Maswali na Majibu tu. Watu wenye IQ kubwa mnakaribishwa.

KWanza Fanya ku like thread hii, kisha uliza swali kali au jibu maswali. Post yako ikipata reaction nyingi (20 reactions) basi tutakutambua kama Genius!

Nb. Kiswahili na English vinaruhisiwa. Tuanze.
Umeme wa Bwawa la mwalimu, Julius Nyerere unatutosha na tuna ziada ya kuuza nje ya nchi, ghafla tutanunua umeme Toka Ethiopia!Tueleweje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…