Mataifa yanayoagiza bidhaa China yatumia zaidi Yuan na kuipiku dola ya Mmarekani

Ni rahisi kuzungumza mkuu.
 
Kwa logic yako wengine akiwemo US hawajawekeza kwenye dollar kama China kwahio hawajui nguvu ya Dollar ?

Hivi unajua huenda Wachina hawafurahii hii hali wala wao hawapendi kabisa thamani ya Pesa yao iwe kubwa ?
Thamani ya Pesa ya China ikipanda products zake zitapoteza unafuu wa gharama sokoni na kujikuta akiziuza kwa bei sawa na products za ulaya, Japan na US hivyo kupoteza wateja wake, ndiyo maana hataki thamani ya hela yake ipande pia ndiyo maana hadi leo inang'ang'ania kuwa yenyewe bado ipo kwenye kundi za nchi zinazoendelea sawa na Tanzania
 
Mkuu hauwazi kwa usahihi.
Mataifa ya Ulaya yanaishi kwa kuyanyonya mataifa maskini kama.yetu.

Brainwash waliyokufanyia yatosha kusema uchawi wa wazungu ulaaniwe
 
BREAKING: Syria's regime has called for adopting ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ China's yuan instead of the ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ US Dollar for global transactions.
 
Mkuu hauwazi kwa usahihi.
Mataifa ya Ulaya yanaishi kwa kuyanyonya mataifa maskini kama.yetu.

Brainwash waliyokufanyia yatosha kusema uchawi wa wazungu ulaaniwe
Wewe mpuuzi tuuuu. Mathematics ulipata zero ndio uje ushindane na wazungu, mpuuuzi Sana. Angalia izo products unazotumia ndio utajijua wewe ni mpuuuzi na una jeuri ya kupambana na wazungu
Bila Shaka wewe ni mvulana na sio mwanaume, ungekuwa mwanaume ungeshuudia mke wako akienda clinic na kupata Chanjo za wamarekani ungefunga domo lako chafu lisilojua umuuimu wa uyo USA. Bidhaaa izi zinatoka USA na ndio matumizi ya dollars yanapoanzia ARV, Condoms, Dawa za uzazi wa mpango, Chanjo za magonjwa ya Tuberculosis (TB), Surua, Android, IOS, Chanjo za magonjwa ya INI, Window Operating system, Wikipedia, tweeters, Instagram, Facebook, Shazam, Java, Microchip, ATM system, banking system.
Sasa ivi vitu vyote ndio ufanya uitumie dollars kwa kutaka Tena kwa lazima jeee nani yupo tayari kuacha kutumia ivi vitu.
 
Hongera kwa malezi uliyopata kwa wazazi wako
 
IMF ni western institution........
ni sawa tu na WB.....
 
Hongera kwa malezi uliyopata kwa wazazi wako
Apa duniani kuna kitu kinaitwa IQ( Uwezo) wa kuchanganua Mambo na kumbukumbu ndio hayo mataifa yanalingia na sio kusema upuuzi eti wa kupambana. Watu wenye Uwezo kuna jamii za watu wenye akili ambao ni Wayahudi, Georgian, Russian na Germany. Hawa watu ndio wenye Uwezo na USA kawakusanya hawa watu apo California na wanafanya Research kibao. Haya maishu yote wanafanya apo. Wamarekani wamekusanya vizazi vya Wayahudi, wajerumani, wajojia, warusi, wachina, wajapani, waingereza, wafaransa na waitaliano na wanafanya Research nyingi kuhusu hiii dunia. Na wanachukua wabunifu kutoka mataifa mengine wanaenda kufanya Research. Kwa iyo wewe mzaramo unakula Ugali na Maharagwe ukashindana nao sio raisi hata kidogo, Kwa sababu wamewekeza kwy research na IQ za watu
 
Sawa mwenye IQ kubwa.

Achana na mimi asiye na IQ maana ulinizaa wewe
 
Average IQ:

1. ๐Ÿ‡ฏ๐Ÿ‡ต Japan: 106.48
2. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ผ Taiwan: 106.47
3. ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฌ Singapore: 105.9
4. ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡ฐHong Kong: 105.34
5. ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ China: 104.1
6. ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ท South Korea: 102.3
7. ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡พ Belarus: 101.6
8. ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ฎ Finland: 101.2
9. ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ฎ Liechtenstein: 101.1
10. ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Germany: 100.7
 
We mu Wewe ni muoga Sana mkuu
 
Races zote za maana wamezihold wao kwa ajili ya Taifa lao.
 
Shida watu wamejazwa chuki dhidi ya Ulaya na Marekani bila sababu maalumu. Pili, hawajua ni yupi ni msaada zaidi kwetu kuliko nani!
 
Shida watu wamejazwa chuki dhidi ya Ulaya na Marekani bila sababu maalumu. Pili, hawajua ni yupi ni msaada zaidi kwetu kuliko nani!
shenzi mnakumbatia misaada misaada why msijikwamue wenyewe .........mnakera sana ndio maana wana tudharau mpaka wanataka tukakunjane wanaume kwa wanaume pambana na hali yako mtegeme cha nduguye hufa maskini ......kwani toka wamekupa hiyo misaada imekufikisha wapi ......shiit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ