Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Majority ya wanaouliza hayo maswali ni watafuta habari tu wapate cha kusema na anauliza ili ajilinganishe na yeye kuona amefanikiwa kiwango gani roho yake isuuzike
Arrival mentality

Wachache sana wanauliza genuinely
 
Interviewers wagomvi sana.
Anyway binafsi ijawah faul usahil woote toka kuumbw kwa dunia..Kaz nilizofanya ni za michongo tuu 😁

Mbaya ni kwamba wengi wanauliza haya wakiwa hawana nia yoyote yenye manufaa kwako
 
Swali la kuudhi na jibu la kuudhi[emoji1787]
Nikere nikukere[emoji850]

Huyo mwamba hatakaa maishani mwake aulize tena mtu swali kama hilo
Kila akiwaza kuuliza anakumbuka jibu amazing pengine lililomsababishia machungu kuliko aliyosababisha kwa mwenzie
 
Nikere nikukere[emoji850]

Huyo mwamba hatakaa maishani mwake aulize tena mtu swali kama hilo
Kila akiwaza kuuliza anakumbuka jibu amazing pengine lililomsababishia machungu kuliko aliyosababisha kwa mwenzie

Mbaya zaidi anayemuuliza kuhusu watoto yuko na uhitaji mkubwa na anapambana kwa tiba na maombi ndani na nje ya nchi bila mafanikio

Halafu yeye anamwambia tafuta mwanaume yoyote uzae nae.... simple hivyo🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndo utaonekana una stress

Abram (father) was a friend of yhwh, and he (yhwh) named him Abraham (father of nations). By then Abram never had a child... Eventually Abraham has eight (8) sons (Ishamel, Isaack) and six other sons.

Nowadays, Abram, baptized Abraham by yhwh is indeed a father a many nations...not just few (eight) sons.

Abram alias Abraham remains a good friend of yhwh.

how about that yhwh?

Happy holidays. Enjoy!
 
Ulilazimishwa kua malaya usieolewa ? Maswali yanakuudhi kisa HAUJAOLEMA walio olewa wanaenjoy sana wanapoulizwa.
 
Ulilazimishwa kua malaya usieolewa ? Maswali yanakuudhi kisa HAUJAOLEMA walio olewa wanaenjoy sana wanapoulizwa.

Hakatazwi kuongea unachokidhania au kuambiwa sababu umeamua kukiamini bila kuchanganya na zako

Sio mbaya Kuwa na hesabu kwenye mambo tunayoongea kwani kunatupa faida kwenye majukumu tunayofanya pia
 
hapo bado sijakuuliza umeshawahi kuwa na wapenzi wangapi
 
Ulilazimishwa kua malaya usieolewa ? Maswali yanakuudhi kisa HAUJAOLEMA walio olewa wanaenjoy sana wanapoulizwa.
Mkuu mbona unatumia lugha kali sana

Hapa watu wanashare tu mitizamo yao na namna wanavyojisikia

Take it easy
 
Mkuu mbona unatumia lugha kali sana

Hapa watu wanashare tu mitizamo yao na namna wanavyojisikia

Take it easy
Wanawake wenye vijielimu mnakera sana, mnatia sumu ndani ya jamii sasa mtu kuuliza umeolewa kosa liko wapi ?! Mada nyingine ni za kuchochea chuki baina ya wanajamii.

Na mimi sina uvumilivu na mafeminist uchwara daily mnasota kutafuta kuolewa afu mnaleta mada ya kuibua chuki manungaiyembe mnakera sana. Mbona wanawake wenzenu wanaokubali nafasi yao kama wanamake, wenye utii, hesma na adabu hatuwatolei lugha kali. LUGHA KALI NI KWA NYIE MALAYA NA NDIO MNASTAHILI MANUNGAIYEMBE badala mlee watoto mko bize mitandaoni kujibizana na wanaume.
 
Dah

Mwenyezi Mungu akujalie kauli njema na moyo wa amani
 
Dah

Mwenyezi Mungu akujalie kauli njema na moyo wa amani
Amina, anijalie kauli NJEMA kwa wanawake watiifu wenye maadili wanaokubali nafasi yao kama wanawake, ila nyie malaya, mafeminist ujinga mkafie mbele sina staha na nyie makupo ya shahawa.
 
Hakika umenena vyema...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…