Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Haya maswali binafsi huwa nayachukia sana japo kweli nimeolewa na nina watoto. Ni maswali too personal kumuuliza mtu mzima mwenye akili zake maamuzi yake. Ila bahati mbaya ni maswali ambayo watu wengi huwa wanapenda kuuliza bila hata kuwaza hisia za wale wanaowauliza.
Tena heri haya maswali yatoke kwa mzazi au mtu wa karibu kuliko ilivyo kawaida kwa sasa.

Watu tujue kuwa single au kuwa kwenye mahusiano ni hali tuu kama ilivyo kuwa na kitu flani au kukosa kitu kingine kwenye maisha
Sioni kama maswli hay yanakera isipokuwa yanakera kwa sababu ya kutopenda ukweli hivi ukisema nimeolewa, nimeoa nina watoto shida iko wapi . Maana hay ni maswali yakumdairect mtu afanye nini na ndiyo maana mtu ukiongea naye na hupendi akusumbue kwa kuwa umemuona ana dalili za kukutaka kumwambi umeolewa, umeoa au unawatoto haiumizi kichwa.

Waanaume akikutongoza ukakataa na sababu ikawa umeolewa hataacha kukutongoza kwa sababu ukimjib mwanaume hivo wengi wetu tunajua ww ni mwwpesi sana hujielwi umependa lkn unatoa taarifa tu kuwa niwe makini ww ni muke ya mtu.

Na wanawake wengi wapendao jibu hilo wanaliwa sana.
 
Wengi wanauliza ili wajue umefikia wapi kwenye maisha...
Yes,wengi wao wanakuwa kwenye masumbufu ya ndoa,so wanataka kujua kama na wewe umeuingia mkenge ili mlingane au bado,,,
Yaani kifo cha wengi kiwe harusi...
 
Sioni kama maswli hay yanakera isipokuwa yanakera kwa sababu ya kutopenda ukweli hivi ukisema nimeolewa, nimeoa nina watoto shida iko wapi . Maana hay ni maswali yakumdairect mtu afanye nini na ndiyo maana mtu ukiongea naye na hupendi akusumbue kwa kuwa umemuona ana dalili za kukutaka kumwambi umeolewa, umeoa au unawatoto haiumizi kichwa

Waanaume akikutongoza ukakataa na sababu ikawa umeolewa hataacha kukutongoza kwa sababu ukimjib mwanaume hivo wengi wetu tunajua ww ni mwwpesi sana hujielwi umependa lkn unatoa taarifa tu kuwa niwe makini ww ni muke ya mtu

Na wanawake wengi wapendao jibu hilo wanaliwa sana

Na haya maswali yanaulizwa zaidi na wanawake na wanaulizwa ni wanawake pia

Hayo ya wanaume kuuliza wanawake au wanawake kuuliza wanaume hata hayana maudhi
 
Hili swali linaumiza sana
Sikuwahi fikiria kila nitakapopita nitaulizwa ..
Mungu atujalie ..
 
Saiv hata ukiwa na watoto nongwa.Ni wa baba huyohuyo? Ulizaa kawaida au operation?
Swali zuri na la mantiki si Tu kwa "ke" ata kwa "me"

Kwa kawaida mtu hueshimu na kumpenda alie shiriki nae kupata mtoto.

Sasa jitu limezalishwa/zalisha watu 2+ na hawakuoa/ao kuolewa ujue mahusika anamapungufu yamewashinda watu 2+ wewe Nani uyaweze?
 
Siumii hata..Ila nataka tu na mimi tupange unitunuku🤔🙌🙌

Nimtunuku baba yako na wewe pia!???

Wanatunukiwa waliojaaliwa na wenye kujali buana, sio wewe

We bado mtoto sana kwenye mrengo huo
 
Swali zuri na la mantiki si Tu kwa "ke" ata kwa "me"

Kwa kawaida mtu hueshimu na kumpenda alie shiriki nae kupata mtoto.

Sasa jitu limezalishwa/zalisha watu 2+ na hawakuoa/ao kuolewa ujue mahusika anamapungufu yamewashinda watu 2+ wewe Nani uyaweze?
Anayekuuliza mwanamke mwenzio sasa
 
Back
Top Bottom