Maswali na Majibu kuhusu Kitabu cha Mohamed Said

Maswali na Majibu kuhusu Kitabu cha Mohamed Said

Udadisi,

Nimesoma hiyo blogspot yako, naona wewe mwenywewe umejitambulisha tu kama Chambi, hakuna picha wala profile yako. Makala zako ziko anonymous and yet unafyonza kwenye intelectual peoperties za watu na kufanya tahakiki.

Sasa ndugu yangu ona hapo wewe kama ni mwandishi au researcher huoni kuna kasoro hapo. Mimi hapo nina mashaka nawe na hiyo unayoifanya sidhani kama it is with good intention.


Huyu nafikiri ni Chambi Chachage mtoto wa Marehemu Prof Seth Chachage!?

Huyu Udadisi aka Chambi Chachage nafikiri pamoja na mangineyo mangi,lakini pia aliwahi kuwa Co-Editor wa Africa's Liberation:The Legacy of Nyerere!?

Mimi binafsi namfahamu huyu Udadisi aka Chambi Chachage...pamoja na baadhi ya shughuli zake fulani za kitaaluma alizowahi kufanza na nyadhifa ndogo ndogo alizowahi kushika ndani ya baadhi ya NGO's kadhaa hapo nchini!

Nakumbuka kitambo nikikutana nae huyu Udadisi aka Chambi Chachage pale ofisi za UKUTA - Arnaoutoglou Hall...kila mmojawapo wetu akifuata materials za aina yake!?...au kijana yule ndo alokua Mzazi wako!? Duuh!

Babake Prof Chachage mwenyewe...nikimfahamu tangia wakti ule tukiishi pale Mlimani-UDSM. Hawa pamoja na wale ma-Profesor wangine mahiri na wafia "Unyerere" kama...Mbunda,Kigongo Fimbo Mnyonge,Mtoto Mwema,Mbilinyis(both Mr and Mrs),Shivji,Haroub Othman,Mbwiliza,Baregu,Kezilahabi na wangineo wangi mno wakti huo!

Kwa ufupi tu...hata nami namstaajabu mno huyu Udadisi kwa huu utararatibu wa msuto/cross examination aloamua kuutumia dhidi ya Mwanataakuma mwenzie Bwana Mohamed Said!? Daah!...tena huo msuto wenyewe kwanini iwe lazim uletwe humu-JF!?

Yaani wewe Chachage hata staha na hishma za kitaaluma ndo zimekutoka kwa kujaribu kutaka kumtetea yule Nyerere wako!?

Kama upotoshaji wa Historia mbona ulianza kufanzwa na wale Chuo Cha Chama Kivukoni/Historia ya Kivukoni...tena chini ya usimamizi/uratibu wa yule Nyerere mwenyewe!...sasa mbona nyinyi/wewe hatujakuoneni kuinua hizo kalamu zenu na kufanzia critique zile historia potofu!?

Jangine...kutokana na mrengo/mwelekeo wa siasa za Udadisi na hata ndani ya nyumba yao tangia wamezaliwa...huoni weye kujaribu kushughulika na maandiko ya Bwana Mohamed Said itakua pana conflict of interest na pia kutomtendea yeye haki kitaaluma!?

Ninamaanisha yakua...wewe Udadisi yajulikana ni mfia Unyerere,na Bwana Mohamed Said nae ajulikana yakua ni mmojawapo wa critics wa siasa za Nyerere kwa myaka mingi!...sasa kwanini usitumie tu njia na taratibu nyangine, kama vile uandike rejeo kwa kitabu chako kitaaluma kumpinga nae pia kitaaluma na kwa vithibitisho vyako lukuki!?

Ahsanta sana.
 
Huyu nafikiri ni Chambi Chachage mtoto wa Marehemu Prof Seth Chachage!?

Huyu Udadisi aka Chambi Chachage nafikiri pamoja na mangineyo mangi,lakini pia aliwahi kuwa Co-Editor wa Africa's Liberation:The Legacy of Nyerere!?

Mimi binafsi namfahamu huyu Udadisi aka Chambi Chachage...pamoja na baadhi ya shughuli zake fulani za kitaaluma alizowahi kufanza na nyadhifa ndogo ndogo alizowahi kushika ndani ya baadhi ya NGO's kadhaa hapo nchini!

Nakumbuka kitambo nikikutana nae huyu Udadisi aka Chambi Chachage pale ofisi za UKUTA - Arnaoutoglou Hall...kila mmojawapo wetu akifuata materials za aina yake!?...au kijana yule ndo alokua Mzazi wako!? Duuh!

Babake Prof Chachage mwenyewe...nikimfahamu tangia wakti ule tukiishi pale Mlimani-UDSM. Hawa pamoja na wale ma-Profesor wangine mahiri na wafia "Unyerere" kama...Mbunda,Kigongo Fimbo Mnyonge,Mtoto Mwema,Mbilinyis(both Mr and Mrs),Shivji,Haroub Othman,Mbwiliza,Baregu,Kezilahabi na wangineo wangi mno wakti huo!

Kwa ufupi tu...hata nami namstaajabu mno huyu Udadisi kwa huu utararatibu wa msuto/cross examination aloamua kuutumia dhidi ya Mwanataakuma mwenzie Bwana Mohamed Said!? Daah!...tena huo msuto wenyewe kwanini iwe lazim uletwe humu-JF!?

Yaani wewe Chachage hata staha na hishma za kitaaluma ndo zimekutoka kwa kujaribu kutaka kumtetea yule Nyerere wako!?

Kama upotoshaji wa Historia mbona ulianza kufanzwa na wale Chuo Cha Chama Kivukoni/Historia ya Kivukoni...tena chini ya usimamizi/uratibu wa yule Nyerere mwenyewe!...sasa mbona nyinyi/wewe hatujakuoneni kuinua hizo kalamu zenu na kufanzia critique zile historia potofu!?

Jangine...kutokana na mrengo/mwelekeo wa siasa za Udadisi na hata ndani ya nyumba yao tangia wamezaliwa...huoni weye kujaribu kushughulika na maandiko ya Bwana Mohamed Said itakua pana conflict of interest na pia kutomtendea yeye haki kitaaluma!?

Ninamaanisha yakua...wewe Udadisi yajulikana ni mfia Unyerere,na Bwana Mohamed Said nae ajulikana yakua ni mmojawapo wa critics wa siasa za Nyerere kwa myaka mingi!...sasa kwanini usitumie tu njia na taratibu nyangine, kama vile uandike rejeo kwa kitabu chako kitaaluma kumpinga nae pia kitaaluma na kwa vithibitisho vyako lukuki!?

Ahsanta sana.

Gombesugu,
Ahsante sana ndugu yangu.

Mdadisi nilishampa fikra zangu huko nyuma nikamweleza kuwa nalielewa vyema
sana tatizo linalohangaisha nafsi yake na kumitia joto.

Kwa maisha yake yote kasomeshwa kuwa hawa Waswahili si lolote.
Ikawa yeye anaiangalia TANU kwa sura ya Nyerere.

Sasa mimi nilipokuja na TANU kutoka kwengine kabisa hapo ndipo alipopigwa
na mshtuko.

Maswali yote anayoniuliza ni maswali ambayo kwa hakika si maswali.
 
Gombesugu,
Ahsante sana ndugu yangu.

Mdadisi nilishampa fikra zangu huko nyuma nikamweleza kuwa nalielewa vyema
sana tatizo linalohangaisha nafsi yake na kumitia joto.

Kwa maisha yake yote kasomeshwa kuwa hawa Waswahili si lolote.
Ikawa yeye anaiangalia TANU kwa sura ya Nyerere.

Sasa mimi nilipokuja na TANU kutoka kwengine kabisa hapo ndipo alipopigwa
na mshtuko.

Maswali yote anayoniuliza ni maswali ambayo kwa hakika si maswali.

Mzee Said, mbona tunarudi nyuma tena, si tulishakubaliana kuhusu dhima kuu ya huu mjadala. Sijaja kukusuta hapa. Kitabu chako ni moja ya vyanzo vikuu vya utafiti wangu, ni moja ya vitabu ninavyovienzi - kingine ni cha 'Wanawake wa TANU'.

Hivyo, hizo nukuu naziweka humu kama maswali ili tujadiliane, pale panapohitajika marekebisho yafanyike ikibidi uweke 'errata', na pale panapohitaji uthibitisho (zaidi), tuutafute/niutafute. Kama sikosei hiki kitabu chako kina toleo la pili, hapa nasoma (tena) toleo la kwanza kwa umakini zaidi - na nimeshakuambia nimeshavuka ukurasa wa 80 na maswali hata hayazidi 10, hiyo yote ni ishara kuwa nakubaliana na mengi tu yaliyomo humu, nimeyanukuu na nitayanukuu.

Ondoa hofu anazokujengea gombesugu. Pia naomba usiniweke kundi moja na wapinzani wako mnaopingana kuhusu historia ya uislamu na uhuru - makala zangu kuhusu udini hizo hapo chini, kwa kiasi kikubwa tuko upande mmoja:

UDADISI: Rethinking in Action: Uislamu,Ukristo,Upagani na Dai la 'Mfumo Kristo'

UDADISI: Rethinking in Action: Researching Religion (Dini) and Religionism (Udini)
 
Last edited by a moderator:
Huyu nafikiri ni Chambi Chachage mtoto wa Marehemu Prof Seth Chachage!?

Huyu Udadisi aka Chambi Chachage nafikiri pamoja na mangineyo mangi,lakini pia aliwahi kuwa Co-Editor wa Africa's Liberation:The Legacy of Nyerere!?

Mimi binafsi namfahamu huyu Udadisi aka Chambi Chachage...pamoja na baadhi ya shughuli zake fulani za kitaaluma alizowahi kufanza na nyadhifa ndogo ndogo alizowahi kushika ndani ya baadhi ya NGO's kadhaa hapo nchini!

Nakumbuka kitambo nikikutana nae huyu Udadisi aka Chambi Chachage pale ofisi za UKUTA - Arnaoutoglou Hall...kila mmojawapo wetu akifuata materials za aina yake!?...au kijana yule ndo alokua Mzazi wako!? Duuh!

Babake Prof Chachage mwenyewe...nikimfahamu tangia wakti ule tukiishi pale Mlimani-UDSM. Hawa pamoja na wale ma-Profesor wangine mahiri na wafia "Unyerere" kama...Mbunda,Kigongo Fimbo Mnyonge,Mtoto Mwema,Mbilinyis(both Mr and Mrs),Shivji,Haroub Othman,Mbwiliza,Baregu,Kezilahabi na wangineo wangi mno wakti huo!

Kwa ufupi tu...hata nami namstaajabu mno huyu Udadisi kwa huu utararatibu wa msuto/cross examination aloamua kuutumia dhidi ya Mwanataakuma mwenzie Bwana Mohamed Said!? Daah!...tena huo msuto wenyewe kwanini iwe lazim uletwe humu-JF!?

Yaani wewe Chachage hata staha na hishma za kitaaluma ndo zimekutoka kwa kujaribu kutaka kumtetea yule Nyerere wako!?

Kama upotoshaji wa Historia mbona ulianza kufanzwa na wale Chuo Cha Chama Kivukoni/Historia ya Kivukoni...tena chini ya usimamizi/uratibu wa yule Nyerere mwenyewe!...sasa mbona nyinyi/wewe hatujakuoneni kuinua hizo kalamu zenu na kufanzia critique zile historia potofu!?

Jangine...kutokana na mrengo/mwelekeo wa siasa za Udadisi na hata ndani ya nyumba yao tangia wamezaliwa...huoni weye kujaribu kushughulika na maandiko ya Bwana Mohamed Said itakua pana conflict of interest na pia kutomtendea yeye haki kitaaluma!?

Ninamaanisha yakua...wewe Udadisi yajulikana ni mfia Unyerere,na Bwana Mohamed Said nae ajulikana yakua ni mmojawapo wa critics wa siasa za Nyerere kwa myaka mingi!...sasa kwanini usitumie tu njia na taratibu nyangine, kama vile uandike rejeo kwa kitabu chako kitaaluma kumpinga nae pia kitaaluma na kwa vithibitisho vyako lukuki!?

Ahsanta sana.

Ndugu, acha upotoshaji na uchochezi, mimi na Mzee Said tulishaelewana kitambo kuhusu namna ya kuendesha mjadala huu sasa unaingilia kati na kuharibu darasa hili la bure badala ya kuchangia mada; kama kweli umesoma machapisho yangu kwa makini utaona kuwa kuna mengi sana nayopingana na Nyerere, kwa mfano, katika marejeo uliyoyaweka kuna hitimisho hili:

Mwalimu Nyerere's legacy is tied to the history/herstory of the education sector in Tanzania. His regime produced positive as well as negative results in the education realm. In the case of the former Universal Primary Education (UPE) stands out. I am convinced that in the case of the latter the confused Language of Instruction (LOI) policy stands out. It is in this regard I agree with the assessment that ‘Nyerere's own views were also contradictory, in that he endorsed both developmentalist and emancipatory ones" whereby the "former prioritized experts, rather than mobilization of the people to organize on their own behalf." (Mbilinyi 2004: xiii).
 
Ndugu, acha upotoshaji na uchochezi, mimi na Mzee Said tulishaelewana kitambo kuhusu namna ya kuendesha mjadala huu sasa unaingilia kati na kuharibu darasa hili la bure badala ya kuchangia mada; kama kweli umesoma machapisho yangu kwa makini utaona kuwa kuna mengi sana nayopingana na Nyerere, kwa mfano, katika marejeo uliyoyaweka kuna hitimisho hili:


Udadisi,

Mbona umeamua kutumia lugha chafu,umekumbwa na nini!?...tazama hapo nilipo-BOLD kwenye hiyo bayana yako!

Mie nilichofanza ni kumsaidia Mwanajamvi mwenzetu alokua akijaribu kukufahamu weye ni nani!?...sasa kosa langu ni lipi hapo!? Kusema yakua mie nakufahamu!? Ebo!

Mie hata Marehemu Mzazi wako tukihishimiana na kufahamiana.

Nami pia nafanza shughuli za kitaaluma kwenye field/proffesion yangu,kwa hiyo punguza kibri cha kitoto!...nitashindwa tu kukupa link/s au kuziweka humu,sababu bado sijaamua kujiweka hadharani/kujipambanua nasaba yangu. Ninamaanisha kwa hivi sasa bado sijaamua kuwa "verified user"!

Sasa mie "nimempotosha" kwa lipi huyo Bwana Mohamed Said,hivi unakhis yeye binafsi hana uwezo wa kufanza maamuzi mpaka ati anisikize mie!?

Wewe kama kweli sio mfia Unyerere,basi ungepunguza kuweka zile quotes za kipuuzi kwenye posts kadhaa humu-JF zenye kuzungumzia mchakato wa Katiba na siasa/history za Zanzibar!...tena toka kwa mtu yule yule/Nyerere ambaye aloleta impact/nakma kwenye masuala hayo hayo ambayo sisi leo Wananchi wanyonge tulioko huku Vijijini yanazidi kutuadhibu na kutuangamiza mpaka kesho!? Daah!

Achana na mie...endeleza hayo masuali yako kwa Bwana Mohamed Said tuyaone! Nasi pia tuna masuali yetu mangi tu na tutakuuliza!

Ahsanta.
 
Udadisi,

Mbona umeamua kutumia lugha chafu,umekumbwa na nini!?...tazama hapo nilipo-BOLD kwenye hiyo bayana yako!

Mie nilichofanza ni kumsaidia Mwanajamvi mwenzetu alokua akijaribu kukufahamu weye ni nani!?...sasa kosa langu ni lipi hapo!? Kusema yakua mie nakufahamu!? Ebo!

Mie hata Marehemu Mzazi wako tukihishimiana na kufahamiana.

Nami pia nafanza shughuli za kitaaluma kwenye field/proffesion yangu,kwa hiyo punguza kibri cha kitoto!...nitashindwa tu kukupa link/s au kuziweka humu,sababu bado sijaamua kujiweka hadharani/kujipambanua nasaba yangu. Ninamaanisha kwa hivi sasa bado sijaamua kuwa "verified user"!

Sasa mie "nimempotosha" kwa lipi huyo Bwana Mohamed Said,hivi unakhis yeye binafsi hana uwezo wa kufanza maamuzi mpaka ati anisikize mie!?

Wewe kama kweli sio mfia Unyerere,basi ungepunguza kuweka zile quotes za kipuuzi kwenye posts kadhaa humu-JF zenye kuzungumzia mchakato wa Katiba na siasa/history za Zanzibar!...tena toka kwa mtu yule yule/Nyerere ambaye aloleta impact/nakma kwenye masuala hayo hayo ambayo sisi leo Wananchi wanyonge tulioko huku Vijijini yanazidi kutuadhibu na kutuangamiza mpaka kesho!? Daah!

Achana na mie...endeleza hayo masuali yako kwa Bwana Mohamed Said tuyaone! Nasi pia tuna masuali yetu mangi tu na tutakuuliza!

Ahsanta.

Ndugu, Mzee Said tayari tunafahamiana. Tulishawasiliana kwa barua pepe. Na tukabadilisha mawazo na taarifa vizuri tu.

Kama ujuavyo, "upotoshaji" na "uchochezi" ni maneno ya kawaida kabisa kwenye kamusi ya Kiswahili. Umempotosha Mzee Said kuhusu nia yangu. Pia umemchochea kuhusu azma ya mada hii ilhali mimi na yeye tulishakubaliana. Sasa Mzee Saidi karudi kule kule na kudhani mimi ni wale wale wapinzani wa machapisho yake wa kila siku kwenye ile mijadala isiyoisha.

Kuhusu hicho unachokiita 'Ufianyerere', mimi kuna mengi tu ninayopingana naye kuhusu Zanzibar na kuna ninayokubaliana naye kuhusu Muungano/Umoja. Rejea makala zangu hapo hapa chini ambazo kwa kiasi kikubwa sana zinapingana naye:

‘Zanzibar is more than just a country’ | Zanzibar Daima Online

The African Executive | Norway in Tanzania: The Battle Rages

UDADISI: Rethinking in Action: BEYOND TWO GOVERNMENTS IN TANZANIA

WHERE IS ZANZIBARS DEATH CERTIFICATE? < http://www.mzalendo.net/wp-content/u...s-of-Union.pdf >
 
Ndugu, Mzee Said tayari tunafahamiana. Tulishawasiliana kwa barua pepe. Na tukabadilisha mawazo na taarifa vizuri tu.

Kama ujuavyo, "upotoshaji" na "uchochezi" ni maneno ya kawaida kabisa kwenye kamusi ya Kiswahili. Umempotosha Mzee Said kuhusu nia yangu.

Wee Udadisi,

Utapata dhiki ya bure kujishughulisha na mie!...kama unavyodai yakua weye na Bwana Mohamed Said ati "mnafahamiana",basi kaa umuulize Gombesugu nae ndo nani!?

Hapo nilipo-BOLD kwenye hiyo bayana yako,si ndo yale yale naliyokwambia awali!

Kwa kifupi hizo Kamusi hapo zinatungwa na kuhaririwa ndani ya family yangu kwa myka chungu tele!

Kuna mangi ya kuzungumza,lakini lete basi hayo "masuali" yako kwa Bwana Mohamed Said nasi tuyaone!?

Salaam zao!

Ahsanta.
 
Nami pia nafanza shughuli za kitaaluma kwenye field/proffesion yangu,kwa hiyo punguza kibri cha kitoto!...nitashindwa tu kukupa link/s au kuziweka humu,sababu bado sijaamua kujiweka hadharani/kujipambanua nasaba yangu. Ninamaanisha kwa hivi sasa bado sijaamua kuwa "verified user"!

Usiogope
 
Wee Udadisi,

Utapata dhiki ya bure kujishughulisha na mie!...kama unavyodai yakua weye na Bwana Mohamed Said ati "mnafahamiana",basi kaa umuulize Gombesugu nae ndo nani!?

Hapo nilipo-BOLD kwenye hiyo bayana yako,si ndo yale yale naliyokwambia awali!

Kwa kifupi hizo Kamusi hapo zinatungwa na kuhaririwa ndani ya family yangu kwa myka chungu tele!

Kuna mangi ya kuzungumza,lakini lete basi hayo "masuali" yako kwa Bwana Mohamed Said nasi tuyaone!?

Salaam zao!

Ahsanta.

Ndugu, kukufahamu lazima nakufahamu tu. Kwa heshima ya wazee wenzako, Abdul Sheriff na Farouq Topan, naacha kujibishana nawe. Maswali kwa Mzee Said yanaendelea kadri ninavyosoma kitabu chake na kukutana nayo. Shukrani.
 
Udadisi

Wala usitie shaka kwenye hizi critics za gombesugu na wenzake maana sijaona external wala internal critics zinazokosoa maudhui ya unachochambua kwenye kazi ya Mzee Mohamed Saidi. Sielewi kwa nini wameamua kukejeli methodolojia unayotumia kuchambua na kukusanya ushahidi ili kushibisha/kubomoa arguments za Mzee saidi. Ingawaje sijasoma kitabu cha Mzee Saidi, kwa kadri mnakasha huu unavyotaradadi mpaka hapa tulipofika, ni wazi Udadisi anafanikisha zoezi la kujua umadhubuti ama udhaifu wa hoja za Mzee Saidi.

Udadisi, tafadhali endelea kutupia maswali ya rejea toka kwenye kitabu hicho cha Mzee Saidi.
 
11. "[TAA memorandum to the Constitutional Development Committee] surfaced at the TANU founding conference on 7th July, 1954 and was to form the basis of Julius Nyerere's speech before the Trusteeship Council of the United Nations in New York in March 1955" (p. 92)

12. "There are old men, TANU veterans, who believe to this day that the March 1955 speech by Julius Nyerere before the Trusteeship Council was written by Abdulwahid, and, so was the constitution of Tanganyika. The author has come across this story several times in his interviews with early members of TANU. The reason for this belief is that the document was drafted by the TAA Political Subcomittee in 1950" (p. 92)
 
Udadisi umefanya jambo jema sana maswali yako mengi ni maswali ya msingi sana sasa unapoona swali halijibiwi au swali linakimbiwa kinamna ni wazi hata mzee wetu wa Kariako keshajua waTanzania si mabwege.Mfano Mzee wetu Mohamed Said anapodai kwamba Kleist Sykes na Aziz Ali walikuwa waAfrika wa kwanza kunywa bia wakati huo huo kulikuwa na waAfika wakiendesha biashara ya kuuza bia sasa sijui kama wao walikuwa na ruksa ya kuuza tu huku sheria ikiwabana wasinywe ?.
 
Last edited by a moderator:
Udadisi umefanya jambo jema sana maswali yako mengi ni maswali ya msingi sana sasa unapoona swali halijibiwi au swali linakimbiwa kinamna ni wazi hata mzee wetu wa Kariako keshajua waTanzania si mabwege.Mfano Mzee wetu Mohamed Said anapodai kwamba Kleist Sykes na Aziz Ali walikuwa waAfrika wa kwanza kunywa bia wakati huo huo kulikuwa na waAfika wakiendesha biashara ya kuuza bia sasa sijui kama wao walikuwa na ruksa ya kuuza tu huku sheria ikiwabana wasinywe ?.

Mkuu, naamini baada ya mchakato huu Mzee Said atatoa toleo la pili au tatu la hiki kitabu chake ambalo litakuwa bora zaidi.

Angalizo: Hapo Mzee Said anamaanisha waliruhusiwa tu (hamaanishi,ama hayuko wazi, kuwa walikunywa); lakini licha ya hayo, bado hiyo hoja/swali lako limesimama, natumai atalijibu au labda Mzee gombesugu atasaidia.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, naamini baada ya mchakato huu Mzee Said atatoa toleo la pili au tatu la hiki kitabu chake ambalo litakuwa bora zaidi.

Angalizo: Hapo Mzee Said anamaanisha waliruhusiwa tu (hamaanishi,ama hayuko wazi, kuwa walikunywa); lakini licha ya hayo, bado hiyo hoja/swali lako limesimama, natumai atalijibu au labda Mzee gombesugu atasaidia.

Mdadisi,
Mimi nimeshaandika na huu ni mwaka wa 16 kitabu kinasomwa kote wanakosomesha
African History Ulaya na Marekani

Wakuandika sasa ni nyinyi.
Msipoteze muda wenu JF kwa kunidodosa.

Pindeni migongo muandike mchangie katika historia ya nchi yetu.
 
Udadisi umefanya jambo jema sana maswali yako mengi ni maswali ya msingi sana sasa unapoona swali halijibiwi au swali linakimbiwa kinamna ni wazi hata mzee wetu wa Kariako keshajua waTanzania si mabwege.Mfano Mzee wetu Mohamed Said anapodai kwamba Kleist Sykes na Aziz Ali walikuwa waAfrika wa kwanza kunywa bia wakati huo huo kulikuwa na waAfika wakiendesha biashara ya kuuza bia sasa sijui kama wao walikuwa na ruksa ya kuuza tu huku sheria ikiwabana wasinywe ?.

Ngongo,
Hizi lugha za ''ubwege'' za nini kaka?

Wakati mwingine huwa sijibu swali kwa kuwa halinivutii.
Hivyo hupuuza.
 
Back
Top Bottom