Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Hii kweli Jf intelligence hayo maswali kama mafumbo...

Ok kwa kurahisisha tu ni kwamba kila mtume alitumwa kwa watu wake wa eneo hilo.. Ushaelewa mkuu...au bado unataka wakina eistein waje..
 
hivi wadau pamoja na shule nyingi za kata kuchipua kila mahali, internet za simu n.k bado English ya kusoma ni tatizo hivi?
dah sikutegemea
Haaaaa ww wasema, iv unajua jins tunavyomezeshwa shule za kata..tunameza majibu tu
 
Hii kweli Jf intelligence hayo maswali kama mafumbo...

Ok kwa kurahisisha tu ni kwamba kila mtume alitumwa kwa watu wake wa eneo hilo.. Ushaelewa mkuu...au bado unataka wakina eistein waje..
sijaelewa
 
Hii kweli Jf intelligence hayo maswali kama mafumbo...

Ok kwa kurahisisha tu ni kwamba kila mtume alitumwa kwa watu wake wa eneo hilo.. Ushaelewa mkuu...au bado unataka wakina eistein waje..

Kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa hata Yesu alikuja kwa ajili ya wana wa Israel tu? na hata walivyoandika kuwa amekuja kuukomboa ulimwengu wana maanisha amekuja kukomboa Israel tu??
Najaribu kuwaza.............
 
nilijichanganya,aliyelala na watoto wake ni lutu yule jamaa wa sodoma na gomora,eti wanamsema alikua mtu wa mungu hadi akaponyeshwa yeye na family yake kabla mkewe hajageuzwa nguzo ya chumvi,alibaki na mabinti zake wawili akawapa mimba.

Kabla ya hapo alikuwa amewatoa mabinti zake wabakwe na vijana wahuni wa sodoma na gomora
Hamna kitu km iko,Qur'an imeelezea kwa ufasaha kisa cha nabii Lu't
 
Kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa hata Yesu alikuja kwa ajili ya wana wa Israel tu? na hata walivyoandika kuwa amekuja kuukomboa ulimwengu wana maanisha amekuja kukomboa Israel tu??
Najaribu kuwaza.............

Yesu ndio alikuja kwa wana waisrael tu, ila na yeye mwenyewe alikubari ilo, na akabashiri mtume atakae kuja kwa ulimwengu wote, yohana 14:16 had 17
 
Jamani nmeona ni share hii link mkasome wamelezea kuhusu nuhu na watoto wake watatu na kisa cha ham kulaniwa na baba yake nmejarbu kusoma nkakuta inasema baadh ya wanachuon Wa bible walivyo chambua wana sema ham almsodomiz baba yke baada yakulewa. Samahani mi mwenyew halija nvutia hil jambo ila ndo mafundisho tunayoambiwa tuyafate na walimu wetu Wa kibibilia

The Three Families of Man | Genesis 9:18-28 | RayStedman.org
 
Genesis6:19 You are to bring into the ark two of all living creatures, male and female, to keep them alive with you.

In Genesis posits that Noah gathered "kinds" of animals and not all "species," an estimated 16,000 pairs, which raises a few animal-related questions:



1.What about specialized diets (bamboo for the giant panda, meat for the carnivores, fresh vegetation for the herbivores)?

2.Who cleaned each stall and shoveled the tons of daily excrement through the huge ark’s single window?

3.How did they separate the predator and prey animals? Did the lion lay with the lamb?

4.How do you explain the acquisition and loading of animals not indigenous to the Middle East (many separated by oceans), like the polar bear, the sloth, the crocodile, the fruit bat, the anaconda, etc?

5.And how did the penguins and other cold-climate creatures survive in the blistering desert heat?

6.Wouldn’t freshwater rains from the sky have made the saltwater deadly to ocean marine life?

7.And wouldn’t saltwater have proven equally toxic to all freshwater fish?
Hizi zote ni riwaya tu, hazina uhalisia, msiuane bure.
 
Ukiamini MUngu aliymba hii dunia then hutakuwa na maswali kuwa ilikuwaje kipindi hiko.
Je una uhakika kipindi cha nuhu mabara haya yalikuwepo?? Au ilikuwa ni Moja tu
Huu ndio ujinga ninaoukataaga Mimi, kila kitu ukihoji unatishiwa kuamini tu hata visivyowezekana.
 
Ukisoma kuna watu waliwekwa kwenye tanuru la moto na hawakuungua..
Kakae wewe tuwashe moto tuone..
'Alitenga maji na anga kisha akatenga maji na maji'
sasa kumuweka simba na kondoo pamoja anashindwaje???
excretion???? kama aliwafunga matumbo je..
Heri yao waaminio kama mtoto mdogo maana ufalme wa mungu ni wao..
ujitahidi kusali kabla ya kusoma bible ili uweze kufunuliwa uyasomayo
Stories tu hizo. Mbona hamshiki nyoka na kunywa sumu, kutembea juu ya maji leo? Au imani imekwisha!
 
Naskia kwenye gharika kulikuwa na survivors ndio hao nephilims soma Hesabu 13:33
 

Attachments

  • FB_20160313_17_09_23_Saved_Picture.jpg
    FB_20160313_17_09_23_Saved_Picture.jpg
    15.3 KB · Views: 51
Yesu ndio alikuja kwa wana waisrael tu, ila na yeye mwenyewe alikubari ilo, na akabashiri mtume atakae kuja kwa ulimwengu wote, yohana 14:16 had 17
Atakuja mtume mwingine???
Kumbe Yesu si mtume wa dunia nzima? kama ndivyo sisi waafrika mtume wetu ni nani????............naendelea kujifunza.........
 
Atakuja mtume mwingine???
Kumbe Yesu si mtume wa dunia nzima? kama ndivyo sisi waafrika mtume wetu ni nani????............naendelea kujifunza.........

Aliembashiria kuja alishakuja, ni MUHAMMAD (S.A.W) Mtume wa ulimwengu wote,na alikuja na kitabu cha ulimwengu wote kisicho na Shaka ndani yake,na ni mtume wa mwisho,
 
Back
Top Bottom