Masikini, wavivu na watu wenye roho mbaya walikuwa wakifurahia hatua za Magufuli kuturudisha kwenye UJAMAA

Masikini, wavivu na watu wenye roho mbaya walikuwa wakifurahia hatua za Magufuli kuturudisha kwenye UJAMAA

hukuawai kuwa mzalendo unajua maana ya uzalendo ww? kupenda nchi na sio mtu nachukua watu wa dizaini yako walio jipa uzalendo wakizani mfalme ni mungu ataishi milele ungekua mzalendo ungeonesha saiz jinsi unavyo fanya iyo Kazi ambayo ulikua unafanya mpaka usiku ili ulete tija na kuongeza ufanisa wazalendo wapo mpakani hawalali ili ww ulaze matter ko yako Salama huu ujinga nimeusoma kwako Zaid ya Mala moja (sorry kama nimetumia lugha mbaya no hard feelings dude)
Mkuu punguza chuki na ufafanue maana ya uzalendo kulingana na maandiko yamkini wewe ndio hufahamu maana ya uzalendo au unapindisha kwa makusudi.
 
Mkuu punguza chuki na ufafanue maana ya uzalendo kulingana na maandiko yamkini wewe ndio hufahamu maana ya uzalendo au unapindisha kwa makusudi.
no hard feelings dude nikosoe tupo kwa ajili ya kuelimishana hii ndio Jf so tell me what u gat bro
 
Ni fisadi tu anayeweza kuupinga utawala wa mzalendo jpm
Yani mtu alitaka achukue coco beach iwe yake halafu tuingie kwa kiingilio.😂😂😂???
Ila kwa akili za mtoa mada ataona hio ilikuwa sahihi, ubepari unatuletea tabia ya ubinafsi na umimi.

Ubepari wa kibongo bongo ni wa kugombania nafasi maofisini kwa kujazana ndugu 😂! Ushenzi kama huu hatuwezi kuukubali kwa namna yeyote ile wala hauwezi kuwa ubepari ni ushenzi
 
Ujamaa na roho mbaya.
images (4).jpeg
 
Jamaa walichukia sababu hio hela ya rushwa ilikuwa ngumu kuipata, yani walilazimika kuishi kwa mishahara tofauti na kwa JK ambako mtu mwenye nafasi alikuwa anafisadi hadi analewa na mipesa. Anaishi maisha yasio yake kwa kutesa wengine ila kwao freshi. Huu ndio ujinga wanahisi ni ubepari.
Duh! acha tu mkuu yaani ya now unabananishwa mpaka unajuta kusign contracts.
project contractors wengi awamu hii wanakimbia miradi mingi maana rushwa kila sehemu mfano bandari ya bagamoyo,n.k mwisho wa kukabidhii unajikuta umeingia hasara kubwa sana.
 
Habari!
Watu maskini, wajinga (waliokosa elimu), na wavivu ndio makundi ya watu waliokuwa wakifurahia harakati za Magufuli kutupeleka kwenye UJAMAA.

Hata.
UJAMAA hauwezi kufurahiwa na watu wenye bidii na vipawa katika utafutaji. Hata Wachina wanaukacha UJAMAA na kuanza kuishi kibepari, kila mmoja anakula kipawa na juhudi zake. Magufuli alipotumbua viongozi ilikuwa faraja kwa makundi hayo niliyoyataja, alipowafilisi mabosi kundi hili walishangilia.

Kundi hili kila siku linaishi likiamini kuwa matajiri wote ni mafisadi na wezi wa pesa zao. Kundi hili furaha yao ni kuona wa juu anashuka chini hata kama wao hawatapanda juu.

Umaskini mbaya waku
Habari!
Watu maskini, wajinga (waliokosa elimu), na wavivu ndio makundi ya watu waliokuwa wakifurahia harakati za Magufuli kutupeleka kwenye UJAMAA.

Hata.
UJAMAA hauwezi kufurahiwa na watu wenye bidii na vipawa katika utafutaji. Hata Wachina wanaukacha UJAMAA na kuanza kuishi kibepari, kila mmoja anakula kipawa na juhudi zake. Magufuli alipotumbua viongozi ilikuwa faraja kwa makundi hayo niliyoyataja, alipowafilisi mabosi kundi hili walishangilia.

Kundi hili kila siku linaishi likiamini kuwa matajiri wote ni mafisadi na wezi wa pesa zao. Kundi hili furaha yao ni kuona wa juu anashuka chini hata kama wao hawatapanda juu.

Umaskini mbaya wakuu.
Watu wengi wanao beza uongozi wa JPM Wana mapungufu ya akili mfano wewe na kigwangala, umebeba kichwa kama umebeba fuvu atakama una fuvu basi tumia fuvu lako vizuri
 
Wewe mbuzi nini? Fanya kazi na utakula kwa jasho lako. Wewe kaa hapo fuga tu kucha huku ukiomba matajiri wafilisiwe ili wewe ule
Kabla ya Magufuli watu walifanya kazi na hata alipokuwa madarakani watu walifanya kazi zaidi. Mnaolalamikia utawala wa Magufuli ni wale ambao mlikuwa kazini mkiiba hela kijanjajanja kwa kuandika proposal za kifisadi, mkiweka 10% kwenye mifumo ya tender, procurement na wale vyeti feki. Hayo yote yalikuwa halali hadi alipotokea mtu akasema ni marufuku kuendeleza hizo tabia na kuwatimua timua.

Tajiri aliyenyooka na mfanyabiashara mkubwa kama Bhakressa alikuwa na hakuwahi kuingia matatizoni na Magufuli. Mbona sijawahi msikia akilalamikia awamu ya 5? Nyie wapuuzi wakwepa kodi ndio mlinyooshwa na mkono wa chuma.
 
Mwenyewe una utajiri gani? Vibajaji viwili na banda unajiweka kundi la tajiri😂. Magufuli aliungwa mkono na wasomi na watu wako vizuri tu sio unawaita maskini.
Mnajidai kupenda ubepari wakati wala sio ubepari mnafanya ila kufanya magendo kuibia umma na kutumikia maslahi ya ubeberu wa kimataifa. Kwa msingi huo kamwe nchi haiwezi kuendelea.
Isitoshe itikadi rasmi ya ccm ni ujamaa na kujitegemea. Ccm ilishabadili mkakati jinsi ya kujenga ujamaa. Badala ya kutumia sekta ya umma sasa ni kutumia sekta binafsi.
Ili kufanikiwa sekta binafsi lazima kudhibitiwa na serikali. Kilichotokea kikawa tofauti. Ikawa sekta binafsi kudhibiti serikali.
Jpm alirejesha hali kuelekea nchi kujenga ujamaa kwa kudhibiti sekta binafsi. Sasa fisadi na wapiga dili mnafurahia hali ya sekta binafsi kudhibiti serikali kurejea.
Eeh yani kitu kinachoshangiliwa sasa ukiangalia kwa karibu ni sawa kabisa na hicho. Wafanyabiashara walishazoea kuichezea na kuitumia serikali on their advantage. Vitu vingi vilivyokuwa vinafanyika lobbying ni za kuiumiza serikali kama benki flani kushikilia hela za serikali kisha inaikopesha tena hela zake.

Sasa serikali iliposimamishwa na kunolewa meno na JPM wenye akili walielewa tu kuwa nchi tayari ina uongozi thabiti. Waliojiongeza walibadilika wakakaa katika njia ilionyooka.

Yani ni sawa kabisa na mwalimu wa nidhamu mkali kuamua ku deal na tabia ya wanafunzi watukutu na kuwaweka sawa kwa kusimamia time managemenent na sheria za shule. Lazma wahuni wangemchukia na kumuona mnoko.

Impliedly ni lazma wafanyabiashara wanyonyaji na waumini wa rushwa ili waendelee ku survive wangemchukia Magufuli tu.
 
Duh! acha tu mkuu yaani ya now unabananishwa mpaka unajuta kusign contracts.
project contractors wengi awamu hii wanakimbia miradi mingi maana rushwa kila sehemu mfano bandari ya bagamoyo,n.k mwisho wa kukabidhii unajikuta umeingia hasara kubwa sana.
Hela haitoki kwa wakati yani dah, hasara kweli unakuta watu washavuta mzigo hazina ila wameutia kwenye biashara zao flani wanasubiria baada ya kuuza mzigo ndio wawalipe. Huku ndiko tulikokuwa kabla ya JPM na ndio tumerejeshwa kwa kasi.
 
tukuone basi wewe ukitajirika kwa kupiga hela ya umma. Huyo muovu lake kubwa ilikua kupambana na ufisadi serikalini, kukusanya kodi na kusimamia miradi ya maendeleo. Kama wewe uliona ni uovu bila shaka utakua mtu fisadi.

Hakuna mtu asiyetaka uhuru wa vyombo vya habari akawa anapambana na ufisadi. Yule hakuwa anapambana na ufisadi, bali alikuwa anapambana na matumizi ya neno fisadi.
 
Mkuu zile sera za Magufuli hazikuwa za ujamaa wala sera zozote zinazo julikana.
Jamaa alikuwa anatengeneza kada ya viongozi waliokuwa waoga kuhoji chochote serikalini na kwenye chama.
Hata watu wakiambiwa wasije na mavi yao, viongozi wanashangilia tu.
Vile vile alikuwa anatengeneza umma wa masikini na wafuasi walioghilibiwa akili kufikiri anawasaidia, kumbe anatengeneza jeshi la wafuasi wasiojua kitu na wanabaki masikini.

Uoga ulikithiri maana waliokuwa wanahoji hata masuala ya msingi wanafukuzwa kazi au hata kuuwawa.
Mifano ya wazi ni Ben Saanane na Lwajabe.
Hata CAG alipouliza zilipo Tshs 1.5 Trilioni za watanzania, alifukuzwa kazi.
Ile ilikuwa Awamu ya mtu kujiamulia anayotaka na asihojiwe.
Lakini Mungu fundi.
exactly, na amezalisha misukule mingi leo inatusumbua humu mitandaoni kutukana serikali na Rais
 
Eeh yani kitu kinachoshangiliwa sasa ukiangalia kwa karibu ni sawa kabisa na hicho. Wafanyabiashara walishazoea kuichezea na kuitumia serikali on their advantage. Vitu vingi vilivyokuwa vinafanyika lobbying ni za kuiumiza serikali kama benki flani kushikilia hela za serikali kisha inaikopesha tena hela zake.

Sasa serikali iliposimamishwa na kunolewa meno na JPM wenye akili walielewa tu kuwa nchi tayari ina uongozi thabiti. Waliojiongeza walibadilika wakakaa katika njia ilionyooka.

Yani ni sawa kabisa na mwalimu wa nidhamu mkali kuamua ku deal na tabia ya wanafunzi watukutu na kuwaweka sawa kwa kusimamia time managemenent na sheria za shule. Lazma wahuni wangemchukia na kumuona mnoko.

Impliedly ni lazma wafanyabiashara wanyonyaji na waumini wa rushwa ili waendelee ku survive wangemchukia Magufuli tu.

Kupora fedha za wenye bureau de change ni kuweka watu kwenye mstari? Au mimi ndio sielewi kuweka watu kwenye mstari?
 
Kupora fedha za wenye bureau de change ni kuweka watu kwenye mstari? Au mimi ndio sielewi kuweka watu kwenye mstari?
Watu hawakupewa notification kabla kuwa wafunge? Kama ulikaidi zikachukuliwa kosa ni la nani hapo?
 
Hiyo ndio misukule ambayo ametuachia jiwe,walikuwa wanafurahia wafanyabiashara wakiporwa fedha zao
Umeambiwa biashara hio usitishe mkapewa utaratibu wewe umekaidi ulitaka usaidiweje?
 
Hakuna kipindi nilikuwa mzalendo kwa nchi yangu kama kwenye utawala wa JPM nlikuwa na wivu na nchi yangu hatari. Kila aliyehujumu choxhote nlikuwa mkali as if ananiibia mimi
Umasikini tu ulikuwa unakusumbua mkuu!
 
Watu hawakupewa notification kabla kuwa wafunge? Kama ulikaidi zikachukuliwa kosa ni la nani hapo?

Hakukuwa na notification yoyote. Je notification ya nini wakati hiyo biashara ilikuwa kisheria, ama kuna sheria yoyote ilipitishwa ili kusitisha hiyo biashara?
 
Back
Top Bottom