Hapa ndo mwisho wa Israel anaingia mtegoni ! Kule si GAZA manake askari kibao watatoka nchi mbalimbali kwenda isapoti Lebanon ! Niko hapa
Jinsi unavyofyonzwa hiki ulichoandika ndiyo akili zako zinapoishia.We dogo upo dunia gani Hezbullah walisha sema zamani wana tunnels zinafika Israel na wa Israel wanasema wengine walikuwa wakisikia usiku watu kama wanachimba chini ya nyumba zao sa wapi kipya hicho.
UN toka lini ilikuwa upande wa Hezbullah, sijui umechanganyikiwa kapime akili zako UN ni tools inatumiwa na USA na Western kwa maslaha yao.
US katumia veto ngapi kuitetea Israel, leo ndio UN kawa adui wa Israel, kweli kichaa si lazima arushe mawe.
We tulia Israel single hio full war ndio utafahamu alicho ongea Mtume Muhammad ndio kina kuja alisema hakita kuja kiama mpa pale Waislam watapigana na Wayahudi na habaki hata Myahudi.
Hao viongozi wa kiarabu wataondolewa madarakani very soon ngojea kinuke ndio taifa teule lenu mtalitafuta limehamia wapi.
Unafikiri wote wajinga kama wewe hizo habari zipo wazi zamani, we kwa kuwa jinga lolo ndio unaleta ujinga eti UN ndio kakiri bada ya kusikia Israel ataingia Lebanon 😄Jinsi unavyofyonzwa hiki ulichoandika ndiyo akili zako zinapoishia.
Wewe wala siyo wa kupoteza muda kuhangaika na wewe, maana hata ukiulizwa hayo unayoyaongea umeyatoa wapi utaenda kuleya screeshots toka kwenye X pages za akina Mwijaku kwamba ndiyo ushahidi wako
Hawana uwezo na nguvu ya kupigana na jeshi kamili , kwanza wameshapoteaba, msemaji wa jeshi keshakiri kwamba wameshindwa kuwamalia hamas na huku netanyahu anahangaika kulalama kunyimwa silaha na marekaniLebanon iliachia nchi yake itumike na magaidi wa kiislamu, sasa leo hii inapotaka kufanywa kama Gaza, waarabu wanaihama badala ya kubaki wapambane dhidi ya Israel.
==================
The Kuwaiti Foreign Affairs Ministry has called on its citizens who are currently in Lebanon to leave the country due to fears of escalation and the transition to full-scale war between the Hezbollah terrorist organization and Israel.
Kuwait urges its citizens in Lebanon to leave the country amid increasing tensions
The Kuwaiti Foreign Affairs Ministry has called on its citizens who are currently in Lebanon to leave the counwww.jpost.com
Ndiyo maana nikakwambia unafyonzwa, sababu taarifa niliyoileta hata kusoma haujaisoma unajikbilia ku comment. Haya ulicholeta kwenye hizi links ni kipi na nilicho comment na kuwekea link pale juu ni kipi? Yaani unapinga kwa kuweka hoja inayothibitisha kuwa unachokipinga ni cha kweli?Unafikiri wote wajinga kama wewe hizo habari zipo wazi zamani, we kwa kuwa jinga lolo ndio unaleta ujinga eti UN ndio kakiri bada ya kusikia Israel ataingia Lebanon 😄
Mwijaku ni bora kuliko wewe hawezi leta ujinga kama wako
We kondoo wacha kukwepa ulicho ongea uliishutumu UN ndio inawafichia siri Hezbullah kwa kudai walisema hakuna tunnels zinazo kwenda Israel, na UN bada ya kusikia Israel watashambulia Lebanon ndio wamekubali kuna Tunnels zinazo kwenda Israel.Ndiyo maana nikakwambia unafyonzwa, sababu taarifa niliyoileta hata kusoma haujaisoma unajikbilia ku comment. Haya ulicholeta kwenye hizi links ni kipi na nilicho comment na kuwekea link pale juu ni kipi? Yaani unapinga kwa kuweka hoja inayothibitisha kuwa unachokipinga ni cha kweli?
Kumbe hata kusoma na kuelewa kitu kikisndikwa kwa sentensi zaidi ya mija kwako ni shida? Tunajadiliana na watu wa ajabu sana humu ndani.We kondoo wacha kukwepa ulicho ongea uliishutumu UN ndio inawafichia siri Hezbullah kwa kudai walisema hakuna tunnels zinazo kwenda Israel, na UN bada ya kusikia Israel watashambulia Lebanon ndio wamekubali kuna Tunnels zinazo kwenda Israel.
Wakati Israel wanajua zipo na Hezbullah walisha sema zipo sa kipi ulicho leta cha mana ambacho UN kasema au UN alikuwa anaficha kwa faida ipi?
Wananchi wa Israel pia walisha lalamika kuwa wanasikia watu wakidrill chini ya majumba yao wakati wamelala
Israeli settlers claim they hear digging sounds under their homes – Middle East Monitor
www.middleeastmonitor.com
Wacha ujinga wewe
Hezbullah kushindwa vita na US na Israel ni nyimbo za kanisani.Hawa Hezbollah walinunua kesi isiyowahusu sasa waingie uwanjani kuicheza ngoma, sio kwenda kujificha hospitalini na mashuleni kama wale wasanii wa Hamas huku wakiwavizia na kuwachinja wasio na silaha kama watanzania wenzetu.
Kwanin mayahudi na siyo wayahudi? Hii ina maanisha nn?Siyo nchi za Kiarabu tu! Hata Canada nayo imewataka wananchi wake wote kuondoka Israel haraka iwezekanavyo. Maana wanafahamu fika kitakachotokea iwapo tu hao Mayahudi wataingia kwenye vita kamili na Herzbullah.
Hiyo ramli yako iliyokuonesha US atakimbia uliipigia wapi?!Hezbullah kushindwa vita na US na Israel ni nyimbo za kanisani.
US atakimbia hapo atamuwacha Israel anapokea kichapo ngoa Mziki wa Hezbullah ukianza ndio utafahamu Israel ni mtoto sana kumshinda Hezbullah.
Israel alikuwa hataki kuingia vita lakini ni US ndio anamwambia Israel aingie vita lakini watakao ishambulia Lebanon ni wao US na wale vibaraka wake viongozi wa Egypt, Jordan, UAE, Baharain, Saud Arabia, na Morocco wanaogopa Israel akishindwa vita basi wao wataondolewa kwenye viti vyao.
😂 😂 😂 😂 Kuishi kwenye mapango kama kenge nimependa sana umalizio wako lakini hii vita itaifanya Israel ichake kabisa. Kama gaza kamji wamepigana toka October vipi kwa nchi nzima ya Lebanoni? Israel huenda ikafutika kwenye ramani na wazungu wakaanza kulalamika. Acha tuoneMuda si mrefu tutasikia malalamiko kuwa Israeli inafanya mauaji ya kimbari huko Lebanon. Nusrallah anaongea tu kwa sababu huwa haendi front ila kuishi kwenye mapango kama kenge.
Red Sea vipi yupo au kikimbia 😄Hiyo ramli yako iliyokuonesha US atakimbia uliipigia wapi?!
Umejaza "lakini" sijui mara ngapi, kacheze na watoto wenzio..
Rudia kasome ulicho andika kuhusu UN, sina time kupoteza ma mtu mjingaKumbe hata kusoma na kuelewa kitu kikisndikwa kwa sentensi zaidi ya mija kwako ni shida? Tunajadiliana na watu wa ajabu sana humu ndani.
We mpiizi kweli, kurukia comments zinazokuzidi umejikuta unaingia chaka. Acha uvivu wa kusoma pia jufunze kuelewa acha kung’ang’ania upumbavu sababu hautakujenga. Unapinga halafu unaleta ushahidi unaokupinga mwenyewe.Rudia kasome ulicho andika kuhusu UN, sina time kupoteza ma mtu mjinga
Haha Superpower mchoko alikusanya mataifa 42 au kama sijakosea 46 afu juu ya hapo waliwahonga askari wa Iraq ili wamgeuke Sadam huyo ndio aweze kwenda pigana na Hezbullah 😄Unajua kwa kawaida yule mtu anayeitwa mswahili halisi waga ni muislamu kwa sababu ni mtu mwenye maneno mengi lakini hakuna vitendo na hiyo pia ndio tabia ya mwarabu.
Nakumbuka wakati Saddam alipochora mstari fulani wa kinadharia na kudai kwamba askari yeyote wa Marekani ambaye angeuvuka eti asingerudi nyumbani na kumuona mama yake lakini baadaye Saddam ndio alinyongwa na Wairaq wenzake.
Mashariki ya Kati hakuna nchi yoyote iliyo tayari kupigana vita na Israel na vita vikianza kati ya Israel na magaidi wa Hezbollah Iran atakaa pembeni na akikosea akaingia kwenye vita ndio itakua mwisho wa utawala wa mahayatollah nchini Iran.
Netanyahu ni Fala sana waisreli wanavyopenda maisha ya neema si hali yao itakuwa mBaya sana na uchumi si utskuwa minusSiyo nchi za Kiarabu tu! Hata Canada nayo imewataka wananchi wake wote kuondoka Israel haraka iwezekanavyo. Maana wanafahamu fika kitakachotokea iwapo tu hao Mayahudi wataingia kwenye vita kamili na Herzbullah.
Wewe ujinga wako huoni ulicho kiandika umesema mwaka 2018 ilijulikana Hezbullah anachimba tunnels kuelekea Israel, afu hapo hapo unasema UN walikuwa wanaficha kuwa Hezbullah ha cross blue line, sa unewapeleka wamajeshi wa UNIFIL kwenye tunnels 😄We mpiizi kweli, kurukia comments zinazokuzidi umejikuta unaingia chaka. Acha uvivu wa kusoma pia jufunze kuelewa acha kung’ang’ania upumbavu sababu hautakujenga. Unapinga halafu unaleta ushahidi unaokupinga mwenyewe.
Kwa jinsi alivyosema kuwa hawawezi kuwamaliza Hamas ni tiketi tosha ya Israel kuendelea kukaa gaza kwa kisingizio kuwa Hamas bado wapo....Mark my words....Hawana uwezo na nguvu ya kupigana na jeshi kamili , kwanza wameshapoteaba, msemaji wa jeshi keshakiri kwamba wameshindwa kuwamalia hamas na huku netanyahu anahangaika kulalama kunyimwa silaha na marekani
Haya yote gantz alishayasema tangu mwanzo akaamua kumuachia netanyahu uwendawazimu wake sasahivi anatapatapa