Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Kwanini nife lakini 50thebe 😅😅😅😅
Maswali uliyoulizwa ni maswali ya commitment (kukata shauri). Ulivyochambua kwamba yanakukera ni busara tupu!

Lakini wanaouliza haya maswali wanajikinga wasipate dharuba maana ima wamekata shauri ama wako mbioni kukata shauri juu yako. Hivyo kuuliza ni kupata mwelekeo kuhusu commitment yao kwako.

Hata hivyo nakuelewa mtazamo wako...uko sahihi! Pia usisite kuwajulisha kuwa hizi hatua kwako ushahitimu.
 
Mpaka mtu anakuuliza hayo maswali amekuona boya flani hivii..
Haya maswali binafsi huwa nayachukia sana japo kweli nimeolewa na nina watoto. Ni maswali too personal kumuuliza mtu mzima mwenye akili zake maamuzi yake. Ila bahati mbaya ni maswali ambayo watu wengi huwa wanapenda kuuliza bila hata kuwaza hisia za wale wanaowauliza.
Tena heri haya maswali yatoke kwa mzazi au mtu wa karibu kuliko ilivyo kawaida kwa sasa.

Watu tujue kuwa single au kuwa kwenye mahusiano ni hali tuu kama ilivyo kuwa na kitu flani au kukosa kitu kingine kwenye maisha

Mtu anaweza kuwa single hajawa tayari kuingia kwenye jukumu la ndoa, sio sababu amekosa mtu wa kuoana nae kama wengi wanavyodhani

Kuna wakati mtu anakua single lakini anatamani sana kuwa ndani ya mahusiano ila anashindwa sababu hajampata mwenye sifa anazotaka

Wakati mwingine mtu yuko single sababu hana uwezo wa kuwa na mahusiano labda ana mapungu aliyozaliwa nayonayo

Na pia mtu anaweza kuwa single sababu alishapitia mahusiano yakamvuruga na kumpa maumivu makubwa sana, kwa hiyo kwake kuwa peke yake ndio amani

Ndoa na familia ni jambo la heri kwa wanadamu lakini pia sio amri useme lazima kila mtu aoe/aolewe; na Kuwa ndani ya ndoa au kuwa na watoto sio ujanja na kukosa iwe ujinga! Hata kwenye vitabu vitakatifu kuna watu ambao hawakuwahi kuoa/kuolewa, kuna watu walioolewa/walioowa wasipate watoto, na wapo watu walioowa/kuolewa katika umri mkubwa pia.

Yote juu ya yote, mipango ya Mungu ni sahihi na mawazo yake ni mawazo sahihi kwetu.
Hawa watarajiwa hapa wanatukumbusha kumshukuru Mungu kwa maisha tuliyo nayo, kumwomba Mungu afanye kwa wakati wake

View attachment 1695876
 
Haya maswali binafsi huwa nayachukia sana japo kweli nimeolewa na nina watoto. Ni maswali too personal kumuuliza mtu mzima mwenye akili zake maamuzi yake. Ila bahati mbaya ni maswali ambayo watu wengi huwa wanapenda kuuliza bila hata kuwaza hisia za wale wanaowauliza.
Tena heri haya maswali yatoke kwa mzazi au mtu wa karibu kuliko ilivyo kawaida kwa sasa.

Watu tujue kuwa single au kuwa kwenye mahusiano ni hali tuu kama ilivyo kuwa na kitu flani au kukosa kitu kingine kwenye maisha

Mtu anaweza kuwa single hajawa tayari kuingia kwenye jukumu la ndoa, sio sababu amekosa mtu wa kuoana nae kama wengi wanavyodhani

Kuna wakati mtu anakua single lakini anatamani sana kuwa ndani ya mahusiano ila anashindwa sababu hajampata mwenye sifa anazotaka

Wakati mwingine mtu yuko single sababu hana uwezo wa kuwa na mahusiano labda ana mapungu aliyozaliwa nayonayo

Na pia mtu anaweza kuwa single sababu alishapitia mahusiano yakamvuruga na kumpa maumivu makubwa sana, kwa hiyo kwake kuwa peke yake ndio amani

Ndoa na familia ni jambo la heri kwa wanadamu lakini pia sio amri useme lazima kila mtu aoe/aolewe; na Kuwa ndani ya ndoa au kuwa na watoto sio ujanja na kukosa iwe ujinga! Hata kwenye vitabu vitakatifu kuna watu ambao hawakuwahi kuoa/kuolewa, kuna watu walioolewa/walioowa wasipate watoto, na wapo watu walioowa/kuolewa katika umri mkubwa pia.

Yote juu ya yote, mipango ya Mungu ni sahihi na mawazo yake ni mawazo sahihi kwetu.
Hawa watarajiwa hapa wanatukumbusha kumshukuru Mungu kwa maisha tuliyo nayo, kumwomba Mungu afanye kwa wakati wake

View attachment 1695876
Kuchukia ni UDHAIFU,jibu huenda utapata uponyaji wa tatizo lako au DHARAU(kataa kujibu) huenda utabaki na tatizo lako mpk kufa.


NB: usidharau lengo LA muulizaji ukajijibu mwenyewe na kuwa na hasira.hyo pia ni too personal kuingilia lengo LA MTU na kumshtak bila ridhaaa ake .
 
Mara nyingi wanaoulizaga hata sio wa kutoa suluhu.....
TATIZO UNAJIJIBU WEWE,SWALI USILOULIZA.


wewe ukijibi uliloulizwa tu,inatosha usiende mbali mpk kumchambua muulizaji na kujivika lengo lake,ni bora useme "SIPENDI KUONGELEA LOVES LIVES" kuliko unavyofanya
 
Haya mambo uulizwe na watu wako wa karibu ni sawa sio unakutana na mtu ana watoto wake7 kama mama D halafu anakuuliza Rory una watoto wangapi? Unamwambia sina. Anaendelea umeolewa? Unamjibu hapana. Anaongeza tafuta mwanaume wewe uzae.... unazeeka[emoji41]

Hahahahaa
Unamwambia "niombeee nipate Mme mwema" imeisha...
 
Maswali ya kawaida tu

Kama umeolewa unasema kweli na kama bado unasema tu bado na kama ni tasa unasema tu. sioni ugumu wowote hapo mama ake D .

Yaani Simple and clear
Haaaah weng michepuko wa waume za watu,sasa inawauma kuulizwa hvyo wanadhania wanajulikana wanachepuka na sisi,kumbe n siri ..
 
Mimi wamenichosha mpaka inakera, kila siku ni unaolewa lini? Ina maana hujapata hata mchumba? Kama unaona hapaeleweki si uzae hata mwanao ulee,

Sasa kinachoshangaza hujawahi omba ushauri kwao jinsi ya kupeleka maisha yako, lakini ndiyo vinara wa kukupangia, ukirudi nyumbani huko mkoani ndiyo utajuta, jamani watupumzishe, maisha yana mipango yake hatupaswi kukurupuka tu..!
30+ lazima ukasirike na roho iiume kwa maswali madogo, ila ukiwa 25- huwez kasirika,utajibu na kujibika
 
Maswali uliyoulizwa ni maswali ya commitment (kukata shauri). Ulivyochambua kwamba yanakukera ni busara tupu!

Lakini wanaouliza haya maswali wanajikinga wasipate dharuba maana ima wamekata shauri ama wako mbioni kukata shauri juu yako. Hivyo kuuliza ni kupata mwelekeo kuhusu commitment yao kwako.

Hata hivyo nakuelewa mtazamo wako...uko sahihi! Pia usisite kuwajulisha kuwa hizi hatua kwako ushahitimu.
Kwa kweli kwingi nimehitimu
 
Utakuta mtu anakuuliza unafanya kazi gani? Ukishajua itakusaidia nn au unataka uwe unanipiga mizinga?
Umeoa ukishajua itakusaidia nn?
mama D kama na maswali murua kama haya yanakuudhi, basi utakuwa unaudhiwa na mambo mengi sana hapa duniani. Pole sana, lakini.
 
Mimi wamenichosha mpaka inakera, kila siku ni unaolewa lini? Ina maana hujapata hata mchumba? Kama unaona hapaeleweki si uzae hata mwanao ulee,

Sasa kinachoshangaza hujawahi omba ushauri kwao jinsi ya kupeleka maisha yako, lakini ndiyo vinara wa kukupangia, ukirudi nyumbani huko mkoani ndiyo utajuta, jamani watupumzishe, maisha yana mipango yake hatupaswi kukurupuka tu..!
[emoji3][emoji3]ukiamua kuzaa mwisho wanakusema tena single mother, Africa tunajijua wenyewe
 
Aiseee bora muoe hawa kina dada wa humu jf maana umri umeenda na wameshatulia

Hivo vitoto vya 20 to 25 hatari tupu, vinabambiwa kwenye club, vinashikwa/vinabinywa maziwa mpaka huruma, vinabambiwa kupita kiasi
 
mama D tumekutana mtaani nikakuelewa na mimi sitaki kutongoza mke wa mtu, nikikuuliza umeolewa nitakuwa nimekosea!? Nikikuuliza una watoto wangapi ili nijue ikitokea umenikubali, hao watoto watakuwa concern yangu nalo ni kosa!?

Nadhani shida ninayoiona hapo ni kukuuliza utazaa lini au utaolewa lini.
 
Back
Top Bottom