Matapeli wa kimapenzi mtandaoni kutoka west Afrika

Matapeli wa kimapenzi mtandaoni kutoka west Afrika

Yes aliacha, inavyoonekana jamaa alimuaminisha life litakuwa zuri zaidi ya alivyokuwa akiishi
Masikini ya Mungu[emoji26][emoji26] I feel pity

Huyo mpaka aje asimame tena sijui[emoji848][emoji848]
 
Kazi ilikuwepo sio mbali napofanyia mi kazi na yy...na huwa nawainvoice end of the month...

Ila sasa ni muongo halafu ni tapeli la kutupwa[emoji1787][emoji1787][emoji28]
Wengi wanakujaga hapa wanajifanya wanafanya kazi UN au UNDP na vitambulisho wanavyo.
Kuna mmoja mpaka leo rafiki yangu, nikiwa chuo ndo nmefahamu fahamu ana magari anabadili jamaa alinipga almost milion 3 ya wanafunzi aisee ile kitu sitosahau.
Nilichukuliwa mpaka RB niliishi kama digidigi watu wametoa ela yao ya boom sijui hata niwambie nini wanielewe.
Aisee ukiendekeza tamaa mbele lazima upigwe. Yani kupigwa kunatokana na tamaa na mimi alinipa business ambayo niliona ntatoboa akandanganya ana mzgo wa laptop uko dubai sema kakosa ela ya kuusafirisha. Na mimi nikajaa nikawapanga wanafunzi wakatoa pesa weee baada ya kumpa sikuambulia hata windows
 
Huyu nae yupo insta. Ana tako, sura, shepu.. si mchezo😂😂😂

nimetest kama kweli anauza K maana sio kwa mirusho ile kwenye video zake..
nimemwambia nina dola mia nataka mzigo..

kaomba 20k

maji nimeyaomba, sijui niyanywe😅😅😅
Screenshot_20220410-104009.png
Screenshot_20220410-104220.png
 
Tena huyu ni mbongo mwenzetu tu ...halafu nikikutajia kabila lake sasa utachoka[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]

Ni lile kabila linaloongoza kwa ushamba wa kila kitu kivutio cha watalii[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Hahahaha kajifunza wapi utapeli hao mimi nawaona innocent
 
Wengi wanakujaga hapa wanajifanya wanafanya kazi UN au UNDP na vitambulisho wanavyo.
Kuna mmoja mpaka leo rafiki yangu, nikiwa chuo ndo nmefahamu fahamu ana magari anabadili jamaa alinipga almost milion 3 ya wanafunzi aisee ile kitu sitosahau.
Nilichukulia mpaka RB niliishi kama digidigi watu wametoa ela yao ya boom sijui hata niwambie nini wanielewe.
Aisee ukiendekeza tamaa mbele lazima upige. Yani kupigwa kunatokana na tamaa na mimi alinipa business ambayo niliona ntatoboa akandanganya ana mzgo wa laptop uko dubai sema kakosa ela ya kuusafirisha. Na mimi nikajaa nikawapanga wanafunzi wakatoa pesa weee baada ya kumpa sikuambulia hata windows
Haaaahaaaa[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]

Huyo alikuwa mpopo??
 
Tena huyu ni mbongo mwenzetu tu ...halafu nikikutajia kabila lake sasa utachoka[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]

Ni lile kabila linaloongoza kwa ushamba wa kila kitu kivutio cha watalii[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Wee huyo kajifunza wapi utapeli wakati uwa innocent
 
Huyu nae yupo insta. Ana tako, sura, shepu.. si mchezo[emoji23][emoji23][emoji23]

nimetest kama kweli anauza K maana sio kwa mirusho ile kwenye video zake..
nimemwambia nina dola mia nataka mzigo..

kaomba 20k

maji nimeyaomba, sijui niyanywe[emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 2182443View attachment 2182444
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji28][emoji1787]

Dume hilooo
 
Wee huyo kajifunza wapi utapeli wakati uwa innocent
Shangaa na wewe...kasomea Kenya kuanzia udogoni ( madai yake)

Hili kabila naonaga ni mainnocent hawajui kitu kumbe wee tembea uone hahaha [emoji23]
 
Dadeki west Africa nzima imeoza[emoji28][emoji28][emoji28]
Wale matapeli acha kabisa. Sema walau cameroonians wanaoa hapa hapa wanawajengea madada zetu nyumba kabla ya kurudi kwao. Nigerians ndo shida kabisa. West africans ndo wamewafunza mapaapaa wabongo utapeli.
Hao mapapaa wote unawaskia matapeli walikuwa chawa wa west african flani amekufa mwaka jana. Ndie kawafunza utapeli halafu wakawa wajanja kuliko yeye, yeye kafa hana kitu
 
Shangaa na wewe...kasomea Kenya kuanzia udogoni ( madai yake)

Hili kabila naonaga ni mainnocent hawajui kitu kumbe wee tembea uone hahaha [emoji23]
Ungepigwa mpaka ushangae 😄
 
Hahahaha kajifunza wapi utapeli hao mimi nawaona innocent
Mkuu hii dunia kabla hujafa unakuwa hujui kitu asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaan mi ndo mpaka Leo siamini na ujanja wangu wote, njeree alitaka kunitoa knock out haahaaa
 
Mkuu hii dunia kabla hujafa unakuwa hujui kitu asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaan mi ndo mpaka Leo siamini na ujanja wangu wote, njeree alitaka kunitoa knock out haahaaa
Haha wale wakitaka kukuibia wanakujengea picha ya vitu utakavyopata.
Atakuahdii kukununulia gari sijui akupeleke vacation. Utaona ni mtu mwenye pesa na atakupa dollarsz na zawadi.
Siku anakuja na proposal anakwambia mzigo wake umedakwa bandarini inahitajika pesa kiasi flani. Na alikuwa kapanga akishauza ndo akupe zawadi ya gari aliyokuahidi.
Wewe utapiga hesabu naweza kukopa utajiongeza mwenyewe kwani unahitaji shillingi ngapi.... Hapo ndo umekwisha tayari.
 
Ungepigwa mpaka ushangae [emoji1]
Asee ningeumia vibaya maana nilianza kumuamini walah[emoji848]

Kilichoniokoa kuna siku nilimwambia twende kwenye hiyo business ambayo nikitoa mi milioni 5 after 3 weeks tunapata 10m...I want to see with my naked eyes[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo zilianza chenga nyingi mara ooh opportunities ziko nyingi sio lazima hiyo tu, kesho yake nikapigwa proposal nyingine hapo ndo akili ilianza kucharge[emoji848][emoji848][emoji848]

Nilikimbia sikugeuka nyuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Asee ningeumia vibaya maana nilianza kumuamini walah[emoji848]

Kilichoniokoa kuna siku nilimwambia twende kwenye hiyo business ambayo nikitoa mi milioni 5 after 3 weeks tunapata 10m...I want to see with my naked eyes[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo zilianza chenga nyingi mara ooh opportunities ziko nyingi sio lazima hiyo tu, kesho yake nikapigwa proposal nyingine hapo ndo akili ilianza kucharge[emoji848][emoji848][emoji848]

Nilikimbia sikugeuka nyuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣 Alikuwa ashakuweka kwenye 18 una bahati akili yako iko sawa sawa
 
Haha wale wakitaka kukuibia wanakujengea picha ya vitu utakavyopata.
Atakuahdii kukununulia gari sijui akupeleke vacation. Utaona ni mtu mwenye pesa na atakupa dollarsz na zawadi.
Siku anakuja na proposal anakwambia mzigo wake umedakwa bandarini inahitajika pesa kiasi flani. Na alikuwa kapanga akishauza ndo akupe zawadi ya gari aliyokuahidi.
Wewe utapiga hesabu naweza kukopa utajiongeza mwenyewe kwani unahitaji shillingi ngapi.... Hapo ndo umekwisha tayari.
Very true...ahadi kibaooo

Kuna siku kaforce nimpeleke site, nashukuru sikufanya hivyo nadhani ingechongwa hati fake kuuzwe[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom