Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Hata ingekuwa ni sehemu ya mambo ya muungano hao DP World wanamiliki mali zilizo Congo na Rwanda hazipo Zanzibar hivyo hawana sababu ya kuwekeza kwenye bandari isiyo na maslahi kwao.Yani ulivyohusisha bandari ya Zanzibar tu nikajua ww ndio walewale Kila cku mnaambiwa Bandari haipo ktk masuala ya Muungano
Pia kuna uwekezaji ulishafanyika katika bandari za huko Zanzibar tangu mwaka jana.