Masikini wanaishi maisha ghali kuliko matajiri

Umefikiria pia kuhusu ghara ya muda na hizo inconveniences za kupumuliana, kuibiwa nk
 
Umetumia uzoefu wako binafsi au dhaania kaka??
 
Unajua kuna vitu ni vya kijinga kuanzia mwanzo. Wewe unajua expanses za mtu tajiri?
Nazijua...angalia percentage wise kwenye kipato chake au angalia gharama anazoingia ukilinganisha na masikini
 
Nashukuru kwa kunielewa...mwalimu akikopa anawekewa riba ya 35% wakati Bakhresa anapaswa mkopo wa riba ya .2% tena kwa kubembelezwa
Bakresa hakopi milioni bali mabilioni.
In figure rate ya mkopo Mwalimu ipo juu
 
Hapana kaka sikupingi nimekuuliza una experience kama tajiri au masikini!!!Maana mimi ni tajiri nataka nikupe experience yangu kwa siku naweza tumia hata 200k!!!Ndio maana nikakuuliza wewe ni tajiri au masikini
Mimi masikini...kutumia 200k kwako inaweza kuwa ni sehemu ndogo sana kwenye kipato chako...ukitaka huduma unaweza zipata kwa bei rahisi kuliko masikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…