Unachosema upo sahihi, lakin sasa mambo yanakuwa mengi kwenye hii nchi, majukumu ni mengi pia kwa raia,
Ukisema utumie muda mwingi kupambania siasa, wanasiasa wakishapata keki hawakukumbuki na wanakugeuka huku niny hamjapata Chochote,
Yanaweza tangazwa maandamano, mkaacha kazi mkaenda huko, mwisho viongozi wakaitwa, wakapewa bahasha, wakasema tusubiri mpaka mwakani,
Unapambana mtu awe mbunge kwa sababu anaonyesha ana potential, akifika kwenye ubunge anakuwa kama wale wale tu 😂😂 na hii ni kwa both, CCM na Upinzani,
Sasa hii trend watu wamekuja kuona kuwa hii nchi siasa ni ajira za watu, kujipeleka kwenye siasa ni kwenda kuwa mtaji wa watu, thus why wanakimbia