Maskini hana aibu, kimbia ukiona hivi

Jiwe limekupata ukiwa wapi ,naskia mayowe hapa
Mie umri ulionao sio wakutumiwa elf 10, hizo nizawasichana wadogo, sasa kama ninauwezo wakujinunulia mahitaji hiyo buku 10 wapelekee huko
 
Umemaliza mkuu, mi ndo formula yangu, mwanamke akianza habari za nauli story zinaishia hapo!

Kuna mmoja aliomba mpaka hela ya kushona nguo ili tutoke, na siku yenyewe ya kutoka eti anakuja na rafiki yake!
... halafu wanaagiza vinywaji kwa fujo na wakati mnaondoka eneo la tukio wamekumbatia bia za Kwenda kunywea nyumbani! 🤣
UMELIWAAAA!
😅
 
Vile hatujuani tu humu mngeona maajabu ya familia zao na dada zao walivyopauka alafu hapa anataka dinner na Hela hana eti mrembo jigharamikie mwenyewe matajiri wa wapi nyinyi? Nyinyi ni njaa Kali, huna kitu mwambie shida Yako hapo hapo acha mbwembwe.
au basi
 
Utapigwa mawe lakini una hoja
 
Una uhakika tunawaomba mitoko ili waje na marafiki zao na shida nyingine nyingi ambazi hazihusiani na mtoko.
Wee kichwani una Shida mahala sio bure nani kasema tunawaomba mitoko alafu tunataka mkija mjihudumie.
 
Danga linginge hapa linatetea danga mwenzie
 
Aisee yan hawa wanawake sio,nowdays wanachoangalia wao ni pesa tu kwenye mahusiano..yeye binafsi hana anachokupa zaid ya tako na K ila yey atataka umnunulie simu,ulipe kodi sijui saloon yan usenge mtupu..hapo bado mkitoka out show nzima usimamie wew kuanzia chakula mpaka vinywaji,na vinywaji vyao ni Savannah,windhoek,disperado,heineken mara Four cousin wkat msela hapo unashushia konyagi ndogo...bado ukienda nae geto kumkaza umpe hela ya nauli...dah huu ni usenge jazband
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…