Maswali ya kijinga wanayouliza wanawake wakitongozwa

Hakuna upuuzi na chukia sana kama mwanamke aniulize kwanini niliachana na mpenzi wangu aliyepita alafu hapo hapo anakuambia sasa uzuri wangu ni nini mpaka unipende?

Yani nachukia sana na akifanya mistake tuu akachanua naongeza single mother chapu

Ni maswali ya msingi hayo.. kama kweli upo serious na mtu..

But hayo maswali huwezi kuyauliza kwa siku ya kwanza hili swali la kwanini uliachana na ex wako ni la msingi… na hii si kwamba mtu anataka hiyo sababu hapana ni vile anataka kuthibitisha kama kweli mmeachana
 

Katika kutongozwa kwangu sijawah kusema nina mtu Kama sikutaki nitatafuta uongo mwinginee tu

Niseme nina mtu nikose hela kama huyo binti hapo[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Utasikia unaomba namba yangu ya nini?

Sasa Kuna Yale mapumbavu unaomba namba linakupa namba ya mshikaji wake ,ukioiga unakuta mwanaume anapokea unaishia kusema nime wrong namba.

Akijifanya kiherehere anakula matusi yeye na Mwanamke wake mpumbavu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huna hela tu

Ukiwa naZo tunatoa namba hadi za wazazi wetu
 
Wewe una bahati sana kuulizwa maswali ya kupumbavu! Sisi tunapewa majukumu kabisa😀😀 Kodi ya nyumba inakaribia kuisha huku unajua kabisa anakaa kwao! Ufala huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…