Masikini wasipewe vibali kujenga mjini. Huchafua miji na vijumba vyao

Masikini wasipewe vibali kujenga mjini. Huchafua miji na vijumba vyao

Ukweli mchungu Mimi naaamini hakuna maskini atakaeurithi ufalme wa mungu yaan kirahisirahisi tu mungu awarithishe ufalme maskini hell no maskini ni kiberiti tu full stop hamna hata kuburgain


😄😄😄😄😄

Kwa hiyo hatutarithi... Daah
 
Utofauti upo Mkuu.

Ngoja nitoe sifa za makazi ya mashetani yalivyo;

1. Hayajakaa kimpangilio mzuri. Mashetani hayapendagi mpangilio. Yanafanyaga mambo hovyohovyo.

2. Pananuka na pachafu. Hii ni kutokana mashetani hupenda uchafu na harufu mbaya.

3. Yamekata miti alafu yakashindwa kupanda miti mingine, hayana Bustani hata ya Maua kwani hayapendi kukaa sehemu nzuri,

4. Yanatesa viumbe vya Mungu. Ukikuta yanafuga mbwa au Paka utakuta vimbwa vimekondeana na Paka wamejawa na masizi Kwa wizi.

5. Makelele. Mashetani hayapendi utulivu. Muda wote kelele na fujo. Manyimbo ya hovyo hovyo tuu.
Ok sawa. Mashetani wengine tupo huku sokoni, yaani bidhaa tunapangiwa chini wakati wa mvua kuna matope na maji machafu...ukishangaa shangaa unapigwa kumbo na kibega aliyebeba gunia la Vitunguu nusura unataka kumuangukia Mama Muuza nyanya.

Ili hali Matajiri wananunu mahitaji yao kwenye majumba yenye AC na tiles na Vibega wanaishia Mlango wa nyuma huko wala hawawezi kuonana na Mteja.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Kwa hiyo hatutarithi... Daah
[emoji23][emoji23]yaani mtu umeshindwa duniani kumiliki makazi Bora eti mungu akupe ufalme hahaha labda MIUNGU ndio inaweza fanya ujinga huo na sio MUNGU WA ISRAEL
 
Ok sawa. Mashetani wengine tupo huku sokoni, yaani bidhaa tunapangiwa chini wakati wa mvua kuna matope na maji machafu...ukishangaa shangaa unapigwa kumbo na kibega aliyebeba gunia la Vitunguu nusura unataka kumuangukia Mama Muuza nyanya.

Ili hali Matajiri wananunu mahitaji yao kwenye majumba yenye AC na tiles na Vibega wanaishia Mlango wa nyuma huko wala hawawezi kuonana na Mteja.


Imagine mtu anajengewa Mwendokasi alafu anakuja kunya ndani yake useme huyo sio Shetani?
 
Mpaka mtu anapewa kibali maana yake amekidhi vigezo. Acha uzwazwa
 
Sema nini mwanangu fahamu kabsa kuita watu maskini mashetani kisa Hali duni ya Maisha umezingua kaka


Mimi mwenyewe sijapenda Ila matendo Yao ndio yamenifanya niwaite Mashetani.

Sisi masikini ni mashetani hata Kama inauma
 
Hilo halizuii ukweli kuwa Masikini wanavuruga mambo mengi Duniani.

Hayo ya kesho yapo tuu, yawe mazuri yawe mabaya tutayakabili Kwa nguvu zote Kwa uweza wa MUNGU mwenye Nguvu na tajiri.
Mimi kama Muislam hakuna sehemu nimeona kwenye Qur an pameandikwa Allah ni maskini. Sisi tunafundishwa Allah ni tajiri na yeye ndio mfalme wa wafalme wote. Nguvu zote na mali zote ni zake.

Kwa namna flani hivi kama nakuelewaelewa hivi hahhhahahahahahah
 
Masikini wana roho mbaya sana, halafu wengi wao wanafikiri wakikuchukia na kukusema ndiyo wanaziba Neema ya Mungu kwako, Wasichojua kuwa wanapokuchukuia wanaziba rizki zao wenyewe. Mungu awape ufahamu.
cc Depal

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Halafu Maskini wasizunguke zunguke mjini hawana magari wanaleta tu msongamano. Mahitaji yao yapelekwe huko huko porini.
Wakionekana mjini wauwawe.
Nb: naflow kuendana na mada mie mwenyewe maskini hapa.
 
Back
Top Bottom