Masikini sio mtu wa kumuonea huruma leo ndio nimejifunza zaidi

Kuna jambo sielewi.Aliku snitch kwa mama mwenye nyumba kwamba umefanyaje?Kwani huwa unakunya chumbani?
Ukiona bado unaharibiwa kwa mama mwenye nyumbani basi wewe ni maskini.
 
Upo kisiwa gani...

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Tajir hakai ghetto, hatumii subwoofer
 
Hueleweki, elezea umekumbwa na nini na hao maskini wenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…