Maswali muhimu kwa chanjo ya COVID-19

Tengenezeni Chanjo yenu ni Mtulize Matter Core
 
Nikategema KamaMtaalamu wa Virology uje na Utafiti wa Chanjo
Bure kabisa
 
😀😄😀😄😄😄 Interesting...ila nadhani utatafutwa na pharmaceutical cartels..watch out...covid-19 is business..
 

You call yourself a scientist by citing other scientists’s published studies that usually remain over 70% patented and hidden??? Really?? You are referring to peer reviews, that is naked truth!!

Narrative wanayotoa au unayotoa inaweza kutolewa na mtu yeyote!! Hata Trump alitoa narratives pamoja na kutaka pia kuchukua sifa za kuleta chanjo hizi in record time!!

What baffles me is this - “so-called scientist” not providing any kind of solutions!! Mchango wako katika swala hili ni nini - kusaidia kuonesha wasiwasi??? Unaweza kusema hapa umegundua nini kipya ambacho hakijawahi kugunduliwa na hawa tunaoona wamekosea??

Nchii hii ina wataalamu wa kilimo lakini hatuuzi mazao nje kihivo! Sasa ina hata virologists - hawana hata chanjo walizogundua na hata zisipitishwe.

Bro, I have respect for what you have achieved BUT heeey - keeping quiet on this matter would have been justice to yourself!!
 
Pia, chaguo tunalo wanaotoa chanjo si wazungu pekee. Wapo China na Russia pia wanazitoa , labda useme nao wana ajenda moja na hao Rothschild .

Bro, utachoka na huyu jamaa halafu anajiita mwanasayansi huku wasiwasi wake ukiongozwa na wasiwasi tu!!

Na umeona! Hakuna sehemu yoyote katika bandiko lake ametaja hata anayetaka kutuondoa ni nani! Hawezi hata kutoa taarifa za wangapi wameuawa kwa chanjo nyingine zote. Hana hata utafiti wake angalau kusema njia sahihi ni nini. Mwanasayansi anaitwaje hivo bila kuwa na utafiti wake?? Yaani tufikie kusema mtu akijua jina na au visifa vya kijidudu basi ni mwanasayansi??

Na hawa ndio wasomi wetu!! Ujuzi wao uko katika kutaja vitu kwa majina. Baaasi!!
 

Huyo bwana seriously anaweza kuwa mgonjwa. Angeshauriwa kuonana na mtalaamu wa magonjwa akili mapema iwezekanavyo. Ingeweza ikamsaidia.
 
Mkuu, nashukuru kwa angalizo.
 
tumia akili mkuu.

kipindi tuko jkt kuna afisa mkuu wa kambi ulikuwa ukikosea,anaanza yeye kujigaragaza kwenye matope na kubebba magogo,lengo ni......

sasa nyinyi watu hamtaki kabisa kutumia akili.
Kwahiyo kwa ulichoandika kwenu ndio wanaita kutumia akili?!? Sisi ni watu gani hao?
 
Akiendelea kubisha atakuwa ana mgao wake katika hili swala la chanjo chanjo za covid. Si kila raia ni mzalendo.
I know who these people are Samcesar,na ndio maana wakati mwingine I become rude with them.They are implanted agents of the NWO cabal kwa hiyo wanachodhini ni mgao wao,maisha ya watu is nothing to them.
 
I know who these people are Samcesar,na ndio maana wakati mwingine I become rude with them.They are implanted agents of the NWO cabal kwa hiyo wanachodhini ni mgao wao,maisha ya watu is nothing to them.

Tume ya mama iliyosheni ma virologists imeshatoa ripoti yake iko hapa. Hawa ni wasomi waliobobea kweli kweli kwenye maeneo yao wala si maneno matupu. Vipi virologist umeiona?


Angalia mkuu karibu unapwelewa.
 
Stupid comment.So niji-quote mwenyewe!Who will believe me.

Anyway sikulaumu,comment yako inaonyesha kwmba you are very ignorant.
 
Mkuu unazungumziaje swala la HIV? (UKIMWI)

Is it a fake disease?
 
Nikategema KamaMtaalamu wa Virology uje na Utafiti wa Chanjo
Bure kabisa
Dah,kweli wajinga ndio waliwao.Nimesema wazi hii sio chanjo,ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System, doesn't that tell you everything.

Anyway way sio mtaalamu,kwa hivyo dialogue na wewe ni time wastage.
 
😀😄😀😄😄😄 Interesting...ila nadhani utatafutwa na pharmaceutical cartels..watch out...covid-19 is business..
I do not care,as long as nilichosema ni kweli na sahihi,usinitishe,business za kuua watu!

Najua huu ni mpango wa genocide wa the NWO cabal,na najua pia kwamba wameua whittle blowers wengi,but you die only once.Na hata hivyoo,mbona akina David Icke,Robert Kennedy na madaktari wengi tu independent and uncompromized worldwide wameendelelea kupaza sauti zao against this extremely evil plan against humanity?Mkuu we have a duty, everybody of us,to say no to this evil plan.
 
Kwa sasa goma limesukumizwa india....wahindi wamechanganya akili za mbayuwayu wanatumia dawa inaitwa ivermectin kutibu wagonjwa kinyume na maelekezo ya WHO....kuna mimtu humu kazi kushadadia kila kinachoelekezwa na mzungu..
Sasa kwa mfano hawa wakifanikiwa kutengeneza covid mpya watamlaumu nani ?
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…