Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sijaona sehemu nguruwe akihalalishwa kama alivyokatazwa kwa kutajwa jina lakeKumbe waislamu wanaifuata biblia na hamsemi..!!! Hao waislamu hawajasoma Marko 7: 17-23, inayosema
17Hata alipoingia nyumbani, ameuacha mkutano, wanafunzi wake wakamwuliza habari za ule mfano. 18Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi; 19kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote. 20Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi. 21Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati, 22wivi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu. 23Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi.
Umeme unapunguaje unaposafirishwa tofauti na bidhaa? Tupe kwa kila kilomita.KWanza Fanya ku like thread hii, kisha uliza swali kali au jibu maswali. Post yako ikipata reaction nyingi (20 reactions) basi tutakutambua kama Genius!
Nb. Kiswahili na English vinaruhisiwa. Tuanze.
Huu sasa ni utapeli wa like, yaani upendo kwa Yanga halafu like kwako...haijakaa sawa.Wenye mnaoipenda Yanga boyeza like Yanga oyeee
Kwa sababu ni maanithi wa akili nipe 100%kwa nini ccm hawana akili
Kwa hiyo hii ni level za IQ za Masaki?Kwetu Dar. Hapa maeneo ya masaki Kuna wingu lakini mvua Bado haijanyesha.
Walibadili mwaka gani?nq kabla ya kubadili je walikuwa matajiri kuliko sasa?Je umeshawahi kujiuliza ni kwa nini bara linaongoza kubandili mila ya kuabudu ndio bara masikini, kuliko mabara yote?.
Uanwajua wahindi wewe?Je umeshawahi kujiuliza ni kwa nini bara linaongoza kubandili mila ya kuabudu ndio bara masikini, kuliko mabara yote?.
Sio kweli.Umaskini unaweza kuja kwa sababu kama:
Kuendekeza imani sana.
Sehemu zilizoendekeza imani sana ufikiri unakuwa finyu sababu ya imani hizo zinachukua masharti makali ya kila jambo kuonekana linapingana na imani.
Swali la Mwanafunzi kabisa Hili Tena Medical student Mwaka wa Kwanza Hili 😀😀 AnatomyUnaweza Kutofautisha Synapse na Synaptic Cleft.
DR Mambo Jambo
Kwa sababu wanathamini madaraka kuliko wqtu wanaowaongozakwa nini ccm hawana akili
Space btn Knobs inawezaje kuwa na Cleft ?Swali la Mwanafunzi kabisa Hili Tena Medical student Mwaka wa Kwanza Hili 😀😀 Anatomy
ok Twende Kwazi
Synapse kama Synapse ni muunganiko kati ya neuron moja na nyingine..Yaani Huwa Ili Kutokee Action yoyote kwenye Mwili lazima Kuwe na Cordination kati ya Pre synaptic na Post synaptic (Sijyu kama Unanielewa) ..
Yaani Kuna Neuroni inayotuma Action na Neuron Inayopokea Action..
Sasa Kati ya NEURONE inayopokea Action na Neurone inayotuma Action Huwa Kuna Space au Uwazi ndo Unaitwa Synaptic Clefts
kWa Hyo kwa Lugha Nyepesi kabisa ni kwamba Kati ya Neurone inayotuma Taarifa na Neurone inayopokea Taarifa Kuna Nafasi ndogo Space inayoitwa Synaptic Clefts ambapo Humo sasa Ndo kuna Neurotransmitters Kama Dopamine, Serotonin, au Acetylcholine na Hizo Neurotransmitter ndo Hufanya kazi ya Kuhamisha Taarufa Kutoka Presynaptic kwenda Post synaptic neurones..
Yaani Kutoka Neurone Moja kwenda Nyingine
Najisi zilizokuwa najisi zipo nyingi, hivyo hapa vimetajwa vyote kwa ujumla wake.Mbona sijaona sehemu nguruwe akihalalishwa kama alivyokatazwa kwa kutajwa jina lake