Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Code zangu hizi ๐๐mo energy na sigara pembeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Code zangu hizi ๐๐mo energy na sigara pembeni
๐๐๐๐๐Code zangu hizi ๐๐
Hii kubwa IQ!Nataka kujua, kwanini maji yanayotoka kwenye vyanzo vya mito mikubwa duniani, mf: mto nile, mto amazon, nk. Haviishiwi maji na yanatiririka kila siku, mamia ya miaka, na nilitegemea kuona bahari ya shamu kufurika kutokana na maji yanayoingia kila siku kutoka mto nile, IQ yangu hapa ndo inavurugwa na mzunguko wa maji ya mito, sielewi yanatokea wapi na yanapotelea wapi,.
Kujibu ishu yako tutahitaji kwenda kufanya utafiti au kutumia vyanzo kama vitabu na chatbots.Nataka kujua, kwanini maji yanayotoka kwenye vyanzo vya mito mikubwa duniani, mf: mto nile, mto amazon, nk. Haviishiwi maji na yanatiririka kila siku, mamia ya miaka, na nilitegemea kuona bahari ya shamu kufurika kutokana na maji yanayoingia kila siku kutoka mto nile, IQ yangu hapa ndo inavurugwa na mzunguko wa maji ya mito, sielewi yanatokea wapi na yanapotelea wapi,.
Sababu labda ni nguo wanazovaa au camera.Zaidi ya kukalia kwanini wanawake wa mtandaoni wanapenda kuwa na matako makubwa na ukiwafuatialia wengi wao wamepiga picha kugeuza nyuma kalio zao kuonesha kama unaona kalio zao. Hii imekaaje mtaalam
Linakuwa maskini kwa sababu watu wake wameacha na kuikataa asili Yao ambayo ndio roho ya uchumi na kukaribisha Mila mpya ambazo zimeambatana na roho za kigeni zisizoendana na asili yetu. Asili imetukataa kwa sababu tuliitupa, haiwezi kutupatia maendeleoJe umeshawahi kujiuliza ni kwa nini bara linaongoza kubandili mila ya kuabudu ndio bara masikini, kuliko mabara yote?.
Hapa mnaisema afrika?Linakuwa maskini kwa sababu watu wake wameacha na kuikataa asili Yao ambayo ndio roho ya uchumi na kukaribisha Mila mpya ambazo zimeambatana na roho za kigeni zisizoendana na asili yetu. Asili imetukataa kwa sababu tuliitupa, haiwezi kutupatia maendeleo
Eti nao wanayatamani makalio Yao wenyewe๐๐๐ halafu wanayaonea wivu!Zaidi ya kukalia kwanini wanawake wa mtandaoni wanapenda kuwa na matako makubwa na ukiwafuatialia wengi wao wamepiga picha kugeuza nyuma kalio zao kuonesha kama unaona kalio zao. Hii imekaaje mtaalam
Si kila gesi inawaka. Na ndiyo maana gesi nyingine zinatumika ku-purge (kusafisha) pipes zinazosafirisha gesi zinazowaka, mfano helium. Inert gases haziwaki. LABDA KAMA UNAJAMBA METHANEHivi ukijamba alafu nikaja na kiberiti nikawasha moto kunauwezekano ukalipuka? Maana naskia ukijamba ni umetoa gesi.
Ikishapata sifa nzuri nini kitafuataThread itapata sifa nzuri hakika
Hehehe!!!Daah mtoa mada anaitwa nani jina harisia.. Kama sio SELE ni nan??
Waislam wanaogopa nguruwe kwasababu kwenye Biblia Walawi 11:7-8 inasema: Na NGURUWE kwasababu anazo kwato,ni mwenye miguu iliyopasuka kati,lakini hacheui,yeye ni najisi kwenu.Msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.Kwanini waislamu wanaogopa nguruwe kuzidi hata shetani mwenyewe, unakuta danga unalinunulia pombe kisha muondoke ukalipige show ila ukiliagizia kitimoto linakuambia mimi muislamu ilhali hapo anafanya umalaya.
Au jamaa anafanya dhambi za kila aina ila uthubutu kumnunulia kitimoto mtagombana
Duh!Hivi ukijamba alafu nikaja na kiberiti nikawasha moto kunauwezekano ukalipuka? Maana naskia ukijamba ni umetoa gesi.
Nyoka wanathibitiwa na paka.Je wajua tunaishi na nyoka wengi tu ndani ya manyumba yetu na mbu wengi sanana binadamu wengi sana na ndio wanyama wanaongoza kumuua binadamu
Naskia Energy huko Uganda zimewaumua watu Makalio.Code zangu hizi ๐๐