Masikini wasipewe vibali kujenga mjini. Huchafua miji na vijumba vyao

PEPO TOKA πŸ‘Ή
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unaonajr ukaenda kuishi washington?
 
Imagine mtu anajengewa Mwendokasi alafu anakuja kunya ndani yake useme huyo sio Shetani?
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Halafu Maskini wasizunguke zunguke mjini hawana magari wanaleta tu msongamano. Mahitaji yao yapelekwe huko huko porini.
Wakionekana mjini wauwawe.
Nb: naflow kuendana na mada mie mwenyewe maskini hapa.
Hahahhahahahahhahahhahha

Nyinyi matajiri kwa kweli duh
 
Nimeona Misri nikashangaa sana ... Tajiri wa kampuni ninayopata riziki inatoka huko, ambaye ni tajiri sana .. Amepanga nyumba watu kule wanapanga tu , nyumba zinajengwa aidha na serikali au matajiri kwa ajili ya kupangisha watu ...., wakati mimi najiita nimejenga bongo .. Ni mentality za kimaskini kufikiri mtu fukara anaweza kujenga nyumba mjini..Ndio maana mipango miji inasumbua ..

Jukumu la kujenga lifanywe na serikali au taasisi zenye uwezo , kuondoa sintofahamu kwenye ujenzi wa nyumba ..
 
Leo kwa mara ya kwanza naunga mkono mada yako, maskini akipata milioni moja tu anawaza kujenga..mwisho wa siku anajenga kitu cha hovyo.
Hapo utakuta account yako ya bank inasoma 1000 .
 
Uzi wa kipuuzi
 


Hawatanielewa
 
Halafu Maskini wasizunguke zunguke mjini hawana magari wanaleta tu msongamano. Mahitaji yao yapelekwe huko huko porini.
Wakionekana mjini wauwawe.
Nb: naflow kuendana na mada mie mwenyewe maskini hapa.


πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…