Masikini, wavivu na watu wenye roho mbaya walikuwa wakifurahia hatua za Magufuli kuturudisha kwenye UJAMAA

Mwandazake alikua Rais wa ajabu haijawai tokea,
 
Bora uwe maskini wa vitu kuliko umaskin wa akili.
 
Bora uwe maskini wa vitu kuliko umaskin wa akili.
Halafu kizazi hiki unapataje ujasiri wa kudharau mfumo uliokupatia fursa ya kuitwa nchi yenye amani na ukarimu??kwa kifupi sielew kwa nini unpoteza muda kukandia watu wenye uthubutu km jpm aliyeendeleza utamadun ulioanzishwa na watangulizi wake??tena ni uumini wa advance socialism kuna kosa gan??alivyosema km ni barabara za ksasa,reli za kisasa,nishati ya uhakika tujenge kwa resorces zetu ni mvivu au n maskin??sikia licha ya udhaifu wa kibinadamu anayempinga jpm anapingana na slogan ya hapa kazi tu huyo sasa ndiyo mvivu,na sitashangaa kumuona akitumia slogan ya kaz iendelee kwa kuendekeza uvivu,upumbavu na uonevu wa makusudi,china kamwe hawez kuuacha ujamaa ambao ameufanya kuwa advance socialism na umefanya kuwa nchi ya pili kiuchum duniani.
 
Tumeambiwa kwenye mafundisho yakwamba tukipewa neema alafu tukiwa wajeili tutaletewa kiongozi mshenz
 
Ni ujamaa wa namna gani magufuli alikuwa anatupeleka ?πŸ€”

NB: Jua kutofautisha Kati ya Socialism na Dictatorship.
 
Communalism ni nini?πŸ€”
 
Tokea ubepari uanzishwe una bilioni ngapi kwenye akaunti yako?

Sera ya ubepari ni ya kupingwa coz wengi wanateseka na wanaonufaika ni wachache sana

Sera ya ujamaa inanufaisha wananchi wote
Wewe mbuzi nini? Fanya kazi na utakula kwa jasho lako. Wewe kaa hapo fuga tu kucha huku ukiomba matajiri wafilisiwe ili wewe ule
 
Ujamaa wote uliobaki duniani kwa sasa ni ujamaa uchwara
 
Tofautisha UBEPARI na UFISADI ULIOTUKUKA CHINI YA CCM.

CCM zote, ya Magufuli, hata hii ya sasa ni UNYONYAJI MTUPU.
Kuanzia Nyerere mpaka sasa ni unyonyaji na ufukarishaji.


Vyama vya Ushirika vimekufa, majirani zetu kenya wamejifunza kwetu ushirika, sasa hivi vyama vya ushirika ke vina nguvu kubwa sana kiuchumi.

Nyerere angeacha vikastawi tz tungekuwa wapi?
 
Ni zamu ya masikini kuisoma namba kupitia vitu bei juu.walichekelea matajiri na wanasiasa wakushughulikia. Eti leo vitu bei juu wanahoji mbona zitto, Mbowe, lema nk eti wapo kimya. Nyie wakati wanateswa si mlikuwa kimya. Pambananeni na hali zetu hata unga ukifika kilo sh 5000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…