Masikini wasipewe vibali kujenga mjini. Huchafua miji na vijumba vyao

Masikini wasipewe vibali kujenga mjini. Huchafua miji na vijumba vyao

Masikini wa Leo ni Tajiri wa Kesho na Vice Versa....

Ofcourse naturally mtu unajenga sehemu kulingana na kipato kama hauna pesa utawezaje kununua kiwanja Prime Area, Na Cost of Living sehemu hiyo itakufanya uondoke tu...

Swali linakuja kama leo ni tajiri kesho ukiwa masikini ufukuzwe ?

Jibu ni hapana ila naturally cost of living ya sehemu husika itakufanya mwenyewe ujichuje (Na huko ndio tunakoelekea na hizi Kodi / Tozo usishangae wazawa wengi wakakimbia miji). Ila kwa nchi iliyopangika na mipango mizuri sio kila mtu unajijengea Developers wanajenga wengine ni kuchukua Mortgages....
 
Masikini wa Leo ni Tajiri wa Kesho na Vice Versa....

Ofcourse naturally mtu unajenga sehemu kulingana na kipato kama hauna pesa utawezaje kununua kiwanja Prime Area, Na Cost of Living sehemu hiyo itakufanya uondoke tu...

Swali linakuja kama leo ni tajiri kesho ukiwa masikini ufukuzwe ?

Jibu ni hapana ila naturally cost of living ya sehemu husika itakufanya mwenyewe ujichuje (Na huko ndio tunakoelekea na hizi Kodi / Tozo usishangae wazawa wengi wakakimbia miji). Ila kwa nchi iliyopangika na mipango mizuri sio kila mtu unajijengea Developers wanajenga wengine ni kuchukua Mortgages....


Hiyo ndio akili.

Sio kila Jambo unapaswa ufanye.
 
Leo kwa mara ya kwanza naunga mkono mada yako, maskini akipata milioni moja tu anawaza kujenga..mwisho wa siku anajenga kitu cha hovyo.

Basi serikali za mitaa na miji waweke mpango wa upangiliaji makazi utakao ongozwa na sheria ya mipango mitaa na mipango miji kuhusu umuhimu wa kuwepo huduma za maji, barabara, muelekeo wa nyumba ziangalie wapi, bila kusahau nyumba za bajeti ipi zijengwe wapi lakini nyumba zote au 'vibanda' zifuate sheria za majenzi na mipango miji na mitaa.
 
Masikini wa Leo ni Tajiri wa Kesho na Vice Versa....

Ofcourse naturally mtu unajenga sehemu kulingana na kipato kama hauna pesa utawezaje kununua kiwanja Prime Area, Na Cost of Living sehemu hiyo itakufanya uondoke tu...

Swali linakuja kama leo ni tajiri kesho ukiwa masikini ufukuzwe ?

Jibu ni hapana ila naturally cost of living ya sehemu husika itakufanya mwenyewe ujichuje (Na huko ndio tunakoelekea na hizi Kodi / Tozo usishangae wazawa wengi wakakimbia miji). Ila kwa nchi iliyopangika na mipango mizuri sio kila mtu unajijengea Developers wanajenga wengine ni kuchukua Mortgages....
Yani watu wajenge kwenye viwanja vya 10 kwa 10 eti kisa kesho watakuwa Matajiri


Ndio maana waafrica hatuendelei kwa Imani za kipumbavu!


Ile Tandika , Manzese, Mabibo , Vingunguti , Mpaka Buza unadhani zitakuwa lini kwenye mipango ya kueleweka ! ... Kote huko watu walijenga kwa kufuata hiyo Imani yako kuwa Ni masikini wa leo na kesho watakuwa Matajiri !
 
Hiyo ndio akili.

Sio kila Jambo unapaswa ufanye.
Naam sio masikini tu hata matajiri, developers wanajenga kulingana na Mipango Miji..., sio sehemu ya nyumba za chini wewe unajenga ghorofa lako hence kuchungulia watu wakiwa garden kwa chini au kuzuia upepo mwanana uliokuwa unawaburudisha majirani (Mipango iwepo sehemu za maghorofa ni ghorofa na sehemu za nyumba za kawaida ni kawaida....
 
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

Depal

Kwakweli matajiri wanavuka mipaka na mipanya pia.

Maskini ni tatizo mjini hahahahhaaaaaaahahahahhahaha
 
Yani watu wajenge kwenye viwanja vya 10 kwa 10 eti kisa kesho watakuwa Matajiri


Ndio maana waafrica hatuendelei kwa Imani za kipumbavu!


Ile Tandika , Manzese, Mabibo , Vingunguti , Mpaka Buza unadhani zitakuwa lini kwenye mipango ya kueleweka ! ... Kote huko watu walijenga kwa kufuata hiyo Imani yako kuwa Ni masikini wa leo na kesho watakuwa Matajiri !
Umesoma nilichoandika mpaka mwisho ?, Point ni kwamba hata tajiri wa leo kesho anaweza akawa masikini hence maintenance ya hio nyumba kumshinda ila naturally cost na gharama ya sehemu husika itamfanya mtu kuhama / kuondoka. Point kubwa haifai kila mtu ajijengee wawepo developers wanafuata mipango miji...
 
Hahahhahahahahhahahah

Kuzimu ya maskini na matajiri ni tofauti kwa kweli

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂


Masikini wanapenda kujifariji Sana.

Mmezaliwa sehemu tofauti,
Mmekulia mahali tofauti,
Mmesoma sehemu tofauti,
Mnafanya kazi sehemu tofauti,
Mnafungua Harusi sehemu tofauti,
Mmezikwa makaburi tofauti,
Alafu leo muende kuzimu Sawa.

😄😄😄
 
Ukweli Mchungu.... Wanaoharibu mipangilio na mwonekano wa miji ni siye masikini...
 
Samahani Mkuu

Hah ! Hah ! Nimesoma historia na kukumbana na Dr. Kaizer Matanzima Paramount Chief Kaizer Daliwonga Matanzima | Nelson R. Mandela School of Law msomi mmoja wa South Africa alikuwa ana mawazo kama wewe. Hakika somo la historia ni jema sana.


17 Jan 2021
Puppet or Leader ? I don't belive he said this - Dr Kaizer Matanzima


He was a leader of a so called "independent homeland" in South Africa during the apartheid rule. He was leader of Transkei, one of the 9 homelands that was t designed as a mechanism to oppress and ostracise black people from the economy and wealth of South Africa by forcefully putting them in the most remote and rural areas with absolutely nothing.

Source : MrTipps


16 Aug 2015
South african apartheid explained by official of native Affairs department


This was filmed by an American film crew in 1957 in Mamelodi near Pretoria, South Africa. Mr. Prinsloo is a representative from the Native Affairs or Bantu Affairs department under Hendrik Verwoerd who was the minister of native affairs at that time looking after the interest of Black Africans. Note that there is no police or body guards present when Prinsloo is interviewed and he's questioned about the policy of separate development (and how the camera crew actually tries to cover this up by changing the perspective). The township has only recently been build for Blacks that previously were residing in south african slums.
Source : Apartheid Wetenskaplike
 
Waliosema DSM inaongoza Kwa wagonjwa wa akili huenda walikutana na binadamu Kama wewe ndo wakaja na Ile takwimu
 
Habari Wakuu!

Kama kichwa kinavyoeleza hapo, ingawaje Masikini naye mtu japokuwa hana kitu lakini hatuwezi kuukataa ukweli kuwa Masikini ndio mashetani yanayoishi na kuonekana live kwa macho yetu wenyewe.

Kuna watu hapa watasema nawasema vibaya MASIKINI, wengine watasema najisikia, nawadharau na kuwatolea maneno makali hao Masikini. Lakini nataka kusema hapa mimi mwenyewe ni masikini, hivi mambo niyasemayo hapa yananihusu hata Mimi.
Sisi masikini ni mashetani tunaoishi live katika macho ya nyama.

Tatizo la miji kuwa michafu, na watu kujenga pasipo mpangilio linasababishwa na Masikini. Unajua masikini ni mashetani hivyo hawanaga mipangilio, wapo rafu wanajenga hovyo hovyo.

Kama ingekuwa amri yangu, masikini leo hii wasingepewa ruhusa/kibali kujenga kwenye miji na majiji makubwa. Wakaishi huko porini huko kwenye mashamba wakalime.

Serikali kama inataka miji ijengwe kwa mpangilio mzuri basi lazima litolewe tamko kuwa Masikini hawatapewa kibali cha kujenga mijini, na mtu yeyote anayetaka kujenga nyumba mjini anapaswa awe na kiasi cha pesa kisichopungua milioni 50.

Masikini wawekewe sheria kali zitakazowabana ili wasilete ushetani wao Duniani.

Kama wanataka kuishi mjini basi serikali ijenge nyumba za kupanga, au mashirika na makampuni ndio yafanye kazi hiyo kujenga Apartments ili hao masikini wapange.

Matajiri sina neno nao, nafahamu wao wanamuwakilisha Mungu kwani Mungu ni tajiri, ndio maana matajiri hujenga na kuweka mambo/vitu vyao katika mpangilio mzuri.

Miji yote iliyotekwa na masikini lazima iwe michafu inayonuka, vijumba vimejengwa hovyo hovyo Kama takataka.

Masikini wajengewe miji Yao huko nje kabisa ya miji au maporini huko wakae wenyewe, au Kama wanataka kuishi mjini basi wapangishe nyumba zilizojengwa na serikali au matajiri.

Sitaki kuzungumzua habari ya machinga jinsi wanavyovuruga miji na kusababisha uchafu wakaapo barabarani.

Niishie hapa Masikini wenzangu wasije nipiga mawe, najua wataniona lakini ukweli nimewapa, wengine watanichukia lakini hilo halinipi shida kwani mashetani ni kawaida Yao kuwa na chuki.

Mashetani yakikupenda jua ni Kwa unafiki na yanakitu yanakihitaji kutoka kwako.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dodoma
Weka kigezo cha maskini. Kwa maana siyo wote wenye nyumba mbovu ni masikini.
 
Ukweli mchungu Mimi naaamini hakuna maskini atakaeurithi ufalme wa mungu yaan kirahisirahisi tu mungu awarithishe ufalme maskini hell no maskini ni kiberiti tu full stop hamna hata kuburgain
 
Back
Top Bottom