Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Tell us about urself..Kaa mbali na interview kama ndio hivyoMimi huwa sitaki kuulizwa swali lolote linalonihusu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tell us about urself..Kaa mbali na interview kama ndio hivyoMimi huwa sitaki kuulizwa swali lolote linalonihusu.
Interviewers wagomvi sana.Mgomvi wewe😅😅😅😅
Sasa boss hiyo si interview nakuwa natafuta kazi sio kuulizwa na fala tu halafu hakitokei kituTell us about urself..Kaa mbali na interview kama ndio hivyo
Nikere nikukere[emoji850]Swali la kuudhi na jibu la kuudhi[emoji1787]
Formalities tu nothing else wajinga waleMbaya ni kwamba wengi wanauliza haya wakiwa hawana nia yoyote yenye manufaa kwako
Nikere nikukere[emoji850]
Huyo mwamba hatakaa maishani mwake aulize tena mtu swali kama hilo
Kila akiwaza kuuliza anakumbuka jibu amazing pengine lililomsababishia machungu kuliko aliyosababisha kwa mwenzie
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndo utaonekana una stress
Ulilazimishwa kua malaya usieolewa ? Maswali yanakuudhi kisa HAUJAOLEMA walio olewa wanaenjoy sana wanapoulizwa.Haya maswali binafsi huwa nayachukia sana japo kweli nimeolewa na nina watoto. Ni maswali too personal kumuuliza mtu mzima mwenye akili zake maamuzi yake. Ila bahati mbaya ni maswali ambayo watu wengi huwa wanapenda kuuliza bila hata kuwaza hisia za wale wanaowauliza.
Tena heri haya maswali yatoke kwa mzazi au mtu wa karibu kuliko ilivyo kawaida kwa sasa.
Watu tujue kuwa single au kuwa kwenye mahusiano ni hali tuu kama ilivyo kuwa na kitu flani au kukosa kitu kingine kwenye maisha
Mtu anaweza kuwa single hajawa tayari kuingia kwenye jukumu la ndoa, sio sababu amekosa mtu wa kuoana nae kama wengi wanavyodhani
Kuna wakati mtu anakua single lakini anatamani sana kuwa ndani ya mahusiano ila anashindwa sababu hajampata mwenye sifa anazotaka
Wakati mwingine mtu yuko single sababu hana uwezo wa kuwa na mahusiano labda ana mapungu aliyozaliwa nayonayo
Na pia mtu anaweza kuwa single sababu alishapitia mahusiano yakamvuruga na kumpa maumivu makubwa sana, kwa hiyo kwake kuwa peke yake ndio amani
Ndoa na familia ni jambo la heri kwa wanadamu lakini pia sio amri useme lazima kila mtu aoe/aolewe; na Kuwa ndani ya ndoa au kuwa na watoto sio ujanja na kukosa iwe ujinga! Hata kwenye vitabu vitakatifu kuna watu ambao hawakuwahi kuoa/kuolewa, kuna watu walioolewa/walioowa wasipate watoto, na wapo watu walioowa/kuolewa katika umri mkubwa pia.
Yote juu ya yote, mipango ya Mungu ni sahihi na mawazo yake ni mawazo sahihi kwetu.
Hawa watarajiwa hapa wanatukumbusha kumshukuru Mungu kwa maisha tuliyo nayo, kumwomba Mungu afanye kwa wakati wake
View attachment 1695876
Ulilazimishwa kua malaya usieolewa ? Maswali yanakuudhi kisa HAUJAOLEMA walio olewa wanaenjoy sana wanapoulizwa.
Mkuu mbona unatumia lugha kali sanaUlilazimishwa kua malaya usieolewa ? Maswali yanakuudhi kisa HAUJAOLEMA walio olewa wanaenjoy sana wanapoulizwa.
Wanawake wenye vijielimu mnakera sana, mnatia sumu ndani ya jamii sasa mtu kuuliza umeolewa kosa liko wapi ?! Mada nyingine ni za kuchochea chuki baina ya wanajamii.Mkuu mbona unatumia lugha kali sana
Hapa watu wanashare tu mitizamo yao na namna wanavyojisikia
Take it easy
DahWanawake wenye vijielimu mnakera sana, mnatia sumu ndani ya jamii sasa mtu kuuliza umeolewa kosa liko wapi ?! Mada nyingine ni za kuchochea chuki baina ya wanajamii.
Na mimi sina uvumilivu na mafeminist uchwara daily mnasota kutafuta kuolewa afu mnaleta mada ya kuibua chuki manungaiyembe mnakera sana. Mbona wanawake wenzenu wanaokubali nafasi yao kama wanamake, wenye utii, hesma na adabu hatuwatolei lugha kali. LUGHA KALI NI KWA NYIE MALAYA NA NDIO MNASTAHILI MANUNGAIYEMBE badala mlee watoto mko bize mitandaoni kujibizana na wanaume.
Amina, anijalie kauli NJEMA kwa wanawake watiifu wenye maadili wanaokubali nafasi yao kama wanawake, ila nyie malaya, mafeminist ujinga mkafie mbele sina staha na nyie makupo ya shahawa.Dah
Mwenyezi Mungu akujalie kauli njema na moyo wa amani