Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

Aaah!
Kumbe wewe ni mZanzibari!

Kwa hiyo utambulisho wako ni kama ifuatavyo, kwa mpangilio huo huo wa umuhimu:

1. Mwarabu
2. Muislam
3. Mpemba
4.Mzanzibari

Na inapolazimu kufanya hivyo kwa sababu maalum
5. mTanzania

Sina la ziada la kujadili nawe hapa.

Ila nikukumbushe tu kuhusu mstari wako huo uliouweka hapo mwisho unaosomeka ifuatavyo:

"Mtabakia kubweka tu humu JF, DP wanakuja na watainvest wala hamuwezi kufanya Kwiii; na mara hii hatufanyi makosa tena kuwaachia nyinyi mnaojifanya waafrika koko na kutuchafulia nchi yetu."

Haya maneno ni kama yaliyoandikwa na mwenda wazimu, asiyekuwa na uelewa wa kitu anachokizungumzia au andika. Ila kwa mtu kama wewe, kutokana na jinsi ulivyojitambulisha toka mwanzo uliponijibu mimi, naona kuwa wewe ni mmoja wa watu waliomo kwenye kundi linalojiaminisha maajabu ya namna hiyo kuwezekana tena wakati huu!
Ni ajabu sana kuwa na fikra za aina hii karne hii.

Mkuu 'jag', nimemalizana nawe, na nashukuru sana kwa kukujua uhalisia wako ulivyo.
L
Wewe niite vyovyote utakavyo, nyinyi mnaojifanya waafrika koko , huku mkitumiliwa na mabwanyeye wenu kutoka Vatican , tumeshawaelewa, mnataka kuchafuwa nchi halafu mkimbilie kwa mabwana zenu wazungu,
Nakuambua tena , utajamba humu Kwenye Keyboard lakini huku uwanjani katu hamwezi kubweka kwii , tutawadhibiti vizuri kwa mkono wa chuma na kuwamalizia mbalini. Tunawajua vizuri , tuliwapa mwanya kidogo mtowe maoni lakini mumepanda vichwa mnatatoa matusi na kejeli , na kuhatarisha usalama wa nchi, Mtakiona cha matema kuni mmoja mmoja tuwapa VIP treatment
 
L
Wewe niite vyovyote utakavyo, nyinyi mnaojifanya waafrika koko , huku mkitumiliwa na mabwanyeye wenu kutoka Vatican , tumeshawaelewa, mnataka kuchafuwa nchi halafu mkimbilie kwa mabwana zenu wazungu,
Nakuambua tena , utajamba humu Kwenye Keyboard lakini huku uwanjani katu hamwezi kubweka kwii , tutawadhibiti vizuri kwa mkono wa chuma na kuwamalizia mbalini. Tunawajua vizuri , tuliwapa mwanya kidogo mtowe maoni lakini mumepanda vichwa mnatatoa matusi na kejeli , na kuhatarisha usalama wa nchi, Mtakiona cha matema kuni mmoja mmoja tuwapa VIP treatment
Nimekwisha malizana nawe, sina tena jipya la kukueleza hapa.

Kama inakupendeza, endelea mwenyewe kwa wakati wako upendavyo.
 
Nimekwisha malizana nawe, sina tena jipya la kukueleza hapa.

Kama inakupendeza, endelea mwenyewe kwa wakati wako upendavyo.

Mara ngapi umemaluzana na Mimi? Nyinyi vibaraka wa rainbow flag tutawanyoosha tu , mpaka mkae sawa msituletee fujo nchini
 
Mara ngapi umemaluzana na Mimi? Nyinyi vibaraka wa rainbow flag tutawanyoosha tu , mpaka make sawa msituletee fujo nchini
EEeeenHeeeee!

Najiruhusu kucheka tu nikiona akili zikikuruka kichwani.....EeeenHeeeeee!
 
EEeeenHeeeee!

Najiruhusu kucheka tu nikiona akili zikikuruka kichwani.....EeeenHeeeeee!
Akili zinakuruka wewe kibaraka wa rainbow flag, kwani unaaga mara zote na bado upo. Lakini inaelekea unaanza kukaa sawa , karibu tena ufuate sheria Za nchi , usithubutu kutufanyia fujo , utahenya vibaya kijana tukikushika.
 
Akili zinakuruka wewe kibaraka wa rainbow flag, kwani unaaga mara zote na bado upo. Lakini inaelekea unaanza kukaa sawa , karibu tena ufuate sheria Za nchi , usithubutu kutufanyia fujo , utahenya vibaya kijana tukikushika.
Siku sio nyingi, mtalia na kusaga meno.

Ni hiari yangu, nikupashe au nikuache.
 
Siku sio nyingi, mtalia na kusaga meno.
Sssa
Ni hiari yangu, nikupashe au nikuache.

Utasaga meno wewe ukijaribu kuchezea uhuru na usalama wa nchi. Mkono wa dola ni mrefu , utakwenda kunyia kwenye ndoo tu tena hiyo ni huruma yetu tu
 
Utasaga meno wewe ukijaribu kuchezea uhuru na usalama wa nchi. Mkono wa dola ni mrefu , utakwenda kunyia kwenye ndoo tu tena hiyo ni huruma yetu tu
Wewe kweli ni chizi hasa?
Unadhani hiyo 'dola' ni mali yako. Hata hujui maana ya 'dola' ni kitu gani?

Kwanza hata hiyo nchi unayoiandika hapa ni nchi gani hiyo; ni hii hii mnayojaribu kuwauzia waarabu wa Dubai, au nchi gani unayoisema wewe, Zanzibar?
 
Awamu ya kuiba Kila ámbaye alikosa akataka apate fursa.

Tatizo pia hili Suala limegubikwa na hisia za Udini .

Nchi imegawanywa Kwa manufaa ya wavamizi.

Usalama Wa nchi hili Utakua mashakani sana Siku walianza kuingizwa Sílaha kwenda Kongo kupora rasilimali za Kongo wakishirikiana na Rwanda. Hakuna Mwekezaji MZURI Toka kwenye Mataifa ya wakaloni.
 
Dunia imefikia pabaya
Uongo ndoo ukweli na ukweli ndo uongo
Haya viongozi ongozeni
Ila mawaZo ya kujifarji
Namwachi Mungu
Kama tu
 
Utasaga meno wewe ukijaribu kuchezea uhuru na usalama wa nchi. Mkono wa dola ni mrefu , utakwenda kunyia kwenye ndoo tu tena hiyo ni huruma yetu tu
Hakuna wakati nimejawa na maumivu kama wakati huu,,nimeanza kufuatilia siasa nikiwa mdogo shule ya msingi.
Na nilitamani siku moja niwe kiongozi na kulitumikia Taifa hili kwa utumishi uliotukuka huku nikitanguliza uzalendo wa hali ya juu.
Ila baada ya kutambua ili ndoto hii itimie natakiwa ni behave namna ipi,,nimekata tamaa,,
Kila idara imejaa unafiki na kujipendekeza kwa kiongozi wa juu,,hata akifanya maamuzi ya hovyo tunabaki kusifia tu.

Mungu katuumba tukiwa na hulka tofauti wenzetu mnaoweza kuita nyeusi ni nyeupe endeleeni kuliendesha Taifa mnavotaka siku wakipatikana watu wanaojali maslahi ya Taifa kuliko ya chama watafanya mabadiliko,,

Na niseme tu mwaka 2020 ulikuwa ni mwaka wangu wa mwisho kuipa kura Ccm
Najuta kutoa kura yangu 2020 na kuwashawishi wanaonizunguka kukichagua chama cha mapinduzi

Nimejitahidi kukitetea chama kwenye maeneo tofauti nikitegemea kutakuwa na mabadiliko ila mpaka muda huu nimekata tamaa moyo unaniuma natamani niite press niseme jinsi ninavyoumia ila naogopa moyoni nimejawa na maumivu lakini kwa jinsi nilivolelewa napata uvumilivu kiasi cha kuzua kutoa maneno machafu,,ila itoshe kusema kwa yanayoendelea nimejawa na chuki zidi ya chama cha mapinduzi na vyombo vya maamuzi kama vile Bunge na Mahakama
nikihisi vimeshindwa kufanya maamuzi sahihi,,na kuishia kufanya maamuzi ya kumfurahisha mtu mmoja kana kwamba Taifa hili ni mali yake binafsi.
 
Wewe kweli ni chizi hasa?
Unadhani hiyo 'dola' ni mali yako. Hata hujui maana ya 'dola' ni kitu gani?

Kwanza hata hiyo nchi unayoiandika hapa ni nchi gani hiyo; ni hii hii mnayojaribu kuwauzia waarabu wa Dubai, au nchi gani unayoisema wewe, Zanzibar?

Na Unafikiri hii nchi ni yenu nyinyi mnaojsribu kuleta fujo na ghasia? Alipokuwepo Magufuli nyote mliufyata mkikimbizana Kama mapanya, Leo Mama kawafungulia na kuwapa uhuru mnageuka mapunda, shukrani yenu ni mashuzi. Lakini tutawahenyesha tu mpaka mnyooke. Sisi ndio wenye kushikilia mpini na hatuwachii kisu.
 
Na Unafikiri hii nchi ni yenu nyinyi mnaojsribu kuleta fujo na ghasia? Alipokuwepo Magufuli nyote mliufyata mkikimbizana Kama mapanya, Leo Mama kawafungulia na kuwapa uhuru mnageuka mapunda, shukrani yenu ni mashuzi. Lakini tutawahenyesha tu mpaka mnyooke. Sisi ndio wenye kushikilia mpini na hatuwachii kisu.
Huyo unayemwita 'mama' yako hana uwezo wa kufunga wala kufungulia chochote.
Subiri utaona kinachofuata.
 
Hakuna wakati nimejawa na maumivu kama wakati huu,,nimeanza kufuatilia siasa nikiwa mdogo shule ya msingi.
Na nilitamani siku moja niwe kiongozi na kulitumikia Taifa hili kwa utumishi uliotukuka huku nikitanguliza uzalendo wa hali ya juu.
Ila baada ya kutambua ili ndoto hii itimie natakiwa ni behave namna ipi,,nimekata tamaa,,
Kila idara imejaa unafiki na kujipendekeza kwa kiongozi wa juu,,hata akifanya maamuzi ya hovyo tunabaki kusifia tu.

Mungu katuumba tukiwa na hulka tofauti wenzetu mnaoweza kuita nyeusi ni nyeupe endeleeni kuliendesha Taifa mnavotaka siku wakipatikana watu wanaojali maslahi ya Taifa kuliko ya chama watafanya mabadiliko,,

Na niseme tu mwaka 2020 ulikuwa ni mwaka wangu wa mwisho kuipa kura Ccm
Najuta kutoa kura yangu 2020 na kuwashawishi wanaonizunguka kukichagua chama cha mapinduzi

Nimejitahidi kukitetea chama kwenye maeneo tofauti nikitegemea kutakuwa na mabadiliko ila mpaka muda huu nimekata tamaa moyo unaniuma natamani niite press niseme jinsi ninavyoumia ila naogopa moyoni nimejawa na maumivu lakini kwa jinsi nilivolelewa napata uvumilivu kiasi cha kuzua kutoa maneno machafu,,ila itoshe kusema kwa yanayoendelea nimejawa na chuki zidi ya chama cha mapinduzi na vyombo vya maamuzi kama vile Bunge na Mahakama
nikihisi vimeshindwa kufanya maamuzi sahihi,,na kuishia kufanya maamuzi ya kumfurahisha mtu mmoja kana kwamba Taifa hili ni mali yake binafsi.

Wacha kudanganya mwaka 2020 kura zote zilipigwa tayari na Magufuli, nyinyi hamna Shukrani kwani Mama baada kuwafungulia mnakunya kila mahali kwa visingizio vya bandari. Lakini hatutowaacha kila mwenye kuleta udda yutamnyoosha
 
Kamleteni mzungu aje awekeze halafu andikeni mkataba kama ulivyo huu wa Dubai uone kama kuna muislam yeyote ataupinga. Kwenye hilo tushapita, huko. Wether mchina au mjapani au mzungu sisi hatuna shida nao.

Yes, mimi ni muislam lakini situmii uislamu wangu kuusapoti huo mkataba bali uelewa wangu.
Dini ni upuuzi
Leo kauli yangu imepata mashiko
Wewe wa kuweka akili yako jalalani sababu ya imani!!!
Sad
 
Biashara inakaribia kuanza kufanyika kati ya DP World ya Tanzania, nyinyi msio na makamasi kwenye ubongo endeleeni kulialia tu.

IGA ya Sweden na UAE sio lazima ifanane na ya TZ pamoja na UAE ili eti mridhike kwamba hatujapigwa.

Chombo ndio kimeshaondoka hivi sasa mpango unaoendelea ni utengenezaji wa mikataba ya upangishaji na ukodishaji.

Kuwekeza bandarini kinadharia ni kazi nyepesi sana, shughuli ipo kwenye nidhamu ya vitendo. Tungekuwa ni watu wenye umakini na huo uwekezaji mpaka muda huu tungeshamalizana na tatizo la foleni ya kuingiza meli.

Tunaziweza sana hizi nadharia ndefu ndefu za mitandaoni, matendo na matokea yake ni tofauti na huu ujuaji wetu.
Jinga wewe
Nimekusoma muda mrefu na kugundua sio mtu sahihi wa kudebate naye..
Nenda kaswali ustadh Shomari.
 
Jibu la swala la Kwanza umepat B+
JIBU LA swla la pili nakupa karahi C
Jibu la swali la tatu umepata zero O



Kwa kifupi mkataba Ni wa hvyo kuwai kutokeaa tokeaa nchi ipate Uhuru
Dr wa mihogo na na mambo haya wapi na wapi! Wewe endelea kunywa chimpuku
Wewe wa kuweka akili yako jalalani sababu ya imani!!!
Soma vizuri nilichomaanisha
 
MKATABA WA BANDARI POINT ZAKE NI CHACHE TUU TUJIULIZE HAO MNAOPINGA MKATABA WA BANDARI NENDENI BANDARINI MKAWAULIZE WALE WAFANYAZI WANAOOGOPA KUPOTEZA KAZI KAMA WAKITOKA PALE WANGEPEDA WAKAFANYE KAZI SEHEMU GANI, HII ITASAIDIA KUONDOA HOFU.NA KAMA ITALAZIMIKA KUPUNGUZA WATU HAO WATAKAOPUNGUZWA WASIBAKI NYUMBANI HAO WAARABU WANA HELA WATAWALIPA HAO WATU WATAKAOKUWA REPLACED NA MASHINE HII HELA ITAKUWA SADAKA NA MUNGU AKIONA SADAKA YAKO IMEGUSA WATU ITAMGUSA HADI MTU WA KWANZA ALIESABABISHA BARAKA HIYO.
WAULIZENI WAFANYA BIASHARA FAIDA WATAKAZOPATA MIZIGO ITAKAPOCHELEWA KUTOKA KUTOKA BANDARINI.
NENDENI KWA WATU WA KAWAIDA MUWAULIZE NI KIASI GANI WANGEFURAHI ENDAPO MIZIGO INGEFIKA KWA WAKATI NITOE MFANO.
KUNA KIPINDI MIMI NATENGENEZA MIKOBA, MATERIAL YAKE YANAPATKANA KWA MTU MMOJA TUU YUPO PALE KAMATA, NIMEPEWA HELA NA MUME WANGU NIFANYE HICHO KITU, KWA HIYO NIKAAMKA MAPEMA ASUBUHI ASUBUHI NIKAWAHI MJINI NAKOSA MATERIAL ETI YAMEINGIA YANA MWEZI YAPO BANDARINI, NA MIMI NIKARUDI KIBAHA NIKASEMA NIWAPIGIE MIMI NIKIWA NA SHIDA YA KWELI NITAKUPIGIA HADI UNIKIMBIE. KWA HIYO NIKAWA NAPIGA KILA SIKU, SASA NIKAPIGA WEE MARA MWEZI PAAP UMEKATA NA WANAUME HELA IKIKAA NDANI NA ANAIJUA ANAIPANGIA MATUMIZI MAPYA. HAYO MATERIAL NILIKOSA NA HELA TULIKULA NA MRADI UKAISHIA HAPO KWA HIYO CHEREHANI ZANGU ZIPO STORE, MATERIAL YA KUANZIA HIYO KAZI YAPO STORE. NA ILE HELA ILITAKIWA IONGEZEWE PALE IKAISHA KWA SABABU ILI HELA IONGEZEKE INATAKIWA ILE ILIYOANZA IWEPO AU IWE IMETUMIKA KAMA ASILIMIA 70 KWENYE LENGO KUU, NA BIASHARA YANGU IKAISHIA HAPO.
TUKIRUDI KWA MABOSI KIUKWELI MISHAHARA YA SERIKALI KUGAWAGAWA UKISHAKUWA BOSS WA BANDARI LAZIMA UWE NA WATU WENGI WANAKUTEGEMEA ILI HELA IWAFIKIE HAO WATU INA MAANA WAARABU MAMBO YAMENYOOKA, WABONGO TUNAJIJUA KWA HALI YA KAWAIDA LAZIMA KUNA KITU TUNAITA MALUPULUPU AU POSHO. KWA SABABU WAARABU KISWAHILI HAWAJUI NA KINGEREZA HAWATAKI KUJUA MPAKA UMFUNDISHE KISWAHILI VIONGOZI MNATAKIWA WALE MABOSI MUWAULIZE KIRAFIKI WANAPATAGA NINI KWA HALI HALISI WAKIJIBU KWA UAMINIFU HICHO WANACHOPATA SASA HIIVI HAO WAARABU WAWAONGEZEE KATIKA MISHAHARA YAO YA AWALI. KWA MFANO KAZI UNALIPWA MIA TANO MWARABU ANAPENDA HAKI UKICHUKUA KUWA YEYE ATAKULIPA KWA SABABU HAJUI UNALIPWA NINI UTAONGEA NAE KISWAHILI KWA KUONGEZA MALUPULUPU JUU YA ULE MSHAHARA, YEYE ATAKUBALI KWA SABABU HAJUI KISWAHILI. KWA HIYO HIYO HELA UNAIPATA KIARABU KWA KISWAHILI ITAONEKANA NYINGI KWA WATU AMBAO HAWAJUI NINI MAANA YA MAJUKUM YA BOSS NA ILIKUWA IMEJIFICHA MWANZONI. KWA WAARABU WATALIPA CHOCHOTE KWA SABABU WANA MAPENZI YA KWELI NA TNANZANIA.
SASA KWA SABABU WANAONGEA KIARABU NA KIINGEREZA HAWAKIJUI, SASA NI NANI ANATUMIA DINI NA LUGHA YAKE KUENEZA UTOPOLO NA NI NANI ANATUMIA DINI NA LUGHA YAKE KUENEZA IBADA. UKITUMIA NENO NIA NJEMA UTAGUNDUA KWAMBA UKIBADILISHA SENTENSI HII KWA KISWAHILI UTAGUNDUA KWAMBA WAARABU NDIO WALIOSEMA HAKUNA CHAKULA CHA BURE CHA MCHANA KULE ANAKOISHI MANGE KIMAMBI. HII SENTENSI KILA MSOMI ANAWEZA AKAITAFSIRI KWA SABABU AKIELEWA ATAJUA KUWA WENYE HIYO SENTENSI NDO WALITAKA KULAZIMISHA RAIS WA KIKE WA KWANZA ATOKEE UARABUNI AMBAKO WANAZUNGUMZA KIINGEREZA SASA TUSIJICHANGANYE TUREJEE SENTENSI YA CHAKULA CHA MCHANA CHA BURE, NIAMBIENI KWAMBA HAKUNA CHAKULA CHA BURE UARAB.... NISIMKOSEE MUUMBA HIYO SENTENSI MWISHO WAKE UARABUNI HAPAJATAJWA. KWA HIYO TUHITIMISHE ANAEUZA CHAKULA KATI YA MUARABU ANAEZUNGUMZA KIINGEREZA NA MWENYE SENTENSI YAKE. WOTE WAWILI WAKITOA HELA NI YA NANI ITABADILI JINA ITAITWA SADAKA NA YA NANI ITAITWA FAIDA, KWA HIYO HATA KAMA HUYU WA FAIDA ATATOA SADAKA NI BAADA YA KUUZA KWA SABABU ALISEMA KWA LUGHA YAKE HAKUNA CHAKULA CHA BURE KATIKA NCHI YAKE KWA HIYO HAPA MSWAHILI HAELEWI MNAOWAELEWESHA WATU TAFUTENI TAFSIRI YA NILICHOKISEMA MREJEE KWA MUNGU MTUBU ILI MUELEWE KAMA WAKUBWA WENU . KWA SABABU MTU ATAKAEWEZA KUTAFSIRI HAPA NI MTU MZIMA MSOMI MWENYE MAPENZI YA KWELI NA NCHI YAKE AWE ANAJUA IBADA HATA KAMA NI YA KIPAGANI. AKIWEZA KUTAFSIRI ATABADILI NCHI AKISHINDWA HAWEZI KUMSAIDIA MAMA. KWA SABABU ATACONSIDER ONE FACTOR YA UDINI UTAFKIRI KWAMBA SASA KUNA DINI DINI FULANI DINI DINI FULANI. MUDA UNASEMA HAYO YOOTE WENZAKO WAKO DARASANI WANASOMA, WAKILETA WALICHOKISOMA WAKAELEWA WEWE UTALETA ULICHOKARIRI KWA SABABU HUKUELEWA NA KWA SABABU ULITUMIA MFUMO WA ELIMU YA MWARABU MPAKA ELIMU YA JUU. SASA HAPO UNASHANGAA NA MSWAHILI ANASHANGAA ILA MWENYE LUGHA YAKE ANAELEWA. KUNA WATU HAPA NIMEWAACHA MBALI SANA. NAMSHUKURU SANA TX DULAH INSTAGRAM ALINIFUNDISHA JINSI YA KUPOTEZEA WAMBEA KISANII. YAANI MTU ANATAKA UMTAJIE HADI DHAMBI YA MTU. ALAFU UKISHAJUA UNA PEPO YA KUMPELEKA? NDO MAANA WAJINGA WANAMUITAGA AKILI ZA MABYUWAYU MSANII NIMEELEWA SASA.
 
Huyo unayemwita 'mama' yako hana uwezo wa kufunga wala kufungulia chochote.
Subiri utaona kinachofuata.

Kwani lazima awe anaweza au hawezi , kwani yeye ndiye atayekubinya korodani utapofanya Huo ugaidi wenu?
 
Back
Top Bottom