Mie umri ulionao sio wakutumiwa elf 10, hizo nizawasichana wadogo, sasa kama ninauwezo wakujinunulia mahitaji hiyo buku 10 wapelekee hukoJiwe limekupata ukiwa wapi ,naskia mayowe hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie umri ulionao sio wakutumiwa elf 10, hizo nizawasichana wadogo, sasa kama ninauwezo wakujinunulia mahitaji hiyo buku 10 wapelekee hukoJiwe limekupata ukiwa wapi ,naskia mayowe hapa
Mda huu uko macho shemeji yuko wap 😀😀😀 au nkuache kwanzaMie umri ulionao sio wakutumiwa elf 10, hizo nizawasichana wadogo, sasa kama ninauwezo wakujinunulia mahitaji hiyo buku 10 wapelekee huko
Tulikuwa tunatizama mpira si unajua kesho weekendMda huu uko macho shemeji yuko wap 😀😀😀 au nkuache kwanza
... halafu wanaagiza vinywaji kwa fujo na wakati mnaondoka eneo la tukio wamekumbatia bia za Kwenda kunywea nyumbani! 🤣Umemaliza mkuu, mi ndo formula yangu, mwanamke akianza habari za nauli story zinaishia hapo!
Kuna mmoja aliomba mpaka hela ya kushona nguo ili tutoke, na siku yenyewe ya kutoka eti anakuja na rafiki yake!
Usiseme mtu sema utelezi. Utelezi hata kwenye sabuni upo. Acheni kujiuzaUngemaliza shida zako kwenye hiyo pesa Yako kama Ina thamani, pesa Ina thamani kuliko mtu? Eti siwezi tuma zaid ya ten, kweli nyinyi matajiri, aisee.
kuizarau hela yangu na kusema inabaki 10k muda alikuwa anahitaji nauli tu nikatuma kuzidisha 10 bado anaona haifai. Shwaaaaaaaaah mualama huoo ukarudiShida iko wapi Sasa?
Aliona umevaa jezi ya Barcelona, Ile ya UNICEFKuna mmoja kaniambia hana habari na X wake tena, sasa hivi anatafuta mtu wa kumsaidia yeye na watoto wake wawili basi.
Yaani analazimisha mambo sijui aliniona mi Muha.
Sasa hivi nimem-ghost kanikasirikia kama ananijua
au basiVile hatujuani tu humu mngeona maajabu ya familia zao na dada zao walivyopauka alafu hapa anataka dinner na Hela hana eti mrembo jigharamikie mwenyewe matajiri wa wapi nyinyi? Nyinyi ni njaa Kali, huna kitu mwambie shida Yako hapo hapo acha mbwembwe.
Ndiyo anakukaribisha ukamsaidiye kutunza
Utapigwa mawe lakini una hojaSiku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796
Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
Yan anataka ww ndo uwatunze?😊
Unamzingatia rafiki yake yeye unampotezeaUmemaliza mkuu, mi ndo formula yangu, mwanamke akianza habari za nauli story zinaishia hapo!
Kuna mmoja aliomba mpaka hela ya kushona nguo ili tutoke, na siku yenyewe ya kutoka eti anakuja na rafiki yake!
Soma tena uelewe nilichomaanisha maana sijakataa kuombwa kumuhudumia nilichokataa ni huo utapeli uliozidi.Mada ni pesa ya mtoko, pili amekuomba kama huna si useme huna tatizo lipo wapi?
Una uhakika tunawaomba mitoko ili waje na marafiki zao na shida nyingine nyingi ambazi hazihusiani na mtoko.Acheni kuomba mitoko nyinyi kwanza muone kama Kuna mtu anakuomba, ombaomba nyie mnaoanza kuomba mitoko, mwambie shida Yako hapo mnapokutana mpaka mkafahamiana acheni kurudisha wanawake nyuma na bajet za mitoko yenu, subir akiomba yeye mtoko atagharamikia
Win win situationUnamtafuta kwa shida zako, naye anakupokea kwa shida zake.
1 - 1 Full time
Shida unaenda kuzisakanyua wewe mwenyewe; kwa hiyo pambana na hali yako.
Hahaha madam hela ya tution tunalazimishaDoesn’t ❎
Don't ✅
Haya uje na hela ya tuition.
Danga linginge hapa linatetea danga mwenzieAkili finyu wewe mbona ndo wa kwanza kumuomba mtoko? Yeye akiomba maskini wewe ukiomba una akili we ndo maskini, mwanamke kama mwanaume hawezi kukuhudimia mkimbie,, hayo mambo kama huyawezi waachie wenyewe katafte pesa, umtie shombo sabuni manukato anunue mwenyewe, tafuta watoto wenzako mkacheze