha nini.....siwezi kuandika kila kitu jiongeze mkuuUnazingua
Visiwa ni vingi.... Siku ingine Gembare, Kasalali,Zilagula,Chembaya, soswa,you,Maisome,Kome (Ntama,Buhama,Mchangani), Maisome ,Migongo ..visiwa ni vingi sana .... Mi ni msimamia SHERIA tu sio mvuvi....
Tajir hakai ghetto, hatumii subwooferNiliendekeza urafiki na maskini mmoja(alifikuzwa kazi ya ulinzi) akawa anashinda ghetto kwangu, namsaidia chakula na mahitaji mengine, hatimaye akaniibia TV, simu, pasi, hela laki moja na nusu,subwoofer na vitu vingine vidogo_vidogo. Baada Ya uchunguzi na mahojoano kwa kina akakiri kuwa aliviiba.
UMASKINI UNAAMBATANA NA USENGE
hiyo ni kwa maelezo yake mkuu na ametoa sapoti kwa kukazia na maelezo hayo,,wewe eleza ya kwakoTajir hakai ghetto, hatumii subwoofer
Hueleweki, elezea umekumbwa na nini na hao maskini wenzako.Kuna mdau humu aliwahi kuliongelea hili na leo ndio nimepata funzo zaidi.
Masikini ukiishi kwa unyenyekevu bila kumuonesha dharau ya aina yoyote kwa akili zake atamuhisi umemuogopa, masikini wengi wenye umasikini uliopitiliza (absolutely poverty) pia huwa na sifa ya kuwa wapumbavu, na ndio hawa wengi wao ni mtaji wa CCM.
Masikini hatakiwi kuonewa huruma, masikini hatakiwi kuthaminiwa kabisa na ukimthamini sana ujue unajitengea janga hapo baadae lakini pia niongezee kidogo kutoa ushauri kwa vijana hasa ambao mmemaliza elimu za vyuo na mmebahatika kupata ajira aidha kwenye sekta binafsi au za umma
Unapopata mshahara wako wa kwanza tafuta nyumba nzuri yenye hadhi, usitafute nyumba za hovyohovyo eti unabana mshahara ili ufanye maendeleo hapo baadae yatakukuta makubwa kabla hata hujafanya hayo maendeleo.
Umeajiriwa na level yako stashahada au shahada na mshahara wako labda ni kuanzia laki tano na kuendelea uwezo wa kula maini au nyama ya kuku unao lakini mazingira unayoishi wenyeji wako ni dagaa na mchicha kila siku aisee mkuu yatakukuta tafuta makazi yenye watu wa hadhi yako vinginevyo yatakukuta.......