Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

Watu tunachohoji kwa nn apewe mwarabu, bila kufuata taratibu za manunuzi, tenda walitangaza wapi. Sheria ipo very clear kuhusu kushindanisha .Huyo Dp kapataje hill deal, . Utarabu ungefuatwa pasingekuwa na shida, Kwa makosa kama haya anayoyafanta mama ,nchi hii haitakuja kutawaliwa tens na Rais mwanamke, watanzania tumejifunza mengi kupitia huyu mama, kuna udhaifu mkubwa ukilinganisha serikali zilizopita. Yeye anaona mikopo ndio njia pekee ya kuendesha nchi, baada ya kubuni na kutegemea vyanzo vya ndani. Hata ndani ya nyumba tu huwezi endesha nchi kwa kutegemea vikoba na vyama
 
Alitimuliwa huyu profesa kiazi na Magufuri
watu tukamuonea huruma na IST yake

Ila HAKIKA Magufuri alikuwa na kitu cha ziada mno
basi hatukumuelewa!

Magufuri alikuwa ameishaona humu hakuna cha uprofesa bali ni njaa na ubwege

Wote aliowatosa akina Lugola, Makanba, Nape na wengine
hapo awali tulihisi anawaonea
Kumbe hawafai hata kuwa Balozi nyumba 10/10

Huyu Assad kwanza anatokea wapi
sio Zanzibar kweli?

coz it’s like wote wametuzoea mno
Kuna kitu inabidi tu kifanywe
Profesa Assad ni ndugu katika imaani na anatokea Zanzibar.

Wakojani wana jambo lao.
 
Tumia akili zaidi kufikiri. Kuna mabo ya Muungano na yasiyo ya Muungano. Bandari ni la Mungano. Ina maana zanzibar haitaki Bandari bora.
Miradi inayofanywa Tanganyika ni ya watanganyika na si ya muungano. kama una akili zisizo za udini utakubaliana na mimi!

Tumia akili kufikiri na si udini.
kwani huo mkataba wa muungano wenyewe ni halali ?+
 
Nadhani hujanielewa mkuu. Your opportunities may not be my opportunities. Wewe unaweza kuwa na viwanja viwili mapinga Bagamoyo na postal, na vyote unatafuta muwekezaji aviendeleze. Investors wanaweza kuvutiwa zaidi na kiwanja cha postal kuliko mapinga kutokana na manufaa ya kiuwekezaji atakayoyaona, japo wewe unataka I mapinga pia pendelezwe. Simply hivyo.

Hivi hata wewe kwa akili ya kawaida tu kama mfanyabiashara, utashusha mega ships Zanzibar halafu walaji wako DRC? Seriously? Ili upate nini?

Lakini hapo hapo anavitaja viwanja vyote hivyo kuwa yeye ndiye atakuwa na interest navyo. Lakini anaanza na cha bagamoyo [emoji1][emoji1] na hataki umpe muwekzaji mwingine.
 
Hebu kwanza: Hivi hili swala la kuiondoa bandari ya Zanzibar kutokuwemo kwenye maswala ya Muungano, lilijadiliwa na kupitishwa Bungeni?
Au ni ule utaratibu tu wa kushughulikia "kero za muungano' ndio uliotumika?

Mwenye kujua hili tafadhali alieleze hapa vizuri nasi tuelewe utaratibu uliofuatwa hadi bandari ya Zanzibar likawa siyo swala la muungano.

Kuna mambo mengi yamefanyika kienyeji enyeji tu, huko Zanzibar wanajiamlia kufanya mambo ambayo hawana mamlaka nayo.
Sasa ni hivi kwa mujibu wa Makamu wa pili wa Raisi wa Zanzibar mh Hemed anasema wamekubaliana masula ya Bandari kila upande usimamie Bandari zake ndio maana zanzibar wana ZPC yaani Zanzibar port coparation na huko bara wana TPA Tanzania port Athority wapi wamekutana wameyaondoa vipi hayo masula ya Bandari hayo hajasema
 
Kama mizigo inayoshushwa bandari ya Zanzibar haina kwa kwenda kuna umuhimu gani wa kuwepo hiyo bandari ya Zanzibar? Fikiri kwa kutumia kichwa cha juu!
Bandari za zanzibar umuhimu zinao ndio maana kampuni ya kifaransa ya African Logistic Company yenye makao yake south African imewekeza kwenye hiyo Bandari kwa Mkataba wa miaka 5
 
Hapana, mkuu 'Stevie', kwetu wengine Tanzania ni kubwa zaidi ya mambo mengine yoyote. Kama Profesa sasa hivi anakengeuka kwa sababu azijuazo mwenyewe, kamwe hatuwezi kuacha kumsema kwa kuwa tulimwonea huruma wakati ule.
Mtu akija na maoni tofauti na ya kwako tayari keshakengeuka. Wengine hatuangalii sura tunaangalia mantiki ya anachokisema kama inalifaa taifa.

Tunaangalia maono ya hicho anachokiongea kama yanalifaa taifa. Prof Assad kaongea kisomi hakuongea kama msela wa mtaani anayeendesha mkokoteni.
 
Achana na ujinga huu wa kudhani watu hawaelewi kinachofanyika hapa.
IGA kwa nini iwe na masharti haya kwa Tanzania kama siyo kuandaa mazingira ya ukandamizaji kwenye hiyo HGAs?

Hii IGA ipo kwa sababu zipi hasa, hili ndilo mnalotakiwa kuwaeleza watu walitambue.
Kwani IGA nyingine zipo kwa sababu zipi haswa?. Ni mkataba kama mingi tu inayopitishwa bungeni na umefuata taratibu zile zile za siku zote.

Huo udhaifu mnaouona nyinyi wachache, wataalam wameshautolea ufafanuzi mpaka wamechoka tena kifungu kwa kifungu.
 
Sijawahi kumwamini mwanamke, sijawahi kumwamini mwarabu, sijawahi kumwamini mzanzibar, sijawahi kumwamini muislamu kwenye mambo yoyote yanayohitaji matumizi makubwa ya akili.
 
Kama mizigo inayoshushwa bandari ya Zanzibar haina kwa kwenda kuna umuhimu gani wa kuwepo hiyo bandari ya Zanzibar? Fikiri kwa kutumia kichwa cha juu!
Wewe ndiye unatakiwa ufikiri kwa kutumia kichwa. Sasa mizigo ya Congo au Zambia utaishushia Zanzibar? Au Shaba ya Zambia kwenda nje ya nchi utaenda kuipakia kupitia Bandari ya Zanzibar?
 


Breaking News:​

Mahakama Mbeya yatupilia mbali kesi ya Bandari walalamikaji kukata rufaa​

d2dcd05a-5648-4a28-a656-735d5d587e67.jpg

Humphery Mgonja
BBC Field Producer
Mbeya

BBCCopyright: BBC
Mahakama Kuu nchini Tanzania hii leo imetupilia mbali kesi iliyokuwa inapinga mkataba (IGA) wa uwekezaji wa bandari baina ya serikali ya Tanzania na falme ya Dubai.
Kesi hiyo iliyofunguliwa katika mahakama kuu kanda ya Mbeya na walalamikaji wanne ambao walidai mkataba huo unaenda kinyume na matakwa ya Katiba.
Akisoma Hukumu hiyo Jaji Dastan Ndunguru amesema baada ya jopo la majaji wa tatu kusikiliza pande zote mbili mahakama imeamua kuwa hoja zote sita hazina mashiko hivyo kuamua kuwa Mkataba wa IGA hauna dosari za kufanya usitekelezwe.
 


Breaking News:​

Mahakama Mbeya yatupilia mbali kesi ya Bandari walalamikaji kukata rufaa​

d2dcd05a-5648-4a28-a656-735d5d587e67.jpg

Humphery Mgonja
BBC Field Producer
View attachment 2713456
BBCCopyright: BBC
Mahakama Kuu nchini Tanzania hii leo imetupilia mbali kesi iliyokuwa inapinga mkataba (IGA) wa uwekezaji wa bandari baina ya serikali ya Tanzania na falme ya Dubai.
Kesi hiyo iliyofunguliwa katika mahakama kuu kanda ya Mbeya na walalamikaji wanne ambao walidai mkataba huo unaenda kinyume na matakwa ya Katiba.
Akisoma Hukumu hiyo Jaji Dastan Ndunguru amesema baada ya jopo la majaji wa tatu kusikiliza pande zote mbili mahakama imeamua kuwa hoja zote sita hazina mashiko hivyo kuamua kuwa Mkataba wa IGA hauna dosari za kufanya usitekelezwe.
Hongera sana mzee wangu!
 
Back
Top Bottom