Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,972
- 5,170
Nataka kujua hahahaNaulizwa sana kuhusu kuolewa! Utaolewa lini? Jamani siku ya harusi si mtaskia aargh umbea tu[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka kujua hahahaNaulizwa sana kuhusu kuolewa! Utaolewa lini? Jamani siku ya harusi si mtaskia aargh umbea tu[emoji3]
Unless ni maisha ya kuishi bila mahusiano otherwise moral authority lazima uulizweHapa hapa Duniani maisha mbona yanaendelea.
na level ya matatizo au furaha yako...Wengi wanauliza ili wajue umefikia wapi kwenye maisha...
Acha utopolo hayo maswali ni kwa faida yako pia ikiwemo aina gani ya status upeweHaya mambo uulizwe na watu wako wa karibu ni sawa sio unakutana na mtu ana watoto wake7 kama mama D halafu anakuuliza Rory una watoto wangapi? Unamwambia sina. Anaendelea umeolewa? Unamjibu hapana. Anaongeza tafuta mwanaume wewe uzae.... unazeeka[emoji41]
Hahahahaa
Majibu yako ndio yanaleta aina hiyo ya ushauriHaya mambo uulizwe na watu wako wa karibu ni sawa sio unakutana na mtu ana watoto wake7 kama mama D halafu anakuuliza Rory una watoto wangapi? Unamwambia sina. Anaendelea umeolewa? Unamjibu hapana. Anaongeza tafuta mwanaume wewe uzae.... unazeeka[emoji41]
Hahahahaa
unajua mtu akiona mfano una huzuni kupitiliza then akikuuliza umeolewa au umeoa anajua hayo ni yako ya maisha labda uamue mwenyewe kujitoa matatizoni.Ili iweje sass
Sasa pia huwezi jua mtu Ana kuuliza Kama umeoa au umeolewa kwa sababu labda anataka kuanzisha mahusiano au kukutongoza ili aepushe migogoro ndo Mana anakuuliza ili usione kama anakuingilia katika ndoa yakoHaya maswali binafsi huwa nayachukia sana japo kweli nimeolewa na nina watoto. Ni maswali too personal kumuuliza mtu mzima mwenye akili zake maamuzi yake. Ila bahati mbaya ni maswali ambayo watu wengi huwa wanapenda kuuliza bila hata kuwaza hisia za wale wanaowauliza.
Tena heri haya maswali yatoke kwa mzazi au mtu wa karibu kuliko ilivyo kawaida kwa sasa.
Watu tujue kuwa single au kuwa kwenye mahusiano ni hali tuu kama ilivyo kuwa na kitu flani au kukosa kitu kingine kwenye maisha
Mtu anaweza kuwa single hajawa tayari kuingia kwenye jukumu la ndoa, sio sababu amekosa mtu wa kuoana nae kama wengi wanavyodhani
Kuna wakati mtu anakua single lakini anatamani sana kuwa ndani ya mahusiano ila anashindwa sababu hajampata mwenye sifa anazotaka
Wakati mwingine mtu yuko single sababu hana uwezo wa kuwa na mahusiano labda ana mapungu aliyozaliwa nayonayo
Na pia mtu anaweza kuwa single sababu alishapitia mahusiano yakamvuruga na kumpa maumivu makubwa sana, kwa hiyo kwake kuwa peke yake ndio amani
Ndoa na familia ni jambo la heri kwa wanadamu lakini pia sio amri useme lazima kila mtu aoe/aolewe; na Kuwa ndani ya ndoa au kuwa na watoto sio ujanja na kukosa iwe ujinga! Hata kwenye vitabu vitakatifu kuna watu ambao hawakuwahi kuoa/kuolewa, kuna watu walioolewa/walioowa wasipate watoto, na wapo watu walioowa/kuolewa katika umri mkubwa pia.
Yote juu ya yote, mipango ya Mungu ni sahihi na mawazo yake ni mawazo sahihi kwetu.
Hawa watarajiwa hapa wanatukumbusha kumshukuru Mungu kwa maisha tuliyo nayo, kumwomba Mungu afanye kwa wakati wake
View attachment 1695876
Ile uliza inayolenga kwenye kuanzisha mahusiano hata haina maudhi......Sasa pia huwezi jua mtu Ana kuuliza Kama umeoa au umeolewa kwa sababu labda anataka kuanzisha mahusiano au kukutongoza ili aepushe migogoro ndo Mana anakuuliza ili usione kama anakuingilia katika ndoa yako
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
@mama D30+ lazima ukasirike na roho iiume kwa maswali madogo, ila ukiwa 25- huwez kasirika,utajibu na kujibika
Mama D tangu ileeeee juzi kati yaani bado umeudhika tu hadi leo!??? Hii ni hatare na roboIle uliza inayolenga kwenye kuanzisha mahusiano hata haina maudhi......
Maudhi yapo kwa kina wale wanakuuliza tuu bila sababu, na kuendelea kuuliza na mwisho wanakupangia
Sasa kitu hakinipi huzuni wala stress kwanini kiwatese wao?
😂😂😂😂 Chuma Cha tatu...!!! Hongera aiseeShukrani sana, katikati ya mwaka huu naongeza chuma cha tatu.
Wanaume tunasifiwa kuoa sana na si kuacha.
Acheni hizo bana mnatufanya tujione wazee kwamba tumepitwa na umri wa kuolewa kumbe ndiyo kwanza binti mbichi mwenye miaka 34 tu aargh😀Nataka kujua hahaha
Mama D una watoto wangapi[emoji3][emoji3][emoji3]Sio lazima kama ni maamuzi yako
Na inaudhi kama mtu anakushinikiza kwa kitu usichokiweza kukipata