Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Mimi wamenichosha mpaka inakera, kila siku ni unaolewa lini? Ina maana hujapata hata mchumba? Kama unaona hapaeleweki si uzae hata mwanao ulee,

Sasa kinachoshangaza hujawahi omba ushauri kwao jinsi ya kupeleka maisha yako, lakini ndiyo vinara wa kukupangia, ukirudi nyumbani huko mkoani ndiyo utajuta, jamani watupumzishe, maisha yana mipango yake hatupaswi kukurupuka tu..!
 
Mimi mtu akiniuliza hayo maswali naonaga uelewa mdogo pia people wanaona marriage ni achievement hata ka hawafurahii hzo ndoa, pia Kuna watu kazi yao huwa ni kuuliza makabila ya watu tu sijui hutaka kutambika. In short our society bado haijafikia level ya maturity flani
 
Kwa hiyo umeamua kunichana live baada ya juzi kukuta Uzi fulani umetoa mawazo mazuri nika appreciate na moja ya swali niliuliza kama umeolewa? Ila ulinijibu umeolewa tena kwa uzuri tu. Sasa unaposema hayo maswali hupendi napata hofu kuwa kumbe ulipotezea tu ungeweza nitukana. Kwa nini uko very emotional kiasi hicho mbona maswali ya kawaida tu.
April26 hivi nilikujibu nini? Hata sikumbuki haki🤣🤣🤣🤣🤣 Ila ninachomaanisha hapo ni tofauti.
Naongelea naongelea wale wanajamii wanaouliza hayo maswali kwa shinikizo kwamba lazima uwe hivyo.
Wao wanaona sababu wa wameolewa au kuoa au kuwa na watoto lazima na wewe uwe hivyo
 
Mimi wamenichosha mpaka inakera, kila siku ni unaolewa lini? Ina maana hujapata hata mchumba? Kama unaona hapaeleweki si uzae hata mwanao ulee,

Sasa kinachoshangaza hujawahi omba ushauri kwao jinsi ya kupeleka maisha yako, lakini ndiyo vinara wa kukupangia, ukirudi nyumbani huko mkoani ndiyo utajuta, jamani watupumzishe, maisha yana mipango yake hatupaswi kukurupuka tu..!
Unaishi wapi ? Hujaolewa tu, si uzae hata mtoto!! Unafanya kazi gani?
Kmkmkmkmk
 
Mimi wamenichosha mpaka inakera, kila siku ni unaolewa lini? Ina maana hujapata hata mchumba? Kama unaona hapaeleweki si uzae hata mwanao ulee,

Sasa kinachoshangaza hujawahi omba ushauri kwao jinsi ya kupeleka maisha yako, lakini ndiyo vinara wa kukupangia, ukirudi nyumbani huko mkoani ndiyo utajuta, jamani watupumzishe, maisha yana mipango yake hatupaswi kukurupuka tu..!
Haya maswali sio💣
 
Mimi wamenichosha mpaka inakera, kila siku ni unaolewa lini? Ina maana hujapata hata mchumba? Kama unaona hapaeleweki si uzae hata mwanao ulee,

Sasa kinachoshangaza hujawahi omba ushauri kwao jinsi ya kupeleka maisha yako, lakini ndiyo vinara wa kukupangia, ukirudi nyumbani huko mkoani ndiyo utajuta, jamani watupumzishe, maisha yana mipango yake hatupaswi kukurupuka tu..!
Kumbe kushauriwa mpaka uombe ushauri!??? Basi acheni unafiki wa kuishauri serikali deile as if JPM kawaombeni ushauri. But, truth be told, nikiona unahitaji ushauri, wala singoji uniombe, maana pengine hujui hata linalokusibu, let alone solution husika. Pole sana lakini.


NB: Watu wanataka majibu, jibuni tu aiseee ndiyo maisha
 
April26 hivi nilikujibu nini? Hata sikumbuki haki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila ninachomaanisha hapo ni tofauti.
Naongelea naongelea wale wanajamii wanaouliza hayo maswali kwa shinikizo kwamba lazima uwe hivyo.
Wao wanaona sababu wa wameolewa au kuoa au kuwa na watoto lazima na wewe uwe hivyo
Mama D hukujibu vibaya ulijibu vizuri tu. Ndo nimestuka ulivosema hupendi kuulizwa aina hiyo ya maswali. Sema nimekuelewa sana hakuna shida.
 
Mimi mtu akiniuliza hayo maswali naonaga uelewa mdogo pia people wanaona marriage ni achievement hata ka hawafurahii hzo ndoa, pia Kuna watu kazi yao huwa ni kuuliza makabila ya watu tu sijui hutaka kutambika. In short our society bado haijafikia level ya maturity flani
Umenichekesha sana cariha Hivi wewe ni kabila gani?[emoji3]
 
Kumbe kushauriwa mpaka uombe ushauri!??? Basi acheni unafiki wa kuishauri serikali deile as if JPM kawaombeni ushauri. But, truth be told, nikiona unahitaji ushauri, wala singoji uniombe, maana pengine hujui hata linalokusibu, let alone solution husika. Pole sana lakini.
Jasmoni Tegga sio kila mtu anaweza kukuongelea personal life yako. Ingekua wazazi au watu wa karibu mbona powa tuu
Sasa unaniluza nimeolewa? Nina mtoto? Halafu vyote nakujibu hapana.... unaendelea zaa wewe, unazeeka!
Unataka nizae bila mipango?
 
Mimi mtu akiniuliza hayo maswali naonaga uelewa mdogo pia people wanaona marriage ni achievement hata ka hawafurahii hzo ndoa, pia Kuna watu kazi yao huwa ni kuuliza makabila ya watu tu sijui hutaka kutambika. In short our society bado haijafikia level ya maturity flani
Kweli kabisaa, kuna maswali ukimuuliza mtu hayana maana wala faida wala ustaarabu
 
Jasmoni Tegga sio kila mtu anaweza kukuongelea personal life yako. Ingekua wazazi au watu wa karibu mbona powa tuu
Sasa unaniluza nimeolewa? Nina mtoto? Halafu vyote nakujibu hapana.... unaendelea zaa wewe, unazeeka!
Unataka nizae bila mipango?
Sasa naona tatizo hapo. Tofautisha casual talk na ushauri
 
Jasmoni Tegga sio kila mtu anaweza kukuongelea personal life yako. Ingekua wazazi au watu wa karibu mbona powa tuu
Sasa unaniluza nimeolewa? Nina mtoto? Halafu vyote nakujibu hapana.... unaendelea zaa wewe, unazeeka!
Unataka nizae bila mipango?
Watu wa karibu hawawezi kuuliza sana kwa kuwa wanakufahamu. Hawezi kukuuliza wakati anaona maisha yako ya kila siku ,so wanaouliza ni sahihi kuwa hawajui mambo yako wanahitaji kufahamu, as long as hawakuzibii riziki wape majibu upunguze maswali.
 
Hawataki hilo, ila majibu; yaani haya unayojibu sasa, ndiyo ungewajibu. Mbona simple. Wasiotaka kuulizwa maswali hawaishi kwenye sayari hii kwa sasa.
Waulizaji nao kabla ya kuuliza wajiongeze kama mko kwe level moja ya mawasliano
 
Lazma nikuulize nitajuaje kama wewe mke wa mtu?? Kuwa mpole tu hatutaki kuingia kichwa kichwa
 
Back
Top Bottom