Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Unaweza Kutofautisha Synapse na Synaptic Cleft.
DR Mambo Jambo
DR Mambo Jambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maji yanayotoka kwenye mito na kuelekea Baharini hayakauki kwasababu ni water cycle yapo kwenye mzunguko wake wa asili, maji yanachomwa na kupanda angani kama mvuke na baadae mvua inanyesha (precipitation) kwahiyo mito inaendelea kutirirsha majiNataka kujua, kwanini maji yanayotoka kwenye vyanzo vya mito mikubwa duniani, mf: mto nile, mto amazon, nk. Haviishiwi maji na yanatiririka kila siku, mamia ya miaka, na nilitegemea kuona bahari ya shamu kufurika kutokana na maji yanayoingia kila siku kutoka mto nile, IQ yangu hapa ndo inavurugwa na mzunguko wa maji ya mito, sielewi yanatokea wapi na yanapotelea wapi,.
Mimi siyapendi ndio maana naulizaSababu labda ni nguo wanazovaa au camera.
Wewe unapenda kuwaangalia matako yao?
Kwa mtu ambaye hana utaratibu wa kuchagua menu ya vyakula ataelewaje umuhimu wa kuwa na vyama vingi?Kama vile kuchagua menu ya vyakula!
Hawezi kuelewa ndio hao akina, Lukas Mwashambwa na Tlaahtlaah!Kwa mtu ambaye hana utaratibu wa kuchagua menu ya vyakula ataelewaje umuhimu wa kuwa na vyama vingi?
😀kwa nini ccm hawana akili
Wameanza kuzeeka vibaya!
Tumemkata Mungu wetu wa kweli na kuabudu Mababu wa kina John Smith Mathew Peter n.kJe umeshawahi kujiuliza ni kwa nini bara linaongoza kubandili mila ya kuabudu ndio bara masikini, kuliko mabara yote?.
Kumbe waislamu wanaifuata biblia na hamsemi..!!! Hao waislamu hawajasoma Marko 7: 17-23, inayosemaWaislam wanaogopa nguruwe kwasababu kwenye Biblia Walawi 11:7-8 inasema: Na NGURUWE kwasababu anazo kwato,ni mwenye miguu iliyopasuka kati,lakini hacheui,yeye ni najisi kwenu.Msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.
Swali: mimi niulize nini?KWanza Fanya ku like thread hii, kisha uliza swali kali au jibu maswali. Post yako ikipata reaction nyingi (20 reactions) basi tutakutambua kama Genius!
Nb. Kiswahili na English vinaruhisiwa. Tuanze.
Kwanini unafikiri reaction nyingi ndio kipimo cha IQ kubwa?KWanza Fanya ku like thread hii, kisha uliza swali kali au jibu maswali. Post yako ikipata reaction nyingi (20 reactions) basi tutakutambua kama Genius!
Nb. Kiswahili na English vinaruhisiwa. Tuanze.
Kubandili mila ya kuambundu sio sambambu ya hili mbara kuwa masikini.Je umeshawahi kujiuliza ni kwa nini bara linaongoza kubandili mila ya kuabudu ndio bara masikini, kuliko mabara yote?.
Dio najuaJe wajua tunaishi na nyoka wengi tu ndani ya manyumba yetu na mbu wengi sanana binadamu wengi sana na ndio wanyama wanaongoza kumuua binadamu