Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

Tatizo uislamu unawasumbua kwenye mkataba huu sijaona mwislamu anaupinga there something hidden
Kamleteni mzungu aje awekeze halafu andikeni mkataba kama ulivyo huu wa Dubai uone kama kuna muislam yeyote ataupinga. Kwenye hilo tushapita, huko. Wether mchina au mjapani au mzungu sisi hatuna shida nao.

Yes, mimi ni muislam lakini situmii uislamu wangu kuusapoti huo mkataba bali uelewa wangu.
 
Lakini
Sijawahi kumwamini mwanamke, sijawahi kumwamini mwarabu, sijawahi kumwamini mzanzibar, sijawahi kumwamini muislamu kwenye mambo yoyote yanayohitaji matumizi makubwa ya akili.

Sijawahi kumwamini mwanamke, sijawahi kumwamini mwarabu, sijawahi kumwamini mzanzibar, sijawahi kumwamini muislamu kwenye mambo yoyote yanayohitaji matumizi makubwa ya akili.
Lakini kwa akili Yako iyoiyo bdo unaamini bdo unamwami I mwamposa kuwa ndio kiongozi wako wakukufikisha mbiguni asalaleee
 
Sijawahi kumwamini mwanamke, sijawahi kumwamini mwarabu, sijawahi kumwamini mzanzibar, sijawahi kumwamini muislamu kwenye mambo yoyote yanayohitaji matumizi makubwa ya akili.
Lakini unamwamini , Yahudi Zelensky 😭😭😭
 
Na huu wa DP ndio umeshapitishwa na Bunge , utajiju Kama ulivyojijuu mkataba wa Muungano 😜😜😜😜
Kuna alternatives nyingi za kuondoa hili zimwi Tanganyika
 
Kuna alternatives nyingi za kuondoa hili zimwi Tanganyika

Alternativ ya Amani ni kupiga kura , na umeiona tokea kuanzishwa kwa vyama vingi, Tanganyika inaifanyia nini Zanzibar, Karume aitaka kujaribu, akaondoshwa, Jumbe alilalizimishwa kujiuzulu na kuwekwa under house arrest, Seif Sharifu na wenzake waliwekwa jela , Uamsho waliwekwa jela Sasa unataka njia ipi ya Amani??
 
Ukisema humjui mwanasheria wa Ujerumani maana yake umeingia kwenye uzi bila kusoma hoja na video za muanzisha uzi😇😇
Hapana, usipotoshe.

Nimesoma mada yake, sikusikiliza kiambatanisho kilichowekwa.
Nionyeshe ni wapi katika maandishi ya mleta mada, alipoandika kuhusu "mwanasheria wa ujerumani."
 
Sasa ni hivi kwa mujibu wa Makamu wa pili wa Raisi wa Zanzibar mh Hemed anasema wamekubaliana masula ya Bandari kila upande usimamie Bandari zake ndio maana zanzibar wana ZPC yaani Zanzibar port coparation na huko bara wana TPA Tanzania port Athority wapi wamekutana wameyaondoa vipi hayo masula ya Bandari hayo hajasema
Wamekubaliana nani na nani na wapi,; kwa taratibu zipi?

Huu upuuzi unaofanywa siku hizi ndio wanaotakiwa waTanzania wauelewe vizuri.

Wapumbavu fulani tu, hawawezi kuzinduka usingizini na kuanza kupangua maswala mazito yanayohusu muungano. Huu ni upumbavu.
 
Mtu akija na maoni tofauti na ya kwako tayari keshakengeuka. Wengine hatuangalii sura tunaangalia mantiki ya anachokisema kama inalifaa taifa.

Tunaangalia maono ya hicho anachokiongea kama yanalifaa taifa. Prof Assad kaongea kisomi hakuongea kama msela wa mtaani anayeendesha mkokoteni.
Kwani hiyo "mantiki" ni mali yako? Unayo hati mililki juu ya hayo "maono" ambayo wengine hawawezi kuyadai?
Andiko la kijinga sana hili uliloweka hapa.
 
Kwani IGA nyingine zipo kwa sababu zipi haswa?. Ni mkataba kama mingi tu inayopitishwa bungeni na umefuata taratibu zile zile za siku zote.

Huo udhaifu mnaouona nyinyi wachache, wataalam wameshautolea ufafanuzi mpaka wamechoka tena kifungu kwa kifungu.
Umeziangalia hizo IGA nyingine zilizopitishwa Bungeni ukaziona nazo zina mashartiya kipuuzi kama haya ya Dubai?
Kama ilivyo kawaida yako siku zote humu: "wachache", umetuhesabu lini ukakuta sie ni wachache?

Nilishakueleza mara kadhaa humu, na hainipi shida kurudia tena, kwa hili jambo la Bandari, mmeanzisha kitu ambacho hamna uwezo wa kukizuia kuwafagilia mbali.
 
Umeziangalia hizo IGA nyingine zilizopitishwa Bungeni ukaziona nazo zina mashartiya kipuuzi kama haya ya Dubai?
Kama ilivyo kawaida yako siku zote humu: "wachache", umetuhesabu lini ukakuta sie ni wachache?

Nilishakueleza mara kadhaa humu, na hainipi shida kurudia tena, kwa hili jambo la Bandari, mmeanzisha kitu ambacho hamna uwezo wa kukizuia kuwafagilia mbali.
Maneno ya mkosaji haya. Umeandika ukiwa na uso ulionuna na hakuna wa kukusaidia.

Zile juhudi zote za kumtafuta yule wakili Mkenya kwenye kipindi chako maalum zimegonga mwamba.
 
Kwani hiyo "mantiki" ni mali yako? Unayo hati mililki juu ya hayo "maono" ambayo wengine hawawezi kuyadai?
Andiko la kijinga sana hili uliloweka hapa.
Profesa mwenye uzoefu wa masuala ya kiuchumi anao uelewa kuliko sisi wengine wengi humu JF na juzi alitahadharisha kwamba huko Mbeya mnakwenda kushindwa kwa uelewa wenu mdogo wa masuala ya uwekezaji.
 
Wamekubaliana nani na nani na wapi,; kwa taratibu zipi?

Huu upuuzi unaofanywa siku hizi ndio wanaotakiwa waTanzania wauelewe vizuri.

Wapumbavu fulani tu, hawawezi kuzinduka usingizini na kuanza kupangua maswala mazito yanayohusu muungano. Huu ni upumbavu.
Wamekubaliana viongozi wa serikali mbili halali zenye mandate za halali za kushughulikia matatizo ya watu.

Hili ni tatizo la harakati uchwara mnazo fanya, kudhani mna akili na uelewa kuliko kila mtu.
 
Z
Assad na Zitto ni wadini sn achana nao, nina 100% mkataba hajauona achilia mbali kuusoma
Zitto alivyo na mbwembwe bingwa wa kujenga hoja lakini kuhusu bandari UNAWEZA DHANI HAYUPO DUNIANI na hapo ndo utagundua kuwa mfadhiri mkuu wa chama chake ni nani yaani jamaa yupo kimya utadhani tulishakula ubwabwa wake.
 
Maneno ya mkosaji haya. Umeandika ukiwa na uso ulionuna na hakuna wa kukusaidia.

Zile juhudi zote za kumtafuta yule wakili Mkenya kwenye kipindi chako maalum zimegonga mwamba.
Unarudia yale yale, sijui huyo 'mkenya' alikupa kitu gani.

Kwa hakika "uso umenuna" lakini tabasamu naiona ikifuata, kwa maana mwanya mmeutoa wenyewe.
Tanzania itapona.
 
Profesa mwenye uzoefu wa masuala ya kiuchumi anao uelewa kuliko sisi wengine wengi humu JF na juzi alitahadharisha kwamba huko Mbeya mnakwenda kushindwa kwa uelewa wenu mdogo wa masuala ya uwekezaji.
Inawezekana hata baada ya kukudokeza mara kadhaa bado hujaelewa nilivyokutambua wewe ni mtu wa aina gani hasa. Mbali ya kuwa fisadi, msukumo wako unategemea imani yako, kama inavyomsukuma huyu mzee na wengi wengine na kusahau kuwa jambo muhimu zaidi kwetu sote ni nchi yetu Tanzania.
Tanzania ikineemeka, sisi sote tunaneemeka bila kujali hizo imani zinaofanya baadhi yenu kusukumwa zaidi na ushiriki wenu katika imani hizo.
 
Wamekubaliana viongozi wa serikali mbili halali zenye mandate za halali za kushughulikia matatizo ya watu.

Hili ni tatizo la harakati uchwara mnazo fanya, kudhani mna akili na uelewa kuliko kila mtu.
Mmelikoroga na mtalinywa. Safari hii kwisha kazi yenu.
Najua maneno haya yatakuchoma moyo sana, lakini utayakana hapa hapa, na haitasadia chochote.

Mmewadharau sana waTanzania kwa muda mrefu, sasa mtaona matokeo ya kuvuruga kwenu huku.

Inatosha. Sitakukumbusha tena juu ya hili.
 
Mmelikoroga na mtalinywa. Safari hii kwisha kazi yenu.
Najua maneno haya yatakuchoma moyo sana, lakini utayakana hapa hapa, na haitasadia chochote.

Mmewadharau sana waTanzania kwa muda mrefu, sasa mtaona matokeo ya kuvuruga kwenu huku.

Inatosha. Sitakukumbusha tena juu ya hili.
Maneno haya yanaweza kueleweka humu JF walipo wanaharakati wengi wenye juhudi zisizoyagusa maisha ya kila sikua ya mtanzania, huko mitaani wala hawana hisia kama hizi za kwako.
 
Inawezekana hata baada ya kukudokeza mara kadhaa bado hujaelewa nilivyokutambua wewe ni mtu wa aina gani hasa. Mbali ya kuwa fisadi, msukumo wako unategemea imani yako, kama inavyomsukuma huyu mzee na wengi wengine na kusahau kuwa jambo muhimu zaidi kwetu sote ni nchi yetu Tanzania.
Tanzania ikineemeka, sisi sote tunaneemeka bila kujali hizo imani zinaofanya baadhi yenu kusukumwa zaidi na ushiriki wenu katika imani hizo.
Mkataba wa DP World ni sehemu muhimu katika kuelekea kuneemeka kwa Tanzania yetu. Tatizo ni nyinyi mnaojaribu kuipotosha jamii juu ya kinachokusudiwa kufanyika, labda kwa kutegemea malipo fulani kutoka kwa hao wanaohisi kuzibiwa riziki zao pale TPA kupitia mifumo mipya ya ushushaji na upakiaji wa makontena.
 
Back
Top Bottom