Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anakwambia karibu rafiki zao wote ndo kazi yao 😄
Wale wanawapiga madada zetu hapa.Kuna dada mmoja mbongo alikuwa anapiga mzigo UN, alipigwa tukio na hao raia acha kabisa...
Jamaa alijifanya pastor, akamuoa binti yule na harusi ikafanywa Bongo na huko kwao upoponi...
Miezi miwili mingi, ndoa imevunjika na dada si mfanyakazi tena wa UN...
Yes hao wataalam wa graphics ndo kazi yao anasema ni lazima kutengeneza docs na picha ya kumwaminisha mhusika kuwa kweli ni mtu halisi. Kama yuko singapore atahakikisha ana edit picha kuthibitisha hilo.Hawa jamaa wapo vizuri sana katika ishu hizi na ni well organized jamaa wanaweza hata kutengeneza US military Ids na wakatumia kutapeli wanawake wakizungu ambao wanavutwa kwenye eneo la tukio wakiamin jamaa ni USA soldier,sasa siku katika story story wanaingiziwa habari za pesa hapo sasa ndio wanaumia..
View attachment 2182322
View attachment 2182326
Yes na pia sometimes wanaedit photo frame for client hapa sasa wataedit wall frame ,birthday cake hawa jamaa jahu sana aiseeYes hao wataalam wa graphics ndo kazi yao anasema ni lazima kutengeneza docs na picha ya kumwaminisha mhusika kuwa kweli ni mtu halisi. Kama yuko singapore atahakikisha ana edit picha kuthibitisha hilo.
Wanatengeneza kila kitu.
Hii formula pia wanaitumia kwenye kuuza fake gold na jewels maana client uwa wanayaka mtu apige picha akiwa ameandika tarehe ya siki hiyo na karatasi kaiweka pembeni ya hizo gold
Huwa kinarushwa saa ngapi na lini?Trafficked by marian van zeller. Huyu mwanamama anatengeneza vipi di bomba sana
Alhamisi saa nne usikuHuwa kinarushwa saa ngapi na lini?
Hawa jamaa watawapiga wengi si kwa kujipanga kule.Kuna matapeli wengine wanaitwa NIKOPESHE wapo Facebook
Hawa jamaa watawapiga wengi si kwa kujipanga kule.
Naona watu wanalipa sana hizo 1650 , nasubilia vilio tuUkishajaza maelezo yao wanakwambia ulipie fomu.
Kama 1400.
ndo upate mkopo.
Nikaona wajinga Hawa wanajua wote ni wakuja
Naona watu wanalipa sana hizo 1650 , nasubilia vilio tu
Kwenye kukosa riba ndiyo nlicheka mpaka nikahisi kweli , wajinga ndio waliwao.Hata wakipigwa watasema[emoji16][emoji16][emoji16].
Mkopo hauna Riba
Ina maana alipigwa hela au?Kuna dada mmoja mbongo alikuwa anapiga mzigo UN, alipigwa tukio na hao raia acha kabisa...
Jamaa alijifanya pastor, akamuoa binti yule na harusi ikafanywa Bongo na huko kwao upoponi...
Miezi miwili mingi, ndoa imevunjika na dada si mfanyakazi tena wa UN...