Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

acquired stupidity
amefeli mzee
Prof amejiaibisha, halafu anasema kuwa mkataba inabidi uwe wa milele kwa vile mwekezaji anahitaji kurudisha fedha zake! Mpuuzi kabisa huyu mzee Rubbish Professor

sikiliza Lisu anavyo muelezea
 
Huyo nilimwona Professiorial rubbish baada ya kusema kuwa Feasibility Study ya SGR imebase kwenye usafirishaji wa nyanya....
 
EeeeenHeeeeee!
Ona sasa unavyozidi kuwa bwege.
Kwa hiyo hapa unadhani umekwishamaliza kazi, siyo?

Kinakachofuata ni zaidi ya maumivu kwa watu wapuuzi kama nyinyi.
Wapuuzi ni nyinyi mlioshindwa kesi mahakamani na sasa mnajidanganya kutaka maandamano, mtaumia sana wapumbavu nyinyi.

Hoja hazipigwi bunduki hujibiwa kwa hoja na mlipewa uwanja mpana wa hoja zenu kusikilizwa na imegundulika kuwa mnachodai hakina mantiki yoyote. Msitikise kibiriti mmeonywa kwa onyo la kwanza la mdomo.
 
Wewe umejazwa fikra za kuwa waarabu watawafanya waafrika ni watumwa. Umesahau kama waafrika waliuzwa na waarabu huku kwetu , asingalibaki mwafrika hata mmoja . Ujinga huu na chuki hii imejaa akilini mwako.

Angalia namna waafrika wenzako walivyobadilishwa na DP halafu uniambie ni nani kafanywa mtumwa ??


Kama wewe ni mwarabu, sina tatizo na wewe, kwa sababu hivyo ndivyo ulivyoumbwa, lakini kama wewe ni mwigizaji tu wa uarabu kwa sababu zako mwenyewe hapo ndipo penye tatizo.

Umekomalia sana huu uarabu, kanisa na mambo kama hayo wakati mimi sijasema chochote kuhusu hayo.

Huoni kuwa unalo tatizo kubwa kichwani mwako?
 
Nimesoma andiko lako kuwa watu HAWANA UELEWA ndiyo maana wanakataa mkataba wa DP World. Nomba kwa manufaa ya wengi ujibu hoja hizi mbili tu. Kumbuka wewe ni "national Figure" in academics, tamko lako linaamsha maswali)

1. Kama mkataba una manufaa, kwanini bandari za Zanzibar hazipo? (kizuri kweli uache kula na ndugu zako Zanzibar, uwape jirani?)

2. Wewe si mwanasheria (unaweza ukawa na uelewa kidogo wa sheria za uhasibu and the like). sasa authority ya kusema akina Shivji, Lugemeleza, Lisu, Mwabukusi, Madeleka na wengine hawana uelewa katika International treaties unaitoa wapi?

3. Mbona hujajibu hoja kwa hoja ambazo hao niliowataja hapo juu wanazilalamikia? Umetoa blanket answers kama za Joseph Kasheku Msukuma, Kitenge, Wasira na watu kama hao. Kama msomi you need to be specific when answering questions...kama ilivyokuwa ukiwataka wanafunzi wako wajibu


Ni prof wa Kwanza kukosa CPA ,tokaa anateuliwa na jk kuwa cag ndio Mara ya Kwanza professor kukosa CPA
 
Wapuuzi ni nyinyi mlioshindwa kesi mahakamani na sasa mnajidanganya kutaka maandamano, mtaumia sana wapumbavu nyinyi.

Hoja hazipigwi bunduki hujibiwa kwa hoja na mlipewa uwanja mpana wa hoja zenu kusikilizwa na imegundulika kuwa mnachodai hakina mantiki yoyote. Msitikise kibiriti mmeonywa kwa onyo la kwanza la mdomo.
Maandamano yapi; umeona popote nikiandika kuhusu maandamano. Hivi unaota?

Huna hoja hata moja katika maandishi yako yote tokea ujitokeze humu jukwaani. Unachofanya ni kuokoteza tu vihabari vya kupotosha watu, halafu unarudiarudia hivyo hivyo kila bandiko unaloweka humu.

Ni hivi: safari hii hata mtumie polisi kivipi, hamponi. Mtahonga watu vipesa mnavyopewa na hao wanaowanunua, lakini haitafua dafu.
Tanzania inapona, inajinasua kwenye upuuzi huu ulionezwa na viongozi wasiokuwa na uzalendo wowote kwa nchi yao.
 
Hilo swali la kwanza ni la kinafiki sana, kuna miradi mingapi imekua implemented Tanzania Bara na haijawahi kuulizwa mbona Zanzibar haipo.!

Msingi wa hilo swali ni personal attacks na si linginelo.
Umewajibu vizuri sana.
 
Haya siyo maswali ya kujibu Professor Assad. Hata sisi wanafunzi wake tunaweza kukujibu vizuri kabisa.

Jibu kwa swali la Kwanza.
Bandari ya Zanzibar haipo kwasababu muwekezaji hana interest na Bandari hiyo kutokana na Investment Plan yake. Hajaona faida ya kuendeleza Bandari ya Zanzibar huku akijua biashara ipo Rwanda, Zambia, Malawi, DRC, Burundi na mikoa ya mbali. Hiyo mizigo atayoishushia Zanzibar itaenda wapi? Hivi hili nalo linahitaji muende mahakamani nyie wapinga maendeleo.

2. Jibu kwa swali la pili
Japo kuna mgawo wa kitaaluma lakini hakuna ownership of knowledge. Yeyote anaweza kuelewa chochote.

3. Jibu kwa swali la tatu
Hakuna hoja ya maana ndio maana professor Asad hakuna haja ya kujibu upotofu. By the way, hoja zenyewe zimekuwa zikibadilika siku hata siku na kutokana na mtu na mtu. Wako wanaosema mkataba, wako wanaosema mgeni asipewe nafasi ya kufanya uwekezaji katika Bandari, wako wanaosema watanzania tuna uwezo, mitaji na teknolojia. Yaani vurugu mechi.
Professor Asad amekuwa smart kwa kugusia upotoshaji unaofanywa kwenye maeneo machache hususan umiliki na matumizi ya ardhi.
Jibu la swala la Kwanza umepat B+
JIBU LA swla la pili nakupa karahi C
Jibu la swali la tatu umepata zero O



Kwa kifupi mkataba Ni wa hvyo kuwai kutokeaa tokeaa nchi ipate Uhuru
 
Tena umehoji machache mnoo.. Ukiweka zile dosari na mapungufu yote atajichukia na kuona aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kujichukia, yeye yuko na CCM kwasababu sasa anaeongoza chama ni Muislamu Na hao ni DP WORLD Wanakusudia la kuunufaisha uislamu, pili yeye katoa maono yake tu kama Ambavyo Mbowe (ambae si mwanasheria) alitoka, wakati mwingine huwa mambo haya yanaenda na kasumba, kipindi cha Rais Mkristo hakuna matamko ya maaskofu, akitawala muislam matamko mia na ushee, kumbuka Enzi zile za Jk dhidi ya Padre slaa, kulikuwa na jumbe (sms) zikitumwa kwa wakristo zikihamasisha wamchague Dr slaa kwasasabu muislam Jk aliendekeza udini, basi Jk nae akawapa posho mashee waeneze siasa za udini kwa kuhakikisha Padre slaa haingii Ikulu kupitia chama cha Kidini cha wachaga yaani "CHADEMA"
 
Maandamano yapi; umeona popote nikiandika kuhusu maandamano. Hivi unaota?

Huna hoja hata moja katika maandishi yako yote tokea ujitokeze humu jukwaani. Unachofanya ni kuokoteza tu vihabari vya kupotosha watu, halafu unarudiarudia hivyo hivyo kila bandiko unaloweka humu.

Ni hivi: safari hii hata mtumie polisi kivipi, hamponi. Mtahonga watu vipesa mnavyopewa na hao wanaowanunua, lakini haitafua dafu.
Tanzania inapona, inajinasua kwenye upuuzi huu ulionezwa na viongozi wasiokuwa na uzalendo wowote kwa nchi yao.
Upuuzi ni hoja zenu nyinyi zisizo na mashiko yoyote yale. Uwekezaji bandarini mmeshindwa kujenga hoja ya maana ya kuonyesha kwanini usifanyike na anachofanya SSH ni mwendelezo wa kile kile kilichoanza kufanywa na JPM.

Nyinyi mtasumbuka sana humu mitandaoni tu, huko mitaani mmechimbwa mkwara mzito sana na hamna jeuri ya kutoka barabarani na kuanza kufanya upuuzi wa kuandamana.

Tanzania haijinasui kutoka kwenye chochote kile, bali inafanya mapinduzi makubwa ya uendeshaji haswa kwenye suala la uongezaji wa mapato.
 
Upuuzi ni hoja zenu nyinyi zisizo na mashiko yoyote yale. Uwekezaji bandarini mmeshindwa kujenga hoja ya maana ya kuonyesha kwanini usifanyike na anachofanya SSH ni mwendelezo wa kile kile kilichoanza kufanywa na JPM.

Nyinyi mtasumbuka sana humu mitandaoni tu, huko mitaani mmechimbwa mkwara mzito sana na hamna jeuri ya kutoka barabarani na kuanza kufanya upuuzi wa kuandamana.

Tanzania haijinasui kutoka kwenye chochote kile, bali inafanya mapinduzi makubwa ya uendeshaji haswa kwenye suala la uongezaji wa mapato.
Upo hapa JF kwa sababu zipi hasa, wewe uliyejiunga hivi karibuni, kama unabeza yanayoendelea huku?

Wewe unasubiri maandamano mitaani ndipo ujue kwamba mmemwingiza huyu mama fisadi kwenye matatizo makubwa sana?

Kama hutambui vita inayoendelea ukisubiri maandamano, utasubiri sana.
Safari hii hamponi.
Tanzania itajinasua kwenye ujambazi wenu huu.
 
Upo hapa JF kwa sababu zipi hasa, wewe uliyejiunga hivi karibuni, kama unabeza yanayoendelea huku?

Wewe unasubiri maandamano mitaani ndipo ujue kwamba mmemwingiza huyu mama fisadi kwenye matatizo makubwa sana?

Kama hutambui vita inayoendelea ukisubiri maandamano, utasubiri sana.
Safari hii hamponi.
Tanzania itajinasua kwenye ujambazi wenu huu.
Anayekupa hizo taarifa na kukujaza huo ujinga ndio anakupoteza kabisa. Hunijui vizuri na kusema nimeingia karibuni ndio ushahidi wenyewe.

Vita ya chuki inaendelea lakini mfumo wa TZ kwa maana ya usalama wa Taifa upo kazini na unakwenda kuimaliza.

DP World anahitajika sana pale bandarini kuliko wakati wowote ule.
 
Anayekupa hizo taarifa na kukujaza huo ujinga ndio anakupoteza kabisa. Hunijui vizuri na kusema nimeingia karibuni ndio ushahidi wenyewe.

Vita ya chuki inaendelea lakini mfumo wa TZ kwa maana ya usalama wa Taifa upo kazini na unakwenda kuimaliza.

DP World anahitajika sana pale bandarini kuliko wakati wowote ule.
Usifikiri mfumo wa kiTanzania ni wa kuwatumikia majambazi ya aina yenu. Mfumo huo huo ndio utakaowamaliza.
Wewe nilishakueleza mara nyingi, kwamba ni fisadi tu unayegombea masalia wanayokutupia hao wanaozoa mali zetu.
Huna la ziada ya hilo.
Ni kibaraka mmoja tu anayetumiwa.
 
Usifikiri mfumo wa kiTanzania ni wa kuwatumikia majambazi ya aina yenu. Mfumo huo huo ndio utakaowamaliza.
Wewe nilishakueleza mara nyingi, kwamba ni fisadi tu unayegombea masalia wanayokutupia hao wanaozoa mali zetu.
Huna la ziada ya hilo.
Ni kibaraka mmoja tu anayetumiwa.
Afadhali yangu mimi kuliko wewe unayekwenda hatua moja zaidi katika kutaka kuiumiza nchi yako mwenyewe.

Fitina na chuki ni upande mbovu uliochagua lakini mwisho wako ni mbaya tu, kwani ni aibu kama ile ya kule Mbeya mahakamani.
 
Afadhali yangu mimi kuliko wewe unayekwenda hatua moja zaidi katika kutaka kuiumiza nchi yako mwenyewe.

Fitina na chuki ni upande mbovu uliochagua lakini mwisho wako ni mbaya tu, kwani ni aibu kama ile ya kule Mbeya mahakamani.
Wewe ni kibaraka, unayetumiwa. Huwezi kuwa na nafuu yoyote katika taifa unalolisaliti waziwazi kiasi hiki mnachofanya sasa hivi
 
Wewe ni kibaraka, unayetumiwa. Huwezi kuwa na nafuu yoyote katika taifa unalolisaliti waziwazi kiasi hiki mnachofanya sasa hivi
Mimi natetea maslahi ya bandari ifaidike na teknolojia mpya zitakazowezesha tija kuongezeka na biashara kukua.

Huo ni ukibaraka bora kabisa, kuliko wewe kila suala linalofanywa na serikali unakuja na hoja za kupinga tu, huna jema hata kidogo.
 
Mimi natetea maslahi ya bandari ifaidike na teknolojia mpya zitakazowezesha tija kuongezeka na biashara kukua.

Huo ni ukibaraka bora kabisa, kuliko wewe kila suala linalofanywa na serikali unakuja na hoja za kupinga tu, huna jema hata kidogo.
Wewe ni fisadi, na ni kibaraka tu huna zaidi ya hapo.
Mmetupiwa visenti na hao DP World, sasa mnakuja hapa JF kutupotezea muda kujibishana nanyi.
Maandishi yako yote yanajionyesha pasipo shaka yoyote.
Huna hata chembe ndogo ya kuipigania Tanzania wala maslahi ya wananchi.
Lakini hakuna anayekuzuia kufanya hadaa hiyo, kama wapo wanaovutwa na ujinga huo.
 
Back
Top Bottom