Nilipanda iyo gari inayotoka Tanga dar wako vizuri sanaNaomba nimsalimie Dereva wa basi la NACHARO Royal Coach aliyetutoa Tanga jana saa moja asubuhi kutuleta Dodoma.
Japo sijamfahamu kwa sura wala wajihi ila anaendesha vizuri sana, nimekupenda bure wewe dereva wa jana wa NACHARO.
Huyo nkya ndiyo mwenye machame investment??Taarifa imfikie Bwana Issa K.Nkya, Shabiby na Mzee Sawaya wapeleke Hudumu
Sawa @sophy27N
Nilipanda iyo gari inayotoka Tanga dar wako vizuri sana
Your warmly welcome..Asante kaka.
Nashukuru
Kwamba wewe unajua sana hii barabara ya Dodoma Arusha kuliko sisi wakazi wa huku?Kijanaa naona umekula maharagwe vimbishaa unatowa vjambo kwa mstari bila kufkri costa n Arusha Babat kuna Arusha Karatu sasa we hii ya km 400 Arusha Dodoma costa gani inapga route za hzo klomita kwa hapa bongo?
Kwenye wengi kuna pesa "kariakoo pamejaa mbona wasihame labda wa kwenda mkuranga kufungua biasharaLeo nawasanua mabosi wa mabasi acheni kukomaa na Njia za dar-moro, chalinze-moshi na Dodoma-Moro pekeake Kuna hili chimbo la Dodoma Arusha gari ni chache aisee halafu abiria ni kibwena yaani kama wenzenu walikataa kuwashtua mi ndo nawasanua hivyo
Kiukweli hii barabara iko busy sana ila makampuni ni yaleyale akina Machame, Dolphin, kapricon na championing kwa mabasi makubwa na kwa mabasi madogo namuana sana vatcan na root pekee.
Unaweza kusimamia kituoni njiani hadi saa nzima halafu usipite gari ya maana na ikija gari basi ujue hapo makonda wake ni maringo kwa kwenda mbele. Tofauti kabisa na route nilizotaja hapo juu barabara ziko busy kila baada ya dakika 15 unapats gari na uhakika wa usafiri muda wote ila hii route ya Dodoma Arusha ikishafika saa 1 tu jioni usafiri ni shida kupata njiani. Kwahiyo mabosi wenye vipaja, vicoaster na vicivilian njoo mruke na hili road mkusanye maokoto.
Hii route ya kiwaki sana maana wapiga debe Wana sauti kuliko hata dereva na konda wake, oya wambulu wameru wachaga na warangi mliojazana kwenye hii route tafuteni kazi nyingine bwana mnaudhi mno
Mkuu hii barabara sijajua kwanini wafanyabiashara wa mabasi wanaikwepa lakini binafsi naiona iko potential sana ili kuondoa ukiritimba na ulanguzi wa hawa mawakala uchwara barabarani na usumbufu wao ni vyema wakamwaga mabasi maana muingiliano wa Arusha Dodoma ni mkubwa sana Sasa sawia kabisa na wa Morogoro DodomaNikienda kwenye mada ni kweli ulichoandika Mkwawe nimewahi kuandika humu kuhusu hiyo njia.
Mara kadhaa nimefika Dodoma hadi saa 1930hrs nikakosa usafiri wa kuunganisha kwenda Arusha na bahati mbaya hata ukiwa pale jirani na ofisi za machame express hupati hata gari ndogo ikusogeze Babati.
Labda ukiwa mgumu upitie Singida gari ni nyingi hata private unapata ila siyo kwa hapo Dodoma to Arusha via kondoa 😩!.
Ikiwa Dodoma imekuwa busy sasa na watu wengi wanaingia na kutoka haipaswi kulazimisha mtu alale wkt nchi imefunguka 24hrs of traveling by road.
Juzi nimesikia kuna basi imeanza kusafari kwa masaa ya 2100hrs ila sijapata uhakika bado hadi pale nitakapo shuhudia mwenyewe.
Mlipitis Njia ya wapiNaomba nimsalimie Dereva wa basi la NACHARO Royal Coach aliyetutoa Tanga jana saa moja asubuhi kutuleta Dodoma.
Japo sijamfahamu kwa sura wala wajihi ila anaendesha vizuri sana, nimekupenda bure wewe dereva wa jana wa NACHARO.
Mbona machame ana ratiba ya 1910hrs na 2000hrs?Nikienda kwenye mada ni kweli ulichoandika Mkwawe nimewahi kuandika humu kuhusu hiyo njia.
Mara kadhaa nimefika Dodoma hadi saa 1930hrs nikakosa usafiri wa kuunganisha kwenda Arusha na bahati mbaya hata ukiwa pale jirani na ofisi za machame express hupati hata gari ndogo ikusogeze Babati.
Labda ukiwa mgumu upitie Singida gari ni nyingi hata private unapata ila siyo kwa hapo Dodoma to Arusha via kondoa 😩!.
Ikiwa Dodoma imekuwa busy sasa na watu wengi wanaingia na kutoka haipaswi kulazimisha mtu alale wkt nchi imefunguka 24hrs of traveling by road.
Juzi nimesikia kuna basi imeanza kusafari kwa masaa ya 2100hrs ila sijapata uhakika bado hadi pale nitakapo shuhudia mwenyewe.
Umesoma haraka ili unijibu - Hujaelewa bado, rudia kusoma au ni hivi...Sasa mkuu Arusha mosh n 80 km Arusha Dodoma n 400 alaf mleta mada anataka costa iende kwa 8000/ maana costa inaishia Babat ambayo n kilometers 165 kuto Arusha
Sasa coaster zenyewe si hadi ziwepo!.Kuna sisi tunaopanda Njia makosta ni chap kwa haraka
Barabara ya Arusha, Dodoma to Mbeya...wanasafiri washamba wengi na makonda wa magari yote huduma ni mbovu kupindukiaWahudumu wa Machame wanafanya kazi kwa mazoea, wamewazoea abiria mno
Ngasele inachomoka saa 3 usiku. Waweke gari ya saa 4, 5, 6 waifungue dodoma, manyara na Arusha.Nikienda kwenye mada ni kweli ulichoandika Mkwawe nimewahi kuandika humu kuhusu hiyo njia.
Mara kadhaa nimefika Dodoma hadi saa 1930hrs nikakosa usafiri wa kuunganisha kwenda Arusha na bahati mbaya hata ukiwa pale jirani na ofisi za machame express hupati hata gari ndogo ikusogeze Babati.
Labda ukiwa mgumu upitie Singida gari ni nyingi hata private unapata ila siyo kwa hapo Dodoma to Arusha via kondoa 😩!.
Ikiwa Dodoma imekuwa busy sasa na watu wengi wanaingia na kutoka haipaswi kulazimisha mtu alale wkt nchi imefunguka 24hrs of traveling by road.
Juzi nimesikia kuna basi imeanza kusafari kwa masaa ya 2100hrs ila sijapata uhakika bado hadi pale nitakapo shuhudia mwenyewe.