Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Umeolewa?

Nikikuuliza hivyo labda ni vile nataka nijue status yako kabla nikupige sound nisije kutongoza mke wa mtu.
 
Kwani huu utamaduni wa kusubiri posa kwa waafrika umetoka wapi ? Tamaduni nyingine za ajabu sana, lakini swali lingine ukiwa unasubiria hiyo posa una kuwa unachachua au huchachui ? Kama jibu ni la kipengele cha kwanza basi kazi unayo.

Lakini, pili kwani kuna ubaya gani ukiulizwa maswali hayo kwamba umeoa au umeolewa au una wake wangapi au watoto wangapi ? Kuoa mbona jambo zuri sana na kuwa na watoto kadhalika kinyume cha viwili hivyo ni makadadirio tu kisha subira ifate.

Nipo ....
 
Dunia inabadilika....watu hatutaki kubadilika....bado tunafrika za kitambo.[emoji6][emoji854]
Dunia inabadilikaje mintarafu jambo hili na fikra za kitambo zilikuwaje dhidi ya hizi za sasa ?
 
Transparency ni nzuri ndio.

Ila hiyo transparency ni kwa nani?
Hivi Mama D nikikuuliza jina lako nani, hilo si jambo personal!??? Halafu, kama hufeel kuulizwa kitu by then, unasema tu ^pass^ kama zile brain challenges. Inaeleweka. Maswali utaulizwa tu, utake usitake. Ndiyo nature ya mwanadamu, no way.
 
Mimi wamenichosha mpaka inakera, kila siku ni unaolewa lini? Ina maana hujapata hata mchumba? Kama unaona hapaeleweki si uzae hata mwanao ulee,

Sasa kinachoshangaza hujawahi omba ushauri kwao jinsi ya kupeleka maisha yako, lakini ndiyo vinara wa kukupangia, ukirudi nyumbani huko mkoani ndiyo utajuta, jamani watupumzishe, maisha yana mipango yake hatupaswi kukurupuka tu..!
Ukizaa hivyo wanavyoshauri kibao kinabadilika unaitwa msimbe umejizalia bila ndoa[emoji3]

Binadamu ni kiumbe mtata sana
 
Acheni kudanga oleweni muone kama hayo maswali yanaudhi.mbona ya kawaida sana....? Sasa ndoa ni ya kuficha nayo.....? Acheni umalaya tulieni na ndoa zenu
 
Kwani huu utamaduni wa kusubiri posa kwa waafrika umetoka wapi ? Tamaduni nyingine za ajabu sana, lakini swali lingine ukiwa unasubiria hiyo posa una kuwa unachachua au huchachui ? Kama jibu ni la kipengele cha kwanza basi kazi unayo.

Lakini, pili kwani kuna ubaya gani ukiulizwa maswali hayo kwamba umeoa au umeolewa au una wake wangapi au watoto wangapi ? Kuoa mbona jambo zuri sana na kuwa na watoto kadhalika kinyume cha viwili hivyo ni makadadirio tu kisha subira ifate.

Nipo ....
Una wake na watoto wangapi Jurjani?
 
Ni Maswali ambayo sijawahi uliza, maswali yangu ni; Unajishughulisha na nini? Umejenga? Nyumba ngapi? Ushanunua usafiri?
 
tumeachana na mke swali linalofatia hapo ni kuulizwa watoto wako wapi??!!wako na wewe au na mamaake?!
 
Ni Maswali ambayo sijawahi uliza, maswali yangu ni; Unajishughulisha na nini? Umejenga? Nyumba ngapi? Ushanunua usafiri?
Sasa hayo maswali ni magumu kuliko hata ya familia.
 
Sasa hayo maswali ni magumu kuliko hata ya familia.

[emoji23][emoji1], basi ndo maswali yangu, sijawahi kuuliza kuhusu ndoa ama watoto.Hasa hili la unajishughulisha na nini? Hata tukipotezana kwa miaka tukikutana ndo swali la kwanza.
 
Haya maswali binafsi huwa nayachukia sana japo kweli nimeolewa na nina watoto. Ni maswali too personal kumuuliza mtu mzima mwenye akili zake maamuzi yake. Ila bahati mbaya ni maswali ambayo watu wengi huwa wanapenda kuuliza bila hata kuwaza hisia za wale wanaowauliza.
Tena heri haya maswali yatoke kwa mzazi au mtu wa karibu kuliko ilivyo kawaida kwa sasa.
Pole sana. Huwa hatuulizi kwa nia mbaya bali ni kwa nia njema tu. Kwa sababu huenda anayekuuliza hivyo unakuta amependa /amevutiwa na wewe. Hivyo unakuta anatamani uwe mtu wake so ni lazima aulize ili ajue hali yako ya mahusiano na hali za uzao wako. Akishajua kwamba jimbo liko wazi basi atapambana ili uwe wake.
Watu tujue kuwa single au kuwa kwenye mahusiano ni hali tuu kama ilivyo kuwa na kitu flani au kukosa kitu kingine kwenye maisha

Mtu anaweza kuwa single hajawa tayari kuingia kwenye jukumu la ndoa, sio sababu amekosa mtu wa kuoana nae kama wengi wanavyodhani

Kuna wakati mtu anakua single lakini anatamani sana kuwa ndani ya mahusiano ila anashindwa sababu hajampata mwenye sifa anazotaka
Sikia Mama D katika maisha haya ya hapa Duniani huwezi mpata mwenye vigezo vyote kama unavyohitaji iwe kwa asilimia 100 kwa sababu sisi ni binadamu hivyo hatujakamilika. Hivyo hata ukimpata mwenye vigezo vyote kuna sehemu tu atakuwa anapwaya. Tupunguze standards nyingi.
Wakati mwingine mtu yuko single sababu hana uwezo wa kuwa na mahusiano labda ana mapungu aliyozaliwa nayonayo

Na pia mtu anaweza kuwa single sababu alishapitia mahusiano yakamvuruga na kumpa maumivu makubwa sana, kwa hiyo kwake kuwa peke yake ndio amani

Ndoa na familia ni jambo la heri kwa wanadamu lakini pia sio amri useme lazima kila mtu aoe/aolewe; na Kuwa ndani ya ndoa au kuwa na watoto sio ujanja na kukosa iwe ujinga! Hata kwenye vitabu vitakatifu kuna watu ambao hawakuwahi kuoa/kuolewa, kuna watu walioolewa/walioowa wasipate watoto, na wapo watu walioowa/kuolewa katika umri mkubwa pia.

Yote juu ya yote, mipango ya Mungu ni sahihi na mawazo yake ni mawazo sahihi kwetu.
Hawa watarajiwa hapa wanatukumbusha kumshukuru Mungu kwa maisha tuliyo nayo, kumwomba Mungu afanye kwa wakati wake

View attachment 1695876
 
Acheni kudanga oleweni muone kama hayo maswali yanaudhi.mbona ya kawaida sana....? Sasa ndoa ni ya kuficha nayo.....? Acheni umalaya tulieni na ndoa zenu
Anayedanga ni nani?
 
Kuna hili la "Tafuta mwanaume wa maana akuoe" linachosha sana. kwenye jamii zetu mtu usopoolewa/ usipozaa mtihani sana
 
Hii inanihusu
Sijui wanafikiri sisi tunapenda hii hali?
Haya mambo uulizwe na watu wako wa karibu ni sawa sio unakutana na mtu ana watoto wake7 kama mama D halafu anakuuliza Rory una watoto wangapi? Unamwambia sina. Anaendelea umeolewa? Unamjibu hapana. Anaongeza tafuta mwanaume wewe uzae.... unazeeka[emoji41]

Hahahahaa
 
Back
Top Bottom