1. Zanzibar hawataki bandari za kisasa kupokea mizigo yao? Mbona wanapanua bandari? Soma link hiyo uone kuwa nao wanahitaji upanuzi na ufanisi. Inaingia akilini kweli kuwa bandari zooooooooooote za Tanganyika zibinfishwe kuwa bora na za kisasa mwekazaji aziacheza zanzibar. Mizigo kwani inaenda na kutoka nchi ulizozitaja?
2. Kwahiyo unasema Assad aneza kuwa expert witness kwa vile hakuna ownership ya knowledge?
3. kama hakuna discrepancies/inconsistencies katika ushahidi huwa hakuna kesi. Hivyo ilibidi ajibu upotofu huo!
Kubadirika huko niko angelikujibu.......kma Prof!
zpc.go.tz