Matapeli ni watu smart sana sana. Yani anakufanya unatoa pesa mwenyewe bila kushikiwa bunduki baadae unakuja jiona mjinga na signs zote zilikuwa wazi lakini hukushtuka.Kabisa na unapata funzo.
Ujinga wa watu ndio mtaji wao.
Ndio maana mi huwa nasema usiseme alietapiliwa ni mjinga au mzembe sana ww shukuru Mungu hayakukuta.
Hawa watu wanabinu mbinu moya kila siku, ukiziba hapa wanaibua pale. Wanajua hakuna kitu hufanywa kwa 100% hivyo wao hutaguta ile loophole wakulipue.
Dada kila weekend alikuwa anamfuata mwamba Naija alafu hotel nyota 3 gharama za dada.Hata Jide lazima yule mpopo macho kurembua alimpiga tukio
Wanawake tunapitia mengi[emoji848]
Kitu gani kinakufanye upate red flags?Pole
Mimi almanusura niolewe na ndoa kabisa
Sema nilikuwa kama nimestuka lakini sasa nashindwa pa kumkamatia vizuri
Yaani ile unakuwa na mtu halafu kuna kama red flags unaziona lakini huelewi elewi
Sema kibongobongo hawajawekeza sana.Matapeli ni watu smart sana sana. Yani anakufanya unatoa pesa mwenyewe bila kushikiwa bunduki baadae unakuja jiona mjinga na signs zote zilikuwa wazi lakini hukushtuka.
Aiseee...labda ndo maana niliambiwa ntajengewa a mansion [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanapiga ela hata USD 250000 na wanatumia inaisha. Akimaliza deal hili yuko kwenye next deal
Hata hiyo imeongelea from the scratching point na ilikuwa sponsored na viongozi ila ilivyokuwa hatari na uchaguzi ulivyoisha amani ikapatikana. Ikabidi wauawe.Ngoja nije niitafte aisee. Kuna moja nilitazana inawahusu hao mungiki kaifanya jamaa mzungu. Aisee ina roots kuanzia viongozi wa serikali mpaka mateja wapiga debe yani ni criminal gang kubwa sana.
Ntaitafta mkuu leo leo nicheck maana haya ndo mambo nayopenda kutazama nikiwa na muda
Asee anateseka sana basi mweeh [emoji848]Hela akipata zinaishia kwenye kujiweka vizuri ili watu waamini kwamba yupo vizuri na lazima aishi kwa gharama ili maintain status
Sema wanawake wengine mna roho kuna mwanamke anajua kabisa mme wake ni tapeli na hana shida na alijua hata kabla hajaolewaAiseee...labda ndo maana niliambiwa ntajengewa a mansion [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Manina kumbe natengenezwa
Umenichekesha na kunikumbusha ambapo nilikoswakoswa na QNET 2018 baada ya kuwa na M 3.6 nikapungukiwa kilo 9 ili ninunue saa kwenye hiyo kampuni niingie rasmi.Wengi wanakujaga hapa wanajifanya wanafanya kazi UN au UNDP na vitambulisho wanavyo.
Kuna mmoja mpaka leo rafiki yangu, nikiwa chuo ndo nmefahamu fahamu ana magari anabadili jamaa alinipga almost milion 3 ya wanafunzi aisee ile kitu sitosahau.
Nilichukuliwa mpaka RB niliishi kama digidigi watu wametoa ela yao ya boom sijui hata niwambie nini wanielewe.
Aisee ukiendekeza tamaa mbele lazima upigwe. Yani kupigwa kunatokana na tamaa na mimi alinipa business ambayo niliona ntatoboa akandanganya ana mzgo wa laptop uko dubai sema kakosa ela ya kuusafirisha. Na mimi nikajaa nikawapanga wanafunzi wakatoa pesa weee baada ya kumpa sikuambulia hata windows
Aisee ntaitafta leo. Unachoona na uhalisia wa mambo mara nyingi ni tofauti.Hata hiyo imeongelea from the scratching point na ilikuwa sponsored na viongozi ila ilivyokuwa hatari na uchaguzi ulivyoisha amani ikapatikana. Ikabidi wauawe.
Aiseeh mfatilie huyo jamaa vipindi anaitwa Ross Kemp.... ni hatari mkuu. Inatufundisha namna ya kujua uhalisia wa vitu.
Wakenya nao si haba...Haaa kama hiyo nahisi nilishaiona. Kuna mwanamama mzungu alitapeliwa hapo Kenya alifungua club na bado wakamweka ndani. Bf wake mkenya alikuwa upande wake ila mimi nilihisi alikuwa anashirikiana na matapeli. Hadi alimpeleka eti kwa waganga.
Nilikuwa nazitazama youtube.
Ni kweli mkuu.. wanawake kudanganywa ni rahisi sanaPoleni kwa kupitia mengi, nature yenu ya kuamini haraka haraka uwongo kuliko ukweli kama sisi Me ndiyo inayowagharimu.
Behaviorist hapa hachomoki kamwe sababu tu ya chura [emoji1]Huyu nae yupo insta. Ana tako, sura, shepu.. si mchezo[emoji23][emoji23][emoji23]
nimetest kama kweli anauza K maana sio kwa mirusho ile kwenye video zake..
nimemwambia nina dola mia nataka mzigo..
kaomba 20k
maji nimeyaomba, sijui niyanywe[emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 2182443View attachment 2182444
Trafficked with Mariana Van Zeller.Kuna kipindi kiko NatGeo channel 181 DSTV na pia Azam wanayo siko surr ni channel namba ngapi.
Hiki kipindi ni mwanadada anakuwa anafuatilia biashara flani haramu to the source anazungumza na clients na wauzaji au wale victims, na watendaji wa uharamia.
Ashahoji wauzaji madawa wa mexico, wezi wa magari US, clinic haramu za kuongeza makalio US yani anaenda to the source na akiwa anawahoji wanakuwa wamevaa masks japo wauza madawa hawavai masks wengi wao huko mexico.
Sasa wiki hii alikuwa nafuatilia hawa scammers wa mtandaoni wanao scam watu kupitia kujifanya wanawake au wanaume kupitia dating sites.
Hivyo alisafiri mpaka Ghana ambapo biashara hii imeshamiri. Anasema inaanza Nigeria then Ghana.
Aisee ni biashara kubwa sana na sio rahisi rahisi. Kumbe wana script za nini waandike na nini waseme, unakuta ni kikundi, wana wataalamu wa graphics, wana mtaalamu wa IT yani crew.
Na kuna boss ambaye wanawaita finisher. Huyu yeye ndiye anakuwa anatafuta potential clients akishawapata anawasukumia sasa hawa wa chini wa deal naye ela ikitumwa naipokea boss hawa wa chini wanapewa % kidogo.
Wanakwambia zamani ilikuwa rahisi kuwascam watu kwasababu mambo ya video call yalikuwa hayapo now ngumu. So, mtaalamu wa IT unakuta ametengeneza system anatumia video ambazo wanasema nazo wanazinunua yule mtu akiwa anachat na mtu via dating site anaona huyo mtu kwa video anatype so anaamini kweli ni mtu really kumbe ni video imesetiwa.
Wakioiga calls za kawaida wanaongea wnaume ila wana tune sauti kuwa za kike, ila kuna muda wanainvolve na wanawake.
Kilichonishangaza zaidi wanatumia pia black magic. Mtu wakiona hatoi pesa, wanaprint picha yake inapelekwa kwa mganga anaifannyia mambo, wanadai ela inatoka hata mtu aambiwe anataka dollar 20000.
Pia wengine wana guilty consciousness kuna mmoja anadai alimscam mwanamama mmoja pesa akajiua, mwingine anasema alimscam mwanamama ela ya nyumba.
Wanadai wanaume ni rahisi kuwascam kuliko wanawake.
Pia akatoka hapo akawahoji victims, na imegundulika wanawake ndio wakiibiwa hujiweka wazi wanaume hata.
Sema kuna watu wa kuwatrack. So kuna mmoja alikuwa anataka kumscam mwanamama kumbe mwanamama ashamshtukia, so akaendelea playa dumb. Jamaa alikuwa kaweka picha ya mwanajeshi wa US anadai yuko middle east so akamwomba amtumie dola 4000 via bitcoin.
Mwanamama alikuwa ashamwandaa jamaa ea kuwatrack, akamdanganya ametuna yule jamaa alikuwa amemtumia link flani amtumie huyo scammer yule scammet alipoclick tu ile link jamaa akadaka location yake kuwa yuko ghana accra.
Hao scammer wanakwambia kuna watu wakubw Ghana ndo viongozi wa hiyo kitu na ukijaribu kuwafuatilia you can end up dead.
Una bahati mimi hao jamaa walinitaftaga nikiwa nakaribia kumaliza shule wakaniambia kuna sijui kazi. Nikawambia siko dar wakasema nisijali nikija niende. Hilo likanishtua yani kazi gani ambayo inanisubiri mimi hata mwezi. Nikaanza fanya research ndo nikaja gundua hawa sio.Umenichekesha na kunikumbusha ambapo nilikoswakoswa na QNET 2018 baada ya kuwa na M 3.6 nikapungukiwa kilo 9 ili ninunue saa kwenye hiyo kampuni niingie rasmi.
Kilichoniaminisha zaidi kuna Swahiba wangu flani alikuwa anatokea X akiwa na gari Spacio rangi X mpya alikuwa ni mfanyakazi wa taasisi X ya serikalini akinipitia home Dar kunipeleka SINZA na MAKUMBUSHO kusomea hiyo biashara na kuoneshwa mafanikio tele ya Watu waliokuwa wameacha kazi na wasomi sababu tu ya QNET.
Mungu aliniwezesha sana maana mpaka sasa yule Rafiki yangu aliuza gari, nyumba na bado hana uelekeo wa maisha zaidi ya kuwa na ukata tu kimaisha [emoji24]
Hakika mkuu, nyuma pazia wamejua wachache sana!Aisee ntaitafta leo. Unachoona na uhalisia wa mambo mara nyingi ni tofauti.
Hahaha mkuu mbavu zangu...Witty ulikuwa unabutuliwa lile dochi haswa kama mpira zaidi ya mnazi....shukuru Mungu San, na hivi wadada mnavyopenda to be spoiled waona mwamba si ndo huyu na caption kibao....