Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Unakuwa umejitakia tu kuumia. Yaani swali wakuulize wengine kuumia uumie wewe. Jifunze kupokea usichoweza kukibadili.
Sio nimejitakia kuumia ..
Kila unapoenda ndo uulizwe kweli
Eti ooh kwa nn bado haujaolewa .
Do you think it's right ?

Mungu ndo anayetoa baraka hizi.
Sasa Mimi nipo nasubiri wakati wa Bwana halafu unanijia eti ooh wewe endelea kuchagua.

Kuchagua nini kimfano ? yaani ukubali kuolewa haraka kisa upo desperate longing for a hubby ,

Kinachouma ni hayo maswali ambayo unaliuzwa tu out of nowhere , people have to respect others and not otherwise ..
 
Mtu mwenye busara huuliza
Mungu amekubariki ndoa?
Mungu amekubariki watoto?

Mwenye busara hatotoka kujua ni kwa nn huna mtoto wala huna ndoa.
Na ni lazima akuandae vya kutosha kabla ya kuhoji hayo maswali
Well said [emoji1433][emoji1433]
 
Sio nimejitakia kuumia ..
Kila unapoenda ndo uulizwe kweli
Eti ooh kwa nn bado haujaolewa .
Do you think it's right ?

Mungu ndo anayetoa baraka hizi ..
Sasa Mimi nipo nasubiri wakati wa Bwana halafu unanijia eti ooh wewe endelea kuchagua .

Kuchagua nini kimfano ? yaani ukubali kuolewa haraka kisa upo desperate longing for Hubby ,

Kinachouma ni hayo maswali ambayo unaliuzwa tu out of nowhere , people have to respect others and not otherwise ..
Kama huwezi kuwazuia kukuuliza nakushauri uizoee hiyo hali kama unavyozoea hali nyinginezo zenye kukukera. Usijinyime furaha kwa mambo ambayo yapo nje ya uwezo wako.
 
Hiyo kusema hupendi kuulizwa ndio kujinyima raha kwenyewe huko. Wakikuuliza unapungukiwa nini kwa mfano?
Kwa nini waniulize kimfano ?
Maswali mengine yapo personal ..
Swali linalokera ni kwa nini hujaolewa ?
Why ujieleze , wakati anayegawa riziki ni Mungu .
 
Haya mambo uulizwe na watu wako wa karibu ni sawa sio unakutana na mtu ana watoto wake7 kama mama D halafu anakuuliza Rory una watoto wangapi? Unamwambia sina. Anaendelea umeolewa? Unamjibu hapana. Anaongeza tafuta mwanaume wewe uzae.... unazeeka😎

Hahahahaa
Kuna mdada mmoja age mate wangu, aliolewa now anawatoto wawili , tuliishi nae mtaa mmoja ,tukaja tengana baada ya Kila mmoja kwenda vyuo tofauti, tumekuja onana hivi kàribuni ananiuliza hivi unamtoto hata mmoja, nameambia Sina, anajibuu duuuu na haujaolewa umri unaenda tafuta ata mwanaume uzaenae mtoto mmoja.

Yaan nilikosa Cha kumjibu, lakini Mara nyingi, watu dizain hii wanajionaga wameyamaliza maisha, ndoa anayo ,watoto anao. Sasa ninachojuuliza hivi mtu unawezaje mwambia mwenzako hivo huhisi atajiskiaje? Vipi kama labda anatafuta mtoto lakini Hana uwezo wa kushuka labda ujauzito.
 
Hata me huwa syapend hayo maswali, na wengine wanakuuliza mbele ya watu utadhani anafanya matangzo. Woii! Nikitaka ujue nitakujulisha ukiona sjakuambia ujue staki ujue 😎
 
Msijali mtaolewa tu.

Kuolewa tumeolewa na kuoa wameoa

Lakini je, unajua kingine ulichotumwa na muumba wako duniani? Unaijua karama au kipaji chako ulichopewa na Mungu uje ukifanyie kazi duniani?

Au unafikiri kuishi na mtu na kufanya mapenzi ndio kipaji chako? Na kama unadhani hiyo ndio karama, talanta au kipaji basi hutofautiani na kuku, mbwa, nyau, mbuzi, ng'ombe maana wao pia wanafanya hicho hicho na wanazaa watoto kama wewe

Kwa binadamu ndoa sio jukumu au hitaji la pekee linalokamilisha umwanadamu wake japo ni moja ya mahitaji kwa wanaohitaji
 
Kuolewa tumeolewa na kuoa wameoa

Lakini je, unajua kingine ulichotumwa na muumba wako duniani? Unaijua karama au kipaji chako ulichopewa na Mungu uje ukifanyie kazi duniani?

Au unafikiri kuishi na mtu na kufanya mapenzi ndio kipaji chako? Na kama unadhani hiyo ndio karama, talanta au kipaji basi hutofautiani na kuku, mbwa, nyau, mbuzi, ng'ombe maana wao pia wanafanya hicho hicho na wanazaa watoto kama wewe

Kwa binadamu ndoa sio jukumu au hitaji la pekee linalokamilisha umwanadamu wake japo ni moja ya mahitaji kwa wanaohitaji
Ni kweli kabisa,kwa mimi mkristo naamini kabisa kuna baadhi ya wito,au jambo ulilotumwa nalo duniani hautokaa ulikamilishe/ukamilishe vyema, mpaka ukutane na mwenza alieumbwa kukusaidia.

Kwa wanaume Biblia inatuambia "apatae mke apata kitu chema,nae apata KIBALI toka Bwana (Mungu)" inamaana usipokua na mke sahihi,katika huo wito wako kuna sehemu utakwama,kwakua huna kibali kutoka kwa aliekupa huo wito.

Hivyo kama ulivyosema ni vema mtu atambue wito wake,kabla hajaoa au kuolewa.Lakini pia suala la kuoa au kuolewa ni muhimu sana,ndio maana Mungu aliumba ndoa kama taasisi ya kwanza kabisa duniani baina ya mme na mke.
 
Ni kweli kabisa,kwa mimi mkristo naamini kabisa kuna baadhi ya wito,au jambo ulilotumwa nalo duniani hautokaa ulikamilishe/ukamilishe vyema, mpaka ukutane na mwenza alieumbwa kukusaidia.

Kwa wanaume Biblia inatuambia "apatae mke apata kitu chema,nae apata KIBALI toka Bwana (Mungu)" inamaana usipokua na mke sahihi,katika huo wito wako kuna sehemu utakwama,kwakua huna kibali kutoka kwa aliekupa huo wito.

Hivyo kama ulivyosema ni vema mtu atambue wito wake,kabla hajaoa au kuolewa.Lakini pia suala la kuoa au kuolewa ni muhimu sana,ndio maana Mungu aliumba ndoa kama taasisi ya kwanza kabisa duniani baina ya mme na mke.

Hakuna lazima wala kulazimishwa wala sheria au shurti kwenye kuoa na kuolewa ANKO JEI.

Ila zinaa ndio imekatazwa. Kama unaweza kuishi bila kuoa au kuolewa na ukaacha kufanya zinaa Mungu anapendezwa na wewe sawasawa na wale waliooa au kuoleawa ili wasiingie kwenye zinaa

Sijui unaelewa🤔🤔🤔

1Wakorinto 7: 1 - 2
Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke. Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe
 
Hakuna lazima wala kulazimishwa wala sheria au shurti kwenye kuoa na kuolewa ANKO JEI.

Ila zinaa ndio imekatazwa. Kama unaweza kuishi bila kuoa au kuolewa na ukaacha kufanya zinaa Mungu anapendezwa na wewe sawasawa na wale waliooa au kuoleawa ili wasiingie kwenye zinaa

Sijui unaelewa[emoji848][emoji848][emoji848]

1Wakorinto 7: 1 - 2
Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke. Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe
Tukiongelea ukweli kabisa Mama D,ni watu wangapi unawajua ambao hawajaoa au kuolewa na hawazini?asilimia 99 watu wanazini,na bado kuoa na kuolewa hawataki.

So muda mwingine mtu anaweza kukuuliza unaoa/unaolewa lini,sio kama anataka kujua tarehe,bali anakupa indirect message kua ni bora uwe ndoani kuliko maisha hayo ya kuzini.(japo sio vema kuuliza uliza watu hivyo)

Kama mtu anaweza kukaa bila kuzini its okay,but kama huwezi oa au olewa.
 
Tukiongelea ukweli kabisa Mama D,ni watu wangapi unawajua ambao hawajaoa au kuolewa na hawazini?asilimia 99 watu wanazini,na bado kuoa na kuolewa hawataki.

So muda mwingine mtu anaweza kukuuliza unaoa/unaolewa lini,sio kama anataka kujua tarehe,bali anakupa indirect message kua ni bora uwe ndoani kuliko maisha hayo ya kuzini.(japo sio vema kuuliza uliza watu hivyo)

Kama mtu anaweza kukaa bila kuzini its okay,but kama huwezi oa au olewa.

Ukweli ni kuishi kama tunavyoongozwa na imani zetu na Mungu aliye hai

Hiyo habari ya aslimia 99 kuzini sababu hawataki kuoa na kuolewa usisahau alimia ile 99 wanaozini usiku na mchana huku wakiwa ndani ya maagano ya ndoa. Tena wengine wanazini hata kusikotakiwa na visivyotakiwa

Swala la kuoa na kuolewa; na swala la zinaa ni mambo mawili tofauti kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndo utaonekana una stress

Kuna mtu alimuuliza dada flani una watoto wangapi? Akamjibu sina.
Akendelea kumuuliza hadi leo huna mtoto? Tafuta mwanaume yoyote uzae nae

Yule dada kumbe kakwazika, na yeye akamuuliza wazazi wako wapo wapi? Akamjibu sina mzazi walikufa nikiwa mdogo. Akamwambia tafuta mtu yoyote awe mzazi wako, unaishije bila baba wala mama?
 
Kuna mtu alimuuliza dada flani una watoto wangapi? Akamjibu sina.
Akendelea kumuuliza hadi leo huna mtoto? Tafuta mwanaume yoyote uzae nae

Yule dada kumbe kakwazika, na yeye akamuuliza wazazi wako wapo wapi? Akamjibu sina mzazi walikufa nikiwa mdogo. Akamwambia tafuta mtu yoyote awe mzazi wako, unaishije bila baba wala mama?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tit for tat

Malipo ni hapa hapa duniani[emoji1787]
 
Back
Top Bottom