Very true....Kuna jamaa aliniingia na gia hii huwezi amini[emoji1787][emoji1787]
Napewa dola yan nahongwa balaa, si nikasema danga ndo hili[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]...
Mara ghafla kumbe ile kazi alivyokuwa anafanya na cheo kikubwa kampuni flan maarufu hapa bongo alikuwa anaact yaan anafundishwa kazi, mara akatemeshwa mzigo,akarudi kitaa weee nilikoma[emoji848][emoji848]
Nilikuwa napewaa business proposal za kuinvest almanusura niingie king, nilkuja kushtuka baada ya kumpa kahela kakubwa kidogo kamsaidie kipindi hiki kigumu, ndo akaona ohoo kumbe ana hela afwaaa sasa!
All ni all I thank God nilimstukia kabla sijaumia vibaya,[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Sasa hivi naulizwa mbona Wity unanikwepa? Hahahaha