Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Masikini wa Leo ni Tajiri wa Kesho na Vice Versa....
Ofcourse naturally mtu unajenga sehemu kulingana na kipato kama hauna pesa utawezaje kununua kiwanja Prime Area, Na Cost of Living sehemu hiyo itakufanya uondoke tu...
Swali linakuja kama leo ni tajiri kesho ukiwa masikini ufukuzwe ?
Jibu ni hapana ila naturally cost of living ya sehemu husika itakufanya mwenyewe ujichuje (Na huko ndio tunakoelekea na hizi Kodi / Tozo usishangae wazawa wengi wakakimbia miji). Ila kwa nchi iliyopangika na mipango mizuri sio kila mtu unajijengea Developers wanajenga wengine ni kuchukua Mortgages....
Ofcourse naturally mtu unajenga sehemu kulingana na kipato kama hauna pesa utawezaje kununua kiwanja Prime Area, Na Cost of Living sehemu hiyo itakufanya uondoke tu...
Swali linakuja kama leo ni tajiri kesho ukiwa masikini ufukuzwe ?
Jibu ni hapana ila naturally cost of living ya sehemu husika itakufanya mwenyewe ujichuje (Na huko ndio tunakoelekea na hizi Kodi / Tozo usishangae wazawa wengi wakakimbia miji). Ila kwa nchi iliyopangika na mipango mizuri sio kila mtu unajijengea Developers wanajenga wengine ni kuchukua Mortgages....