April26
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 1,405
- 2,147
Kabisa kabisa.Watu wanapenda kuulizwa vile vitu wanavyotaka. Nawashauri tu kabla ya maongezi basi wajiwekee perimeters za mazungumzo yao. La sivyo akina Mama D na the like waendelee kuwa wavumilivu.
Ukitaka kumuelewa mtu usichague maneno ya kusikia toka kwake mpe uhuyu aongee kila anavyoweza.