Ni rahisi kuzungumza mkuu.Bora uwaambie vijana hawana wanachoelewa zaidi ya kubeti tuuu. Bidhaaa izi zinatoka USA na ndio matumizi ya dollars yanapoanzia ARV, Condoms, Dawa za uzazi wa mpango, Chanjo za magonjwa ya Tuberculosis (TB), Surua, Android, IOS, Chanjo za magonjwa ya INI, Window Operating system, Wikipedia, tweeters, Instagram, Facebook, Shazam, Java, Microchip, ATM system, banking system.
Sasa ivi vitu vyote ndio ufanya uitumie dollars kwa kutaka Tena kwa lazima jeee nani yupo tayari kuacha kutumia ivi vitu.
Hujui kitu hao wachina wapo vingunguti.wewe uende china!?China [emoji3577]
...and only if na wao watakua wamesimama pembeni wakiangalia tu kama watu walio bet huku wakisubiri kama kweli itadondoka bila ya kuchukua hatua zozote.Yes Dollar itaanguka ila sio leo Wala kesho.
Thamani ya Pesa ya China ikipanda products zake zitapoteza unafuu wa gharama sokoni na kujikuta akiziuza kwa bei sawa na products za ulaya, Japan na US hivyo kupoteza wateja wake, ndiyo maana hataki thamani ya hela yake ipande pia ndiyo maana hadi leo inang'ang'ania kuwa yenyewe bado ipo kwenye kundi za nchi zinazoendelea sawa na TanzaniaKwa logic yako wengine akiwemo US hawajawekeza kwenye dollar kama China kwahio hawajui nguvu ya Dollar ?
Hivi unajua huenda Wachina hawafurahii hii hali wala wao hawapendi kabisa thamani ya Pesa yao iwe kubwa ?
Mkuu hauwazi kwa usahihi.Haya Mambo sio mazuri kiushabiki kwa sisi, mataifa tunaotegemea misaada kutoka mataifa ya ulaya, ambayo tunayaombea yapate hasara na kutengwa na dunia. Ni sawa na kinda wa ndege ajaanza kuota mbawa anaombea mama ake afe amrisishe kiota. Akimiliki icho Kiota.
Shida iko wapi?Hujui kitu hao wachina wapo vingunguti.wewe uende china!?
Watu wameseoma economic development kwenye civics ya o level kisha wanakuja kubwabwaja humu.Ni rahisi kuzungumza mkuu.
Wewe mpuuzi tuuuu. Mathematics ulipata zero ndio uje ushindane na wazungu, mpuuuzi Sana. Angalia izo products unazotumia ndio utajijua wewe ni mpuuuzi na una jeuri ya kupambana na wazunguMkuu hauwazi kwa usahihi.
Mataifa ya Ulaya yanaishi kwa kuyanyonya mataifa maskini kama.yetu.
Brainwash waliyokufanyia yatosha kusema uchawi wa wazungu ulaaniwe
Hongera kwa malezi uliyopata kwa wazazi wakoWewe mpuuzi tuuuu. Mathematics ulipata zero ndio uje ushindane na wazungu, mpuuuzi Sana. Angalia izo products unazotumia ndio utajijua wewe ni mpuuuzi na una jeuri ya kupambana na wazungu
Bila Shaka wewe ni mvulana na sio mwanaume, ungekuwa mwanaume ungeshuudia mke wako akienda clinic na kupata Chanjo za wamarekani ungefunga domo lako chafu lisilojua umuuimu wa uyo USA. Bidhaaa izi zinatoka USA na ndio matumizi ya dollars yanapoanzia ARV, Condoms, Dawa za uzazi wa mpango, Chanjo za magonjwa ya Tuberculosis (TB), Surua, Android, IOS, Chanjo za magonjwa ya INI, Window Operating system, Wikipedia, tweeters, Instagram, Facebook, Shazam, Java, Microchip, ATM system, banking system.
Sasa ivi vitu vyote ndio ufanya uitumie dollars kwa kutaka Tena kwa lazima jeee nani yupo tayari kuacha kutumia ivi vitu.
IMF ni western institution........Before the yuan can become a global currency, it must first become a reserve currency held by central banks around the world. Among the benefits China would enjoy are lower trade costs, greater demand for the yuan worldwide, and less concern about the value of the U.S. dollar in relation to the yuan.
Hivyo kinachoikwamisha Yuan kuipiku dollar kama reserve currency ni policy ambayo Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China(PRC) wameiweka kwa yuan currency, kwanza haipo pegged dhidi ya dollar
Wanapaswa wairuhusu yuan kwenye fleet-floating scheme kwa IMF kuwaruhusu sasa central banks duniani kote kununua yuan za kutosha na KUIFANYA kuwa reserve currency na hivyo baadaye kutokana na balance of trade , lowering interest rates, fiscal policy amendment, hapo sasa yuan atasimama badala ya dollar, na Dollar dominance itaishia pale.
Apa duniani kuna kitu kinaitwa IQ( Uwezo) wa kuchanganua Mambo na kumbukumbu ndio hayo mataifa yanalingia na sio kusema upuuzi eti wa kupambana. Watu wenye Uwezo kuna jamii za watu wenye akili ambao ni Wayahudi, Georgian, Russian na Germany. Hawa watu ndio wenye Uwezo na USA kawakusanya hawa watu apo California na wanafanya Research kibao. Haya maishu yote wanafanya apo. Wamarekani wamekusanya vizazi vya Wayahudi, wajerumani, wajojia, warusi, wachina, wajapani, waingereza, wafaransa na waitaliano na wanafanya Research nyingi kuhusu hiii dunia. Na wanachukua wabunifu kutoka mataifa mengine wanaenda kufanya Research. Kwa iyo wewe mzaramo unakula Ugali na Maharagwe ukashindana nao sio raisi hata kidogo, Kwa sababu wamewekeza kwy research na IQ za watuHongera kwa malezi uliyopata kwa wazazi wako
Sawa mwenye IQ kubwa.Apa duniani kuna kitu kinaitwa IQ( Uwezo) wa kuchanganua Mambo na kumbukumbu ndio hayo mataifa yanalingia na sio kusema upuuzi eti wa kupambana. Watu wenye Uwezo kuna jamii za watu wenye akili ambao ni Wayahudi, Georgian, Russian na Germany. Hawa watu ndio wenye Uwezo na USA kawakusanya hawa watu apo California na wanafanya Research kibao. Haya maishu yote wanafanya apo. Wamarekani wamekusanya vizazi vya Wayahudi, wajerumani, wajojia, warusi, wachina, wajapani, waingereza, wafaransa na waitaliano na wanafanya Research nyingi kuhusu hiii dunia. Na wanachukua wabunifu kutoka mataifa mengine wanaenda kufanya Research. Kwa iyo wewe mzaramo unakula Ugali na Maharagwe ukashindana nao sio raisi hata kidogo, Kwa sababu wamewekeza kwy research na IQ za watu
Wewe ni muoga Sana mkuuHaya Mambo sio mazuri kiushabiki kwa sisi, mataifa tunaotegemea misaada kutoka mataifa ya ulaya, ambayo tunayaombea yapate hasara na kutengwa na dunia. Ni sawa na kinda wa ndege ajaanza kuota mbawa anaombea mama ake afe amrisishe kiota. Akimiliki icho Kiota.
Races zote za maana wamezihold wao kwa ajili ya Taifa lao.Apa duniani kuna kitu kinaitwa IQ( Uwezo) wa kuchanganua Mambo na kumbukumbu ndio hayo mataifa yanalingia na sio kusema upuuzi eti wa kupambana. Watu wenye Uwezo kuna jamii za watu wenye akili ambao ni Wayahudi, Georgian, Russian na Germany. Hawa watu ndio wenye Uwezo na USA kawakusanya hawa watu apo California na wanafanya Research kibao. Haya maishu yote wanafanya apo. Wamarekani wamekusanya vizazi vya Wayahudi, wajerumani, wajojia, warusi, wachina, wajapani, waingereza, wafaransa na waitaliano na wanafanya Research nyingi kuhusu hiii dunia. Na wanachukua wabunifu kutoka mataifa mengine wanaenda kufanya Research. Kwa iyo wewe mzaramo unakula Ugali na Maharagwe ukashindana nao sio raisi hata kidogo, Kwa sababu wamewekeza kwy research na IQ za watu
Shida watu wamejazwa chuki dhidi ya Ulaya na Marekani bila sababu maalumu. Pili, hawajua ni yupi ni msaada zaidi kwetu kuliko nani!Haya Mambo sio mazuri kiushabiki kwa sisi, mataifa tunaotegemea misaada kutoka mataifa ya ulaya, ambayo tunayaombea yapate hasara na kutengwa na dunia. Ni sawa na kinda wa ndege ajaanza kuota mbawa anaombea mama ake afe amrisishe kiota. Akimiliki icho Kiota.
Tena aondoke kama alivyo akaanze kuanzia 0 uone ๐ ๐ ๐ ๐Mwambie huyo mleta Uzi ahamie china au USA utashangaa jibu
shenzi mnakumbatia misaada misaada why msijikwamue wenyewe .........mnakera sana ndio maana wana tudharau mpaka wanataka tukakunjane wanaume kwa wanaume pambana na hali yako mtegeme cha nduguye hufa maskini ......kwani toka wamekupa hiyo misaada imekufikisha wapi ......shiitShida watu wamejazwa chuki dhidi ya Ulaya na Marekani bila sababu maalumu. Pili, hawajua ni yupi ni msaada zaidi kwetu kuliko nani!
Maisha sio kuogopa, maisha ni uwezo tuuuu mkuuu. Hata uwe na nguvu nyingi ishu ni akili (IQ). Uogope usiogope ishu ni akili tuuuuuWe mu
Wewe ni muoga Sana mkuu