Matapeli wa kimapenzi mtandaoni kutoka west Afrika

Matapeli wa kimapenzi mtandaoni kutoka west Afrika

Asee ningeumia vibaya maana nilianza kumuamini walah[emoji848]

Kilichoniokoa kuna siku nilimwambia twende kwenye hiyo business ambayo nikitoa mi milioni 5 after 3 weeks tunapata 10m...I want to see with my naked eyes[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo zilianza chenga nyingi mara ooh opportunities ziko nyingi sio lazima hiyo tu, kesho yake nikapigwa proposal nyingine hapo ndo akili ilianza kucharge[emoji848][emoji848][emoji848]

Nilikimbia sikugeuka nyuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole
Mimi almanusura niolewe na ndoa kabisa
Sema nilikuwa kama nimestuka lakini sasa nashindwa pa kumkamatia vizuri
Yaani ile unakuwa na mtu halafu kuna kama red flags unaziona lakini huelewi elewi
 
Anayo waaapi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukiona simu zake, viwalo, smart, anaishi ushuani ( kapanga), handsome ni lazima uingie king!

Hana hata mia mfukoni, sijui hela zake akipiga zinaishia wapi? Huwa najiuliza hili swali, sijui ndo zinaishia kwenye viwaloo[emoji848][emoji848]
Hela akipata zinaishia kwenye kujiweka vizuri ili watu waamini kwamba yupo vizuri na lazima aishi kwa gharama ili maintain status
 
Hairushwi tena?
Ross Kemp kuna Tv walikuwa wanaonesha siikumbuki ni muda mrefu sijafaatiliwa ila unaweza kuingia you tube. Ukafaatilia Ross Kemp: Special Case in Kenya hiyo ndiyo ilinifumbua macho sana sana.
 
Ross Kemp kuna Tv walikuwa wanaonesha siikumbuki ni muda mrefu sijafaatiliwa ila unaweza kuingia you tube. Ukafaatilia Ross Kemp: Special Case in Kenya hiyo ndiyo ilinifumbua macho sana sana.
Haaa kama hiyo nahisi nilishaiona. Kuna mwanamama mzungu alitapeliwa hapo Kenya alifungua club na bado wakamweka ndani. Bf wake mkenya alikuwa upande wake ila mimi nilihisi alikuwa anashirikiana na matapeli. Hadi alimpeleka eti kwa waganga.
Nilikuwa nazitazama youtube.
 
Asee ningeumia vibaya maana nilianza kumuamini walah[emoji848]

Kilichoniokoa kuna siku nilimwambia twende kwenye hiyo business ambayo nikitoa mi milioni 5 after 3 weeks tunapata 10m...I want to see with my naked eyes[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo zilianza chenga nyingi mara ooh opportunities ziko nyingi sio lazima hiyo tu, kesho yake nikapigwa proposal nyingine hapo ndo akili ilianza kucharge[emoji848][emoji848][emoji848]

Nilikimbia sikugeuka nyuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Witty ulikuwa unabutuliwa lile dochi haswa kama mpira zaidi ya mnazi....shukuru Mungu San, na hivi wadada mnavyopenda to be spoiled waona mwamba si ndo huyu na caption kibao....
 
Haaa kama hiyo nahisi nilishaiona. Kuna mwanamama mzungu alitapeliwa hapo Kenya alifungua club na bado wakamweka ndani. Bf wake mkenya alikuwa upande wake ila mimi nilihisi alikuwa anashirikiana na matapeli. Hadi alimpeleka eti kwa waganga.
Nilikuwa nazitazama youtube.
Hii imeongelea uchaguzi wa 2007 umehusu Mongiki. "Ross Kemp: Special Case in Kenya" mkuu Nafaka ndo utajua Afrika hakuna Mungu.
 
Hii imeongelea uchaguzi wa 2007 umehusu Mongiki. "Ross Kemp: Special Case in Kenya" mkuu Nafaka ndo utajua Afrika hakuna Mungu.
Ngoja nije niitafte aisee. Kuna moja nilitazana inawahusu hao mungiki kaifanya jamaa mzungu. Aisee ina roots kuanzia viongozi wa serikali mpaka mateja wapiga debe yani ni criminal gang kubwa sana.
Ntaitafta mkuu leo leo nicheck maana haya ndo mambo nayopenda kutazama nikiwa na muda
 
Very true....Kuna jamaa aliniingia na gia hii huwezi amini[emoji1787][emoji1787]

Napewa dola yan nahongwa balaa, si nikasema danga ndo hili[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]...

Mara ghafla kumbe ile kazi alivyokuwa anafanya na cheo kikubwa kampuni flan maarufu hapa bongo alikuwa anaact yaan anafundishwa kazi, mara akatemeshwa mzigo,akarudi kitaa weee nilikoma[emoji848][emoji848]

Nilikuwa napewaa business proposal za kuinvest almanusura niingie king, nilkuja kushtuka baada ya kumpa kahela kakubwa kidogo kamsaidie kipindi hiki kigumu, ndo akaona ohoo kumbe ana hela afwaaa sasa!

All ni all I thank God nilimstukia kabla sijaumia vibaya,[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]

Sasa hivi naulizwa mbona Wity unanikwepa? Hahahaha
"Napewa dola yan nahongwa balaa, si nikasema danga ndo hili[emoji1787][emoji1787][emoji28]"

Ila Witnessj huwa unanifurahisha sana humu jukwaani kwa vituko vyako kama vya Demi na Johanna [emoji2]
 
Kabisa....ukitapeliwa utajiona ulivyo mjinga na utaishia kucheka japo inauma
Kabisa na unapata funzo.

Ujinga wa watu ndio mtaji wao.
Ndio maana mi huwa nasema usiseme alietapiliwa ni mjinga au mzembe sana ww shukuru Mungu hayakukuta.

Hawa watu wanabinu mbinu moya kila siku, ukiziba hapa wanaibua pale. Wanajua hakuna kitu hufanywa kwa 100% hivyo wao hutaguta ile loophole wakulipue.
 
Pole
Mimi almanusura niolewe na ndoa kabisa
Sema nilikuwa kama nimestuka lakini sasa nashindwa pa kumkamatia vizuri
Yaani ile unakuwa na mtu halafu kuna kama red flags unaziona lakini huelewi elewi
Mbongo au mpopo?
 
Kabisa....ukitapeliwa utajiona ulivyo mjinga na utaishia kucheka japo inauma
Kabisa na unapata funzo.

Ujinga wa watu ndio mtaji wao.
Ndio maana mi huwa nasema usiseme alietapiliwa ni mjinga au mzembe sana ww shukuru Mungu hayakukuta.

Hawa watu wanabinu mbinu moya kila siku, ukiziba hapa wanaibua pale. Wanajua hakuna kitu hufanywa kwa 100% hivyo wao hutaguta ile loophole wakulipue.
 
Kabisa na unapata funzo.

Ujinga wa watu ndio mtaji wao.
Ndio maana mi huwa nasema usiseme alietapiliwa ni mjinga au mzembe sana ww shukuru Mungu hayakukuta.

Hawa watu wanabinu mbinu moya kila siku, ukiziba hapa wanaibua pale. Wanajua hakuna kitu hufanywa kwa 100% hivyo wao hutaguta ile loophole wakulipue.
Ukweli kabisa mkuu...kama hayajukukuta nyamaza tu[emoji848]
 
Back
Top Bottom