Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
Sio wewe namzungumzia yule jamaa kibarua wa migodini anayetoka Bukoba.Mimi huyu au?
Unaweza ukaelezea ni kwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wewe namzungumzia yule jamaa kibarua wa migodini anayetoka Bukoba.Mimi huyu au?
Unaweza ukaelezea ni kwa nini?
Kuhusu sababu za yeye kuzeeka na kurudi utotoni nafikiri ni kwa ajili ya Kazi ngumu za migodini na kuendekeza pombeMimi huyu au?
Unaweza ukaelezea ni kwa nini?
Ukristo ulitokea sehemu ambayo muingiliano ulipo mkubwa kama ulivyo hona uislamu katika muingiliano mfano biashara,ukaribu wa tamaduni na n.kMbona bara la ulaya walikuwa wapagan wakiabudu miungu kama zeus, artemis, athena kuna wale norse god kina thor, loki, freya, odin ila sasa asilimia kubwa ni wakristu na ukristu umeanzia jerusalem ambapo kijiografia hawapo bara la ulaya, na ulaya ipo vizuri kiuchumi
swali lilikuwa mbona bara lilobadilisha mila za kuabudu ndo linaongoza kwa umaskini, ndo nikamjibu mbona ulaya wamebadilisha mila ya kuabudu na wala sio maskiniUkristo ulitokea sehemu ambayo muingiliano ulipo mkubwa kama ulivyo hona uislamu katika muingiliano mfano biashara,ukaribu wa tamaduni na n.k
Ni sawa ulazimishe umeme toka ethiopia una nunua wakati ulisema unauza
Utoto ni utumwakwanini ulikubali wazazi wako wakulete duniani bila hiali yako kwa ngono zao za kipuuzi?
Hahahaaaa.Kuhusu sababu za yeye kuzeeka na kurudi utotoni nafikiri ni kwa ajili ya Kazi ngumu za migodini na kuendekeza pombe
Umaskini unaweza kuja kwa sababu kama:swali lilikuwa mbona bara lilobadilisha mila za kuabudu ndo linaongoza kwa umaskini, ndo nikamjibu mbona ulaya wamebadilisha mila ya kuabudu na wala sio maskini
Kama kuna pesa nitalikeKwa hiyo tukilike hii thread tunapata nini ?
Aaaaa Ila amebarikiwa Sana.Hahahaaaa.
Nafikiri wewe ndiye jiniasi wetu.
Unasema bila hiari yako, hapohapo unasema ulikubali!kwanini ulikubali wazazi wako wakulete duniani bila hiali yako kwa ngono zao za kipuuzi?
Nani tena aliyebarikiwa.Aaaaa Ila amebarikiwa Sana.
Sasa huo msongo wa mawazo ni wako sasa sio wanguShida ni hiyo njaa. Tafuta kitu ule.
Sikia bruh faida sio lazima iwe hela ,hata uki like thread ya mtu Kuna faida kama kupunguza msongo wa mawazo.