Masikini wasipewe vibali kujenga mjini. Huchafua miji na vijumba vyao

Kuna umaskini wa aina nyingi. Katika aina zote ogopa sana umaskini wa akili. Huo ndio hatari zaidi duniani. Tanzania umaskini wa akili umetupelekea mtu kununua ubunge kwa doti ya kanga na kofia, katiba kuvunjwa kwa amri ya mtu mmoja huku tuliobaki milioni sitini tukiangalia tuu. Kwa umaskini wa akili mtu mmoja anateua wakurugenzi wote nchini, wakuu wa mashirika yote ya umma, makatibu wakuu, makatibu tawala, wabunge kumi, mawaziri, wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, wakuu wa wilaya, anateua hadi watu wa mhimili unaojitegemea kama mahakama ngoja niishie hapa umaskini wa akili ni hatari sanaaaaa.
 




πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Umasikini ni ushetani nakuambia
 

Soweto, Johannesburg​

Soweto is an urban settlement or 'Township' in South Africa, southwest of Johannesburg, with a population of approximately 1.3 million (2008, Joburg archive).
Soweto was created in the 1930s when the White government started separating Blacks from Whites. Blacks were moved away from Johannesburg, to an area separated from White suburbs by a so-called cordon sanitaire (or sanitary corridor) this was usually a river, a railway track, an industrial area or a highway etc., they did this by using the infamous 'Urban Areas Act' in 1923.
Soweto became the largest Black city in South Africa, but until 1976 its population could have status only as temporary residents, serving as a workforce for Johannesburg. It experienced civil unrest during the Apartheid regime. There were serious riots in 1976, sparked by a ruling that Afrikaans be used in African schools there; the riots were violently suppressed, with 176 striking students killed and more than 1,000 injured. Reforms followed, but riots flared up again in 1985 and continued until the first multiracial elections were held in April 1994.
In 2010, South Africa's oldest township hosted the FIFA Soccer World Cup final and the attention of more than a billion soccer spectators from all over the world was focused on Soweto.
What's in a name?
William Carr, chair of non-European affairs, initiated the naming of Soweto in 1959. He called for a competition to give a collective name to townships dotted around the South-west of Johannesburg. People responded to this competition with great enthusiasm. Among the names suggested to the City Council was KwaMpanza, meaning Mpanza's place, revoking the name of Mpanza and his role in bringing the plight of Orlando sub tenants to the attention of the City Council. The City Council settled for the acronym SOWETO (South West Townships). The name Soweto was first used in 1963 and within a short period of time, following the 1976 uprising of students in the township, the name became internationally known.
Geolocation
-26Β° 14' 17.0625", 27Β° 51' 1.4309"
References
Soweto
Further Reading
Soweto: from struggle to suburbia
Source : Soweto, Johannesburg | South African History Online

More info :

16 Jan 2012
Desmond Tutu / Forced relocations / "dumping grounds" / the Bantustan strategy

Desmond Tutu on the forced relocations & the Apartheid Bantustan plan. The dumping ground of "Compensation" in the Himeville district of Natal - from the 1980 documentary by Kevin Harris - "This we can do for Justice & for Peace". Go to www.kevinharris.co.za
Source : Kevin Harris
 


Utofauti upo Mkuu.

Ngoja nitoe sifa za makazi ya mashetani yalivyo;

1. Hayajakaa kimpangilio mzuri. Mashetani hayapendagi mpangilio. Yanafanyaga mambo hovyohovyo.

2. Pananuka na pachafu. Hii ni kutokana mashetani hupenda uchafu na harufu mbaya.

3. Yamekata miti alafu yakashindwa kupanda miti mingine, hayana Bustani hata ya Maua kwani hayapendi kukaa sehemu nzuri,

4. Yanatesa viumbe vya Mungu. Ukikuta yanafuga mbwa au Paka utakuta vimbwa vimekondeana na Paka wamejawa na masizi Kwa wizi.

5. Makelele. Mashetani hayapendi utulivu. Muda wote kelele na fujo. Manyimbo ya hovyo hovyo tuu.
 


Samahani Mkuu
 


Jiandae kurushiwa mawe.

Wazungu walituita mashetani Kwa sababu ya umasikini wetu.

Umasikini ni alama kuu ya ushetani kwani ni laana
 
Huo ndio ukweli hata ukinunua kiwanja ukaona majirani zako wote viwanja vyao Ni 10 kwa 10 Hilo eneo Hama inaenda kuwa sehemu ya kimasikini au uswahilini.
 
Huo ndio ukweli hata ukinunua kiwanja ukaona majirani zako wote viwanja vyao Ni 10 kwa 10 Hilo eneo Hama inaenda kuwa sehemu ya kimasikini au uswahilini.


Ati 10*10
Embu niambie hapo mtu utapanda wapi, Bustani wapi, nyumba wapi,

Masikini wanapenda kung'ang'ania mambo wasiyoyaweza.

Hiyo 10*10 wangeenda SHAMBA huko wangepata hata Heka moja wakajenga kibanda, wakapanda miti, na kufuga kuku
 
Masikini tujenge hoja kwa nini tubaki mjini,sio kuanza kulialia na kunukuu mistari ya biblia.


πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Mhubiri wa masikini kanitabiria ati Kesho yangu siijui na akanitabiria kuwa nitakumbuka Uzi huu.

Nimemjibu atolee mahubiri ya kimungu chake kishenzi kisicho na mbele wala nyuma
 
Ati 10*10
Embu niambie hapo mtu utapanda wapi, Bustani wapi, nyumba wapi,

Masikini wanapenda kung'ang'ania mambo wasiyoyaweza.

Hiyo 10*10 wangeenda SHAMBA huko wangepata hata Heka moja wakajenga kibanda, wakapanda miti, na kufuga kuku
Huo ndio ukweli Kaka hata Dar maeneo mazuri yamekuwa uswazi baada ya viwanja kuanza kuuzwa na kununuliwa kimasikini.

Kuna sehemu kule Bunju eneo zuri basda ya kuvamiwa na masikini unakuta mtu ana kiwanja Cha 8 kwa 10 .Kajenga ka chumba kamoja na choo Cha nje. Uswazi mtupu.


Umasikini Ni laana Sana, tufanyeni kazi tuwe na makazi Bora na sio kulia Lia kwa mleta mada
 
Leo kwa mara ya kwanza naunga mkono mada yako, maskini akipata milioni moja tu anawaza kujenga..mwisho wa siku anajenga kitu cha hovyo.


Wanashindwa kuelewa kuwa maisha sio lazima kujenga.
Jenga ukiwa na uwezo wa kujenga nyumba nzuri, Bustani, miti, na eneo liwe linajitosheleza.

Sio unajenga Tawi dogo la kuzimu huku Duniani.

Hivi kiwanja cha 15*15 utajenga nyumba wapi, miti wapi, Bustani wapi, sehemu ya kupumzika wapi?

Yaani wanashindwa kuelewa kuharibu mazingira ni pamoja na kujenga bila mpangilio na kujenga vibanda vya hovyo.
 


πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„


Nitapigwa leo hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…